< Jonas 2 >

1 Og Jonas bad til Herren sin Gud fra Fiskens Liv,
Akiwa ndani ya tumbo la nyangumi, Yona alimwomba Bwana Mungu wake.
2 og han sagde: Jeg raabte til Herren ud af min Angest, og han svarede mig; jeg, skreg fra Dødsrigets Skød, du hørte min Røst. (Sheol h7585)
Akasema: “Katika shida yangu nalimwita Bwana, naye akanijibu. Kutoka kina cha kaburi niliomba msaada, nawe ukasikiliza kilio changu. (Sheol h7585)
3 Du kastede mig i Dybet, midt i Havet, og Strømmen omgav mig; alle dine Vover og dine Bølger gik over mig.
Ulinitupa kwenye kilindi, ndani kabisa ya moyo wa bahari, mikondo ya maji ilinizunguka, mawimbi yako yote na viwimbi vilipita juu yangu.
4 Og jeg sagde: Jeg er udstødt fra dine Øjne, men jeg skal atter skue hen til dit hellige Tempel.
Nikasema, ‘Nimefukuziwa mbali na uso wako, hata hivyo nitatazama tena kuelekea Hekalu lako takatifu.’
5 Vandene omsluttede mig indtil Sjælen, Dybet omgav mig, Tang var viklet om mit Hoved.
Maji yaliyonimeza yalinitisha, kilindi kilinizunguka; mwani ulijisokota kichwani pangu.
6 Jeg sank ned til Bjergenes Grunde, Jordens Porte vare lukkede efter mig for evigt; men du Herre, min Gud, drog mit Liv op af Graven.
Nilizama chini sana mpaka pande za mwisho za milima, makomeo ya hiyo nchi yalinifungia hata milele. Lakini uliuleta uhai wangu kutoka shimoni, Ee Bwana Mungu wangu.
7 Der min Sjæl i mit Indre forsmægtede, kom jeg Herren i Hu; og min Bøn kom til dig i dit hellige Tempel.
“Wakati uhai wangu ulipokuwa unatoka, nilikukumbuka wewe, Bwana, nayo maombi yangu yalikufikia wewe, katika Hekalu lako takatifu.
8 De, som tage Vare paa Løgnens Gøglebilleder, de have forladt ham, som er dem Miskundhed.
“Wale watu wanaongʼangʼana na sanamu zisizofaa hupoteza neema ile ambayo ingekuwa yao.
9 Men jeg, jeg vil med Taksigelses Røst ofre til dig, jeg vil betale det, jeg har lovet; Frelse er der hos Herren.
Lakini mimi, kwa wimbo wa shukrani, nitakutolea dhabihu. Lile nililowekea nadhiri nitalitimiza. Wokovu watoka kwa Bwana.”
10 Og Herren bød Fisken, og den udspyede Jonas paa det tørre Land.
Basi Bwana akamwamuru yule nyangumi, naye akamtapika Yona katika nchi kavu.

< Jonas 2 >