< Johannes 19 >
1 Nu tog da Pilatus Jesus og lod ham hudstryge.
Basi Pilato alimchukua Yesu na kumchapa.
2 Og Stridsmændene flettede en Krone af Torne og satte den paa hans Hoved og kastede en Purpurkappe om ham, og de gik hen til ham og sagde:
Wale maaskari wakasokota miiba na kutengeneza taji. Wakaiweka juu ya kichwa cha Yesu na kumvalisha vazi la rangi ya zambarau.
3 „Hil være dig, du Jødernes Konge!‟ og de sloge ham i Ansigtet.
Wakamjia na kusema, “Wewe mfalme wa Wayahudi! na kisha kumpiga kwa mikono yao.
4 Og Pilatus gik atter ud, og han siger til dem: „Se, jeg fører ham ud til eder, for at I skulle vide, at jeg finder ingen Skyld hos ham.‟
Kisha Pilato alitoka nje na kuwaambia watu, “Tazama nawaleteeni huyu mtu kwenu ili mjue kwamba mimi sikuona hatia yoyote ndani yake.”
5 Da gik Jesus ud med Tornekronen og Purpurkappen paa. Og han siger til dem: „Se, hvilket Menneske!‟
Kwa hiyo Yesu akatoka nje; alikuwa amevaa taji ya miiba na vazi la zambarau. Ndipo Pilato akawaambia, “Tazameni mtu huyu hapa!”
6 Da nu Ypperstepræsterne og Svendene saa ham, raabte de og sagde: „Korsfæst! korsfæst!‟ Pilatus siger til dem: „Tager I ham og korsfæster ham; thi jeg finder ikke Skyld hos ham.‟
Kwa hiyo wakati kuhani mkuu na wakuu walipomwona Yesu, wakapiga kelele wakisema, “Msulubishe, msulubishe.” Pilato akawaambia, “Mchukueni ninyi wenyewe mkamsulubishe, kwa kuwa mimi sioni hatia ndani yake.”
7 Jøderne svarede ham: „Vi have en Lov, og efter denne Lov er han skyldig at dø, fordi han har gjort sig selv til Guds Søn.‟
Wayahudi wakamjibu Pilato, “Sisi tunayo sheria, na kwa sheria hiyo inampasa kufa kwa sababu yeye alijifanya kuwa mwana wa Mungu.”
8 Da Pilatus nu hørte dette Ord, blev han endnu mere bange.
Pilato aliposikia maneno haya alizidi kuogopa,
9 Og han gik ind igen i Borgen og siger til Jesus: „Hvorfra er du?‟ Men Jesus gav ham intet Svar.
akaingia Praitorio tena na kumwambia Yesu, “Wewe unatoka wapi? Hata hivyo, Yesu hakumjibu.
10 Pilatus siger da til ham: „Taler du ikke til mig? Ved du ikke, at jeg har Magt til at løslade dig, og at jeg har Magt til at korsfæste dig?‟
Kisha Pilato akamwambia, “Je, wewe huongei na mimi? Je, wewe hujui kuwa mimi nina mamlaka ya kukufungua na mamlakaya kukusulubisha?”
11 Jesus svarede: „Du havde aldeles ingen Magt over mig, dersom den ikke var given dig ovenfra; derfor har den, som overgav mig til dig, større Synd.‟
Yesu akamjibu, “Usingekuwa na nguvu dhidi yangu kama usingepewa toka juu. Kwa hiyo, mtu aliyenitoa kwako ana dhambi kubwa.”
12 Derefter forsøgte Pilatus at løslade ham. Men Jøderne raabte og sagde: „Dersom du løslader denne, er du ikke Kejserens Ven. Hver den, som gør sig selv til Konge, sætter sig op imod Kejseren.‟
Kutokana na jibu hili, Pilato akataka kumwacha huru, lakini Wayahudi wakapiga kelele wakisema, “Kama utamwacha huru basi wewe si rafiki wa Kaisari: Kila ajifanyaye kuwa mfalme hunena kinyume cah kaisari.”
13 Da Pilatus hørte disse Ord, førte han Jesus ud og satte sig paa Dommersædet, paa det Sted, som kaldes Stenlagt, men paa Hebraisk Gabbatha;
Pilato alipoyasikia maneno haya, akamleta Yesu nje kisha akakaa kwenye kiti cha hukumu mahali pale panapojulikana kama sakafu, lakini kwa Kiebrania, Gabatha.
14 men det var Beredelsens Dag i Paasken, ved den sjette Time. Og han siger til Jøderne: „Se, eders Konge!‟
Siku ya maandalizi ya pasaka ilipofika, panapo muda wa saa ya sita. Pilato akawaambia Wayahudi, “Tazameni mfalme wenu huyu hapa!”
15 De raabte nu: „Bort, bort med ham! korsfæst ham!‟ Pilatus siger til dem: „Skal jeg korsfæste eders Konge?‟ Ypperstepræsterne svarede: „Vi have ingen Konge uden Kejseren.‟
Wakapiga kelele, “Mwondoshe, mwondoshe, msulubishe!” Pilato akawaambia, “Je, nimsulubishe mfalme wenu?” Naye Kuhani mkuu akajibu, “Sisi hatuna mfalme isipokuwa Kaisari.”
16 Saa overgav han ham da til dem til at korsfæstes. De toge nu Jesus;
Ndipo Pilato alipomtoa Yesu kwao ili asulibiwe.
17 og han bar selv sit Kors og gik ud til det saakaldte „Hovedskalsted‟, som hedder paa Hebraisk Golgatha,
Nao wakamchukua Yesu, naye akatoka, hali ameubeba msalaba wake mwenyewe mpaka kwenye eneo liitwalo fuvu la kichwa, kwa Kihebrania huitwa Golgotha.
18 hvor de korsfæstede ham og to andre med ham, en paa hver Side, men Jesus midt imellem.
Ndipo walipomsulibisha Yesu, pamoja naye wanaume wawili, mmoja upende huu na mwingine upande huu, na Yesu katikati yao.
19 Men Pilatus havde ogsaa skrevet en Overskrift og sat den paa Korset. Men der var skrevet: „Jesus af Nazareth, Jødernes Konge.‟
Kisha Pilato akaandika alama na kuiwekwa juu ya msalaba. Hapo paliandikwa: YESU MNAZARETH, MFALME WA WAYAHUDI.
20 Denne Overskrift læste da mange af Jøderne; thi det Sted, hvor Jesus blev korsfæstet, var nær ved Staden; og den var skreven paa Hebraisk, Latin og Græsk.
Wengi wa Wayahudi waliisoma alama hiyo kwani mahali pale aliposulibishwa Yesu palikuwa karibu na mji. Alama hiyo iliadikwa kwa Kiebrania, kwa Kirumi na kwa Kiyunani.
21 Da sagde Jødernes Ypperstepræster til Pilatus: „Skriv ikke: Jødernes Konge, men: Han sagde: Jeg er Jødernes Konge.‟
Kisha wakuu wa makuhani wa Wayahudi wakamwambia Pilato, “Usiandike, 'Mfalme wa Wayahudi; bali yeye alisema mimi ni mfalme wa Wayahudi.”
22 Pilatus svarede: „Hvad jeg skrev, det skrev jeg.‟
Naye Pilato akawajibu, “Niliyoandika nimeandika.”
23 Da nu Stridsmændene havde korsfæstet Jesus, toge de hans Klæder og gjorde fire Dele, een Del for hver Stridsmand, og ligeledes Kjortelen; men Kjortelen var usyet, vævet fra øverst helt igennem.
Baada ya askari kumsulibisha Yesu, walichukua mavazi yake na kuyagawa katika mafungu manne, kila askari fungu moja, vivyo hivyo na kanzo, Sasa ile kanzu haikuwa imeshonwa bali ilkuwa imefumwa yote tokea juu.
24 Da sagde de til hverandre: „Lader os ikke sønderskære den, men kaste Lod om den, hvis den skal være; ‟ for at Skriften skulde opfyldes, som siger: „De delte mine Klæder imellem sig og kastede Lod om mit Klædebon.‟ Dette gjorde da Stridsmændene.
Kisha wakasemezana wao kwa wao, “Tusiipasue, bali tupigeni kura ili kuona itakuwa ya nani.” Hili lilitokea ili lile andiko litimizwe, lile lisemalo waligawanya nguo zangu, na vazi langu wakalipigia kura.”
25 Men ved Jesu Kors stod hans Moder og hans Moders Søster, Maria, Klopas's Hustru, og Maria Magdalene.
Askari walifanya mambo haya. Mama yake Yesu, dada wa mama yake, Mariamu mke wa Kleopa na Mariamu Magdalena - wanawake hawa walikuwa wamesimama karibu na msalaba wa Yesu.
26 Da Jesus nu saa sin Moder og den Discipel, han elskede, staa hos, siger han til sin Moder: „Kvinde! se, det er din Søn.‟
Yesu alipomwona mama yake pamoja na yule mwanafunzi aliyempenda wakisimama karibu, akamwambia mama yake, “Mwanamke, tazama, ona mwanao huyu hapa!”
27 Derefter siger han til Discipelen: „Se, det er din Moder.‟ Og fra den Time tog Discipelen hende hjem til sit.
Kisha akamwambia yule mwanfunzi, “Tazama, huyu hapa mama yako. “Tokea saa hiyo yule mwanafunzi akamchukua kwenda nyumbani kwake.
28 Derefter, da Jesus vidste, at alting nu var fuldbragt, for at Skriften skulde opfyldes, siger han: „Jeg tørster.‟
Baada ya hilo, Hali Yesu akijua kuwa yote yamekwisha kumalizika ili kutimiza maandiko, akasema, “Naona kiu.”
29 Der stod et Kar fuldt af Eddike; de satte da en Svamp fuld af Eddike paa en Isopstængel og holdt den til hans Mund.
Chombo kilichokuwa kimejaa Siki kilikuwa kimewekwa pale, kwa hiyo wakaweka sifongo iliyojaa siki juu ya ufito wa hisopo, wakamwekea mdomoni mwake.
30 Da nu Jesus havde taget Eddiken, sagde han: „Det er fuldbragt; ‟ og han bøjede Hovedet og opgav Aanden.
Naye Yesu alipoionja hiyo, akasema, “Imekwisha.” Kisha akainamisha kichwa chake, akaikabidhi roho yake.
31 Da det nu var Beredelsesdag, bade Jøderne Pilatus om, at Benene maatte blive knuste og Legemerne nedtagne, for at de ikke skulde blive paa Korset Sabbaten over; thi denne Sabbatsdag var stor.
Kwa vile ilikuwa ni wakati wa maandalio, na kwa sababu miili haikutakiwa kubaki juu ya msalaba wakati wa Sabato (kwa kuwa Sabato ilikuwa siku ya muhimu), wayahudi walimwomba Pilato kuwa miguu yao wale wliokuwa wamesulibishwa ivunjwe, na kwamba miili yao ishushwe.
32 Da kom Stridsmændene og knuste Benene paa den første og paa den anden, som vare korsfæstede med ham.
Ndipo askari walipokuja na kuvunja miguu ya mtu wa kwanza na wa pili aliyekuwa amesulibiwa pamoja na Yesu.
33 Men da de kom til Jesus og saa, at han allerede var død, knuste de ikke hans Ben.
Walipomfikia Yesu, walimkuta tayari alikuwa amekwisha kufa, kwa hiyo hawakuvunja miguu yake.
34 Men en af Stridsmændene stak ham i Siden med et Spyd, og straks flød der Blod og Vand ud.
Hata hivyo, mmoja wa askari alimchoma Yesu ubavuni kwa mkuki, na mara yakatoka maji na damu.
35 Og den, der har set det, har vidnet det, og hans Vidnesbyrd er sandt, og han ved, at han siger sandt, for at ogsaa I skulle tro.
Naye aliyeona hili ametoa ushuhuda, na ushuhuda wake ni wa kweli. Yeye anajua kuwa alichokisema ni cha kweli ili nanyi pia muamini.
36 Thi disse Ting skete, for at Skriften skulde opfyldes: „Intet Ben skal sønderbrydes derpaa.‟
Mambo haya yalikuwa ili lile neno lililonenwa lipate kutimia, “Hakuna hata wake mmoja utakaovunjwa.”
37 Og atter et andet Skriftord siger: „De skulle se hen til ham, hvem de have gennemstunget.‟
Tena andiko lingine husema, “Watamtazama yeye waliyemchoma”
38 Men Josef fra Arimathæa, som var en Jesu Discipel, dog lønligt, af Frygt for Jøderne, bad derefter Pilatus om, at han maatte tage Jesu Legeme, og Pilatus tillod det. Da kom han og tog Jesu Legeme.
Baada ya mambo haya Yusufu wa Arimathaya, kwa vile alikuwa mwanafunzi wa Yesu, lakini kwa siri kwa kuwaogopa Wayahudi, alimwomba Pilato kwamba auchukue mwili wa Yesu. Naye Pilato akampa ruhusa. Kwa hiyo Yusufu akaja kuuondoa mwili wa Yesu.
39 Men ogsaa Nikodemus, som første Gang var kommen til Jesus om Natten, kom og bragte en Blanding af Myrra og Aloe, omtrent hundrede Pund.
Naye Nicodemo ambaye hapo awali alimfuata Yesu usiku naye akaja. Yeye alileta mchanganyiko wa manemane na udi, yapata uzito wa ratili mia moja.
40 De toge da Jesu Legeme og bandt det i Linklæder med de vellugtende Urter, som Jødernes Skik er at fly Lig til Jorde.
Kwa hiyo wakauchukua mwili wa Yesu wakaufanga kwenye sanda ya kitani na pamoja na yale manukato, kama ilivyokuwa desturi ya wayahudi wakati wa kuzika.
41 Men der var paa det Sted, hvor han blev korsfæstet, en Have, og i Haven en ny Grav, hvori endnu aldrig nogen var lagt.
Mahali ambapo Yesu alisulibiwa kulikuwa na bustani; ndani ya ile bustani kulikuwa na kaburi jipya ambalo hakuna mtu alikuwa amawahi kuzikwa humo.
42 Der lagde de da Jesus, for Jødernes Beredelsesdags Skyld, efterdi Graven var nær.
Basi, kwa kuwa ilikuwa siku ya maandalio kwa Wayahudi, na kwa vile lile kaburi lilikuwa karibu, basi wakamlaza Yesu ndani yake.