< Job 28 >
1 Thi Sølvet har sit Sted, hvorfra det kommer, og Guldet, man renser, har sit Sted.
“Kuna machimbo ya fedha, na mahali dhahabu isafishwapo.
2 Jern hentes af Støvet og Stene, som smeltes til Kobber.
Chuma hupatikana ardhini, nayo shaba huyeyushwa kutoka mawe ya madini.
3 Man gør Ende paa Mørket, og indtil det yderste ransager man de Stene, som ligge i Mørket og Dødens Skygge.
Mwanadamu hukomesha giza; huyatafuta hadi sehemu iliyo mbali, kwa ajili ya kuchimbua mawe yenye madini katika giza jeusi sana.
4 Man bryder en Skakt ned fra Jordboen; forglemte af Vandrerens Fod hænge de, borte fra Mennesker svæve de.
Huchimba shimo jembamba mbali na makao ya watu, mahali paliposahaulika na nyayo za wanadamu; mbali na wanadamu huningʼinia na kupembea kwa kamba.
5 Af Jorden fremkommer Brød, men indeni omvæltes den som af Ild.
Ardhi, ambako chakula hutoka, chini hugeuzwa kwa moto;
6 Dens Stene ere Safirens Sted, og den har Guldstøv i sig.
yakuti samawi hutoka katika miamba yake, nalo vumbi lake lina vipande vya dhahabu.
7 Stien derhen har ingen Rovfugl kendt, ingen Skades Øjne set.
Hakuna ndege awindaye aijuaye njia ile iliyofichika, wala hakuna jicho la mwewe lililoiona.
8 De stolte Dyr have ikke betraadt den, og ingen Løve har gaaet ad den.
Wanyama wa porini wanaotamba hawajawahi kupakanyaga, wala simba azungukaye huko.
9 Man lægger Haand paa den haarde Flint, man omvælter Bjerge fra Roden af.
Mikono ya mwanadamu hushambulia miamba migumu sana, na kuiacha wazi mizizi ya milima.
10 Man udhugger Gange i Klipperne, og Øjet ser alt det dyrebare.
Hutoboa shimo refu la kupenya chini kwa chini kwenye miamba; macho yake huona hazina zake zote.
11 Man binder for Strømmene, saa at ikke en Draabe siver ud, og fører de skjulte Ting frem til Lyset.
Hutafuta vyanzo vya mito na kuvileta vitu vilivyofichika katika nuru.
12 Men Visdommen — hvorfra vil man finde den? og hvor er Indsigtens Sted?
“Lakini hekima inaweza kupatikana wapi? Ufahamu unakaa wapi?
13 Et Menneske kender ikke dens Værdi, og den findes ikke i de levendes Land.
Mwanadamu hatambui thamani yake; haiwezi kupatikana katika nchi ya walio hai.
14 Afgrunden siger: Den er ikke i mig, og Havet siger: Den er ikke hos mig.
Kilindi husema, ‘Haiko ndani yangu’; bahari nayo husema, ‘Haiko pamoja nami.’
15 Den kan ikke faas for det fineste Guld, ej heller dens Værdi opvejes med Sølv.
Haiwezi kununuliwa kwa dhahabu safi kuliko zote, wala thamani yake haiwezi kupimwa kwa fedha.
16 Den kan ikke opvejes med Guld fra Ofir, ej heller med den dyrebare Onyks og Safir.
Haiwezi kununuliwa kwa dhahabu ya Ofiri, kwa shohamu ya thamani kubwa au yakuti samawi ya thamani kubwa.
17 Den kan ikke vurderes lige med Guld og Krystal; man kan ikke tilbytte sig den for Kar af fint Guld.
Dhahabu wala mawe maangavu haviwezi kulinganishwa nayo, wala haiwezi hubadilishwa na vito vya dhahabu.
18 Koraller og Ædelstene tales der ikke om; og Visdoms Besiddelse er bedre end Perler.
Marijani na yaspi hazistahili kutajwa; thamani ya hekima ni zaidi ya akiki nyekundu.
19 Topazer af Morland kunne ikke vurderes lige imod den; den kan ikke opvejes med det rene Guld.
Yakuti manjano ipatikanayo Kushi haiwezi kulinganishwa nayo, wala haiwezi kununuliwa kwa dhahabu safi.
20 Men Visdommen — hvorfra kommer den? og hvor er Indsigtens Sted?
“Ni wapi basi hekima itokako? Ufahamu hukaa wapi?
21 Den er skjult for alle levendes Øjne, den er og dulgt for Fuglene under Himmelen.
Imefichika machoni pa kila kitu kilicho hai, imesitiriwa hata kwa ndege wa angani.
22 Afgrunden og Døden sige: Kun et Rygte om den hørte vi med vore Øren.
Uharibifu na Mauti husema, ‘Ni uvumi wake tu uliotufikia masikioni mwetu.’
23 Gud forstaar dens Vej, og han kender dens Sted.
Mungu anaifahamu njia ya kuiendea hekima na ndiye peke yake anayefahamu inakokaa,
24 Thi han skuer indtil Jordens Ender; han ser hen under al Himmelen.
kwa maana yeye huitazama miisho ya dunia na huona kila kitu chini ya mbingu.
25 Der han gav Vinden sin Vægt og bestemte Vandet dets Maal,
Alipofanyiza nguvu za upepo na kuyapima maji,
26 der han satte en Lov for Regnen og en Vej for Lynet, som gaar foran Torden,
alipofanya maagizo kwa ajili ya mvua na njia kwa ajili ya umeme wa radi,
27 da saa han den og kundgjorde den, beredte den, ja gennemskuede den.
ndipo alipoitazama hekima na kuikadiria thamani yake, akaithibitisha na kuihakikisha.
28 Og han sagde til Mennesket: Se, Herrens Frygt, det er Visdom, og at vige fra det onde, det er Forstand.
Naye Mungu akamwambia mwanadamu, ‘Kumcha Bwana: hiyo ndiyo hekima, nako kujitenga na uovu ndio ufahamu.’”