< Job 13 >

1 Se, det har mit Øje set alt sammen; mit Øre har hørt og forstaaet sig derpaa.
Tazama, jicho langu limeyaona haya yote; sikio langu limeyasikia na kuyaelewa hayo.
2 Hvad I vide, det ved jeg, ogsaa jeg, jeg falder ikke igennem for eder.
Kile mnachokifahamu, ndicho hicho mimi pia ninachokifahamu; Mimi siyo duni kwenu ninyi.
3 Dog vilde jeg gerne tale til den Almægtige, og jeg havde Lyst til at gaa i Rette med Gud.
Hata hivyo, Mimi ningeweza kuzungumza na mwenye nguvu; Mimi natamani kusemezana na Mungu.
4 Men I sammensy Løgn: I ere alle sammen unyttige Læger.
Lakini ninyi mnauficha ukweli kwa uongo; ninyi nyote ni tabibu msiokuwa na thamani.
5 Gid I vilde tie, saa skulde det regnes eder til Visdom!
Laiti, kwamba kwa pamoja mngeshikilia amani yenu! Hilo lingekuwa hekima yenu ninyi.
6 Kære, hører min Bevisning og mærker paa det, som jeg strider for med mine Læber.
Sikia sasa kuhoji kwangu; Sikiliza kusihi kwa midomo yangu mwenyewe.
7 Ville I forsvare Gud med Uret og forsvare ham med Svig?
Ninyi mtazungumza visivyo haki kwa ajili ya Mungu, na ninyi mtazungumza udanganyifu kwa yeye? Ni kweli ninyi mngeonyesha ukarimu kwa yeye?
8 Ville I anse hans Person eller føre Sag for Gud?
Ni kweli ninyi mngetetea katika mahakama kama mawakili wa Mungu?
9 Vil det gaa godt, naar han undersøger eder? ville I bedrage ham, ligesom man bedrager et Menneske?
Je, kweli ingekuwa vizuri kwenu wakati yeye akiwatafuta ninyi? Mngeweza ninyi kumdanganya yeye kama mlivyoweza kuwadanganya watu?
10 Han skal visselig straffe eder, om I anse Personer i Løndom.
Yeye kwa hakika angewathibitisha upya ninyi ikiwa katika siri ninyi mmeonyesha kutokukamilika.
11 Skulde ikke hans Højhed forfærde eder og Rædsel for ham falde over eder?
Je, ukuu wake usingewafanya ninyi muogope? Je, utisho wake usingeshuka juu yenu?
12 Eders Tankesprog ere at ligne ved Aske, eders Borge ere Lerborge.
Hadithi zenu za misemo ya kukariri, ni mithali zimetengenezwa kwa majivu; utetezi wenu ni utetezi uliotengenezwa kwa udongo wa mfinyanzi.
13 Tier for mig, at jeg kan tale, og lad saa overgaa mig, hvad der vil!
Shikilieni amani yenu, mniache peke yangu, ili ya kwamba nipate kusema, acheni yaje yale yanayoweza kuja kwangu.
14 Hvorfor skulde jeg føre mit Kød bort i mine Tænder? jeg vil derimod sætte mit Liv i min Haand.
Nitaichukua nyama yangu mwenywewe katika meno yangu; Nitayachukua maisha yangu katika mikono yangu.
15 Se, han slaar mig ihjel, jeg har intet Haab; kunde jeg blot retfærdiggøre mine Veje for hans Ansigt!
Tazama, ikiwa ataniua mimi, sitakuwa na tumaini lililobakia; hata hivyo, nitazitetea njia zangu mbele zake yeye.
16 Ogsaa dette skulde være mig en Frelse; thi der skal ingen vanhellig komme for hans Ansigt!
Hiki kitakuwa sababu ya kutohesabiwa hatia, kwamba mimi sikuja mbele zake kama mtu asiyemcha Mungu.
17 Hører flittig min Tale og det, jeg kundgør for eders Øren.
Mungu, sikiliza kwa makini kuzungumza kwangu; ruhusu kutangaza kwangu kuje kwenye masikio yako.
18 Se, kære, jeg har indledet Sagen, jeg ved, at jeg skal kendes retfærdig.
Tazama sasa, Nimeuweka utetezi wangu katika mpangilio, Mimi ninafahamu kwamba mimi sina hatia.
19 Hvo er den, som kan trætte med mig? thi da maatte jeg tie og opgive Aanden.
Ni nani anayeweza kushindana na mimi katika mahakama? Ikiwa mlikuja kufanya hivyo, na kama mimi nilithibitishwa kukosea, ndipo ningekuwa kimya na kuyatoa maisha yangu.
20 Dog, gør ikke to Ting imod mig, da vil jeg ikke skjule mig for dit Ansigt:
Mungu, fanya mambo mawili kwa ajili yangu, na tena Mimi sitajificha kutoka katika uso wako.
21 Lad din Haand være langt fra mig og Rædsel for dig ikke forfærde mig!
Ondoa kutoka kwangu mkono wako unaotesa, na usiache utisho wako unifanye mimi kuogopa.
22 Kald saa, og jeg vil svare, eller jeg vil tale, og giv saa du mig Svar igen!
Ndipo niite mimi, na mimi nitakujibu; au uniache mimi niseme na wewe na wewe unijibu mimi.
23 Hvor mange ere mine Misgerninger og Synder? lad mig vide min Overtrædelse og min Synd!
Je, maovu yangu na dhambi zangu ni ngapi? Nijulishe kosa langu na dhambi yangu.
24 Hvorfor skjuler du dit Ansigt og holder mig for din Fjende?
Kwa nini unaficha uso wako kutoka kwangu mimi na kunitendea mimi kama adui yako?
25 Vil du jage det henvejrede Blad op og forfølge det tørre Straa?
Je, wewe utalitesa jani linalopeperushwa? Je, utaendelea kulifuatilia bua kavu?
26 Thi du skriver Bitterheder op imod mig og lader mig faa min Ungdoms Synder til Arv.
Kwa maana wew unaandika chini vitu vichungu dhidi yangu mimi; wewe unanifanya mimi kurithi uovu wa ujana wangu.
27 Og du lægger mine Fødder i Stokken og tager Vare paa alle mine Stier; du afstikker Grænser for mine Fødders Saaler,
Wewe pia unaiweka miguu yangu katika nguo nyembamba; wewe waangalia njia zangu zote; wewe wachunguza chini mahali ambapo nyayo za miguu yangu zimekanyaga.
28 skønt jeg er en Mand, der bliver gammel som Trøske, som et Klæde, der ædes op af Møl.
japokuwa mimi ni kama kitu kilichooza ambacho hutupwa mbali, kama vazi lile ambalo nondo wamelila.

< Job 13 >