< Job 12 >
1 Men Job svarede og sagde:
Ndipo Ayubu akajibu na kusema,
2 Sandelig, I ere Folket, og med eder dør Visdommen ud!
“Hakuna shaka ninyi wanadamu; Hekima mtakufa nayo.
3 Jeg har ogsaa Forstand ligesom I, jeg falder ikke igennem for eder; og hvo ved ikke saadanne Ting?
Lakini nina ufahamu kama vile ninyi; Mimi siyo duni kwenu. Ni dhhiri, ni nani asiyefahamu vitu hivyo kama hivi?
4 Jeg er til Latter for min Ven, jeg, som raabte til Gud og fik Svar; den retfærdige, den oprigtige er til Latter.
Mimi ni kitu cha kuchekwa na jirani-Mimi, ni mmoja aliyemwita Mungu na ambaye alijibiwa na yeye! Mimi, ni mwenye haki na mtu asiyekuwa na hatia-Mimi sasa nimekuwa kitu cha kuchekwa.
5 En foragtet Lampe i den trygges Tanke er den, som er nær ved at snuble med Foden.
Katika mawazo yake mtu fulani aliye katika kufurahi, kuna kudharau kwa mashaka; hufikiri katika njia ambayo huleta mambo mabaya zaidi kwa wale ambao miguu yao inateleza.
6 Ødelæggernes Telte have Ro, og de, som rase imod Gud, ere meget trygge, ja den, som sætter sin Haand som Gud.
Hema za wezi hufanikiwa, na wale ambao humkasirisha Mungu huhisi salama; mikono yao wenyewe ni miungu wao.
7 Og sandelig, spørg dog Dyrene ad, og de skulle lære dig det; og Himmelens Fugle, og de skulle forkynde dig det.
Lakini sasa waulize hao wanyama wa mwituni, na watakufundisha wewe; waulize ndege wa angani, na watakuambia wewe.
8 Eller tal til Jorden, og den skal lære dig det, og Fiskene i Havet skulle fortælle dig det.
Au iambie ardhi, na itakufundisha wewe; samaki wa baharini watakutangazia wewe.
9 Hvo ved ikke om alle disse Ting, at Herrens Haand har gjort dette?
Ni myama yupi miongoni mwa hawa asiyefahamu kuwa mkono wa Yahwe umetenda haya?
10 han, i hvis Haand hver levende Sjæl er, og Aanden i hvert Menneskes Kød!
Katika mkono wake mna uzima wa kila kiumbe hai na pumzi ya wanadamu wote.
11 Mon ikke Øret prøver Talen, og Ganen smager Maden?
Je, sikio haliyajaribu maneno kama vile kaakaa lionjavyo chakula chake?
12 Hos de graahærdede er Visdom, og Dagenes Længde giver Forstand.
Kwa wazee mna hekima; katika wingi wa siku mna ufahamu.
13 Hos ham er Visdom og Vælde, ham hører Raad og Forstand til.
Pamoja na Mungu mna hekima na ukuu; yeye anayo mashauri na ufahamu.
14 Se, han nedbryder, og det skal ikke bygges, han lukker til for en Mand, og der skal ikke lukkes op.
Tazama, yeye huangusha chini, na haiwezekani kujengwa tena; kama yeye akimtia gerezani mtu yeyote, hakutakuwa tena kufunguliwa.
15 Se, han holder Vandene tilbage, og de borttørres, og han udlader dem, og de omvælte Landet.
Tazama, kama yeye akiyazuia maji, yanakauka; na kama akiyaachilia nje yanaitaabisha ardhi.
16 Hos ham er Styrke og Kraft; ham hører den til, som farer vild, og den, som fører vild.
Pamoja na yeye mna nguvu na hekima; watu ambao wamedanganywa na mdanganyi wote pamoja wako katika nguvu zake.
17 Han lader Raadgiverne gaa afklædte bort og gør Dommerne til Daarer.
Yeye huwaongoza washauri mbali bila kuvaa viatu katika huzuni; huwarudisha hakimu katika upumbavu.
18 Han løser Kongernes Herredømme og lægger Baand om deres Lænder.
Yeye Huondoa minyororo ya mamlaka kutoka kwa wafalme; yeye hufunika viuno vyao kwa nguo.
19 Han lader Præsterne gaa afklædte bort og omkaster de stærke.
Yeye huwaongoza makuhani mbali bila kuvaa viatu na kuwapindua watu wakuu.
20 Han berøver de sikre Talere Mælet, tager Forstanden fra de gamle.
Yeye huondoa hotuba ya wale waliokuwa wameaminiwa na huondoa mbali ufahamu wa wazee.
21 Han udøser Vanære over Fyrsterne og løser de stærkes Bælte.
Yeye humwaga aibu juu ya binti za wafalme na hufungua mishipi ya watu wenye nguvu.
22 Han aabenbarer de dybe Ting af Mørket og udfører Dødens Skygge til Lyset.
Yeye huweka wazi vitu vya kina kutoka katika giza na kuvileta nje kumuika vivuli mahali ambapa watu waliokufa wapo.
23 Han formerer Folkene og lader dem gaa til Grunde; han udbreder Folkene og bortfører dem.
Yeye huyafanya mataifa kuwa na nguvu, na pia huyaharibu; Yeye pia huyakuza mataifa, na pia yeye huyaongoza mbali kama wafungwa.
24 Han borttager Forstand fra Folkets Øverster i Landet og lader dem fare vild i det øde, hvor ingen Vej er.
Yeye huondoa mbali ufahamu kutoka kwa viongozi wa watu wa nchi; huwafanya wao kutangatanga msituni mahali pasipo na njia.
25 De famle i Mørke, hvor intet Lys er, og han bringer dem til at fare vild som den drukne.
Wao wanapapasa katika giza bila kuwa na mwanga; yeye huwafanya wao kuweweseka kama mtu mlevi.