< Jeremias 50 >
1 Det Ord, som Herren talte imod Babel, imod Kaldæernes Land, ved Profeten Jeremias.
Hili ni neno alilolisema Yahwe juu ya Babeli, nchi ya Wakalidayo, kwa mkono wa Yeremia nabii,
2 Kundgører det iblandt Folkene, og lader det høres, og opløfter Banner, lader det høres, dølger det ej! siger: Babel er indtaget, Bel er beskæmmet, Merodak er knust, dens Billeder ere beskæmmede, dens Afguder ere knuste.
“Wajulishe mataifa ili wasikie. Toa ishara ili wasikie. Usiiache. Sema, 'Babeli imetwaliwa. Beli ameaibika. Merodaki amefadhaika. Sanamu zake zimeaibishwa; vinyago vyake vimefadhaika
3 Thi et Folk fra Norden er draget op imod den, dette skal gøre dens Lande øde, og der skal ikke være nogen, som bor deri; baade Mennesker og Kvæg ere blevne flygtige, ere dragne bort.
Taifa kutoka kaskazini litainuka kinyume chake, ili kuifanya nchi yake ukiwa. Hakuna hata mmoja, awe mtu au mnyama, atakayeishi ndani yake. Wataondoka.
4 I de Dage og paa den Tid, siger Herren, skulle Israels Børn komme, de og Judas Børn med hverandre; de skulle gaa frem med Graad og søge Herren deres Gud.
Katika siku hizo na wakati huo - hili ni tamko ya Yahwe - watu wa Israeli na watu wa Yuda watakusanyika ili kwenda kwa kulia na kumtafuta Yahwe Mungu wao.
5 De skulle spørge efter Zion, ad Vejen did ere deres Ansigter vendte: Kommer og slutter eder til Herren med en evig Pagt, som ikke skal glemmes.
Watauliza njia ya kwenda Sayuni nao watakwenda huko, wakisema, tutakwenda wenyewe ili kuungana na Yahwe katika agano la milele lisilosahaulikal
6 Mit Folk var fortabte Faar, deres Hyrder havde forført dem, de havde drevet dem bort til Bjergene; de droge fra Bjerge til Høje, de glemte, hvor de havde haft Leje.
Watu wangu wamekuwa kondoo waliopotea. Wachungaji wao wamewapoteza milimani; wamewageuza kutoka mlima hata mlima. Walikwenda, wakasahau mahali walipokuwa wanaishi.
7 Alle de, som fandt dem, aade dem op, og deres Fjender sagde: Vi have ingen Skyld; fordi de have syndet imod Herren, Retfærdigheds Bolig, ja, imod Herren, deres Fædres Forhaabning.
Kila awaendeaye anawararua. Washitaki wao walisema, 'Hatuna hatia, kwa sababu walimtenda dhambi Yahwe, nyumbani kwao halisi - Yahwe, tumaini la mababu zao.'
8 Flyr midt ud af Babel, og drager ud af Kaldæernes Land, og værer som Bukke foran en Hjord!
Tokeni kati ya Babeli; tokeni katika nchi ya Wakalidayo; iweni kama wafanyavyo mabeberu mbele ya kundi lote.
9 Thi se, jeg opvækker og fører op imod Babel en Samling af store Folkeslag fra Nordenland, og de skulle ruste sig imod den; ved dem skal den indtages; deres Pile ere som en forstandig Helt, der ikke vender tilbage med uforrettet Sag.
Maana tazama, ninaelekea kupeleka na kuinua kinyume cha Babeli kundi la mataifa makubwa kutoka kaskazini. Yatajipanga yenyewe kinyume chake. Kutoka hapo Babeli utatekwa. Mishale yao ni kama shujaa mzoefu asiyerudi mikono tupu.
10 Og Kaldæa skal blive til Rov; alle, som der tage Rov, skulle mættes, siger Herren.
Ukaldayo itakuwa mateka. Wate waitekao wataridhika - asema Yahwe.
11 Thi I glædede eder; thi I frydede eder, da I plyndrede min Arv; thi I sprang omkring som en Kalv, der tærsker, og vrinskede som de vælige Heste.
Mnafurahi, mnasherehekea kuteka urithi wangu; mnarukaruka kama ndama anayekanyaga katika malisho yake; mnalia kama farasi mwenye nguvu.
12 Eders Møder er saare beskæmmet, hun, som fødte eder, er bleven til Skamme; se, hun er bleven det sidste af Folkene, en Ørk, et tørt Sted og en øde Mark.
Hivyo mama yenu ataaibika sana; aliyewazaa atafadhaika. Tazama, atakuwa wa mwisho katika mataifa, nyika, nchi kame, na jangwa.
13 For Herrens Vredes Skyld skal den ikke være beboet, men helt vorde øde; alle, som gaa forbi Babel, skulle forskrækkes og spotte over alle dens Plager.
Kwa sababu ya hasira ya Yahwe, Babeli haitakaliwa, lakini itakuwa ukiwa mtupu. Kila apitaye kando ataogopa kwa sababu ya Babeli na atatoa sauti kwa sababu ya majeraha yake.
14 Ruster eder imod Babel trindt omkring den, skyder imod den, alle I, som spænde Bue! sparer ikke paa Pile; thi den har syndet imod Herren.
Jipangeni wenyewe kumzunguka Babeli kinyume chake. Kila apindaye upinde na ampige. Msizuie mshale wenu wowote, maana amemtenda dhambi Yahwe.
15 Raaber med Glæde over den trindt omkring, den har overgivet sig, dens Grundpiller ere faldne, dens Mure ere nedbrudte; thi dette er Herrens Hævn, hævner eder paa den; som den har gjort, saa gører ved den!
Pigeni kelele za ushindi kinyume chake ninyi nyote mmzungukao. Amesalimu mamlaka yake; minara yake imeanguka. Kuta zake zimebomolewa, maana hiki ni kisasi cha Yahwe. Jilipizeni kisasi juu yake! Mtendeeni kama alivyoyatenda mataifa mengine.
16 Udrydder Sædemanden af Babel og den, som fører Seglen i Høstens Tid! de skulle vende sig om, hver til sit Folk, for Ødelæggelsens Sværd, og fly hver til sit Land.
Waaribuni wote mkulima apandaye mbegu naye atumiaye mundu wakati wa mavuno katika Babeli. Haya kila mtu na arudi kwa watu wake kutoka upanga wa mtesaji; na wakimbilie katika nchi yao wenyewe.
17 Israel er som adspredte Lam, Løver have fordrevet ham; først aad Kongen af Assyrien ham, og til sidst har Nebukadnezar, Kongen af Babel, afgnavet hans Ben.
Israeli ni kondoo aliyetawanywa na kupelekwa na simba mbali. Kwanza mfalme wa Ashuru alimrarua; kisha baadaye, Nebukadneza mfalme wa Babeli akavunja mifupa yake.
18 Derfor, saa siger den Herre Zebaoth, Israels Gud: Se, jeg hjemsøger Kongen af Babel og hans Land, ligesom jeg har hjemsøgt Kongen af Assyrien.
Kwa hiyo Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi: Tazama, nitamwadhibu mfalme wa Babeli na nchi yake, kama nilivyomwadhibu mfalme wa Ashuru.
19 Og jeg vil føre Israel tilbage til hans Græsgang, og han skal græsse paa Karmel og Basan; og hans Sjæl skal mættes paa Efraims Bjerg og i Gilead.
Nitamrudisha Israeli katika nchi yake; atajilisha katika Karmeli na Bashani. Kisha atajishibisha katika nchi ya kilima ya Efraimu na Gileadi.
20 I de Dage og paa den Tid, siger Herren, skal Israels Misgerning søges, men ikke være mere, og Judas Synder, men de skulle ikke findes; thi jeg vil tilgive den, som jeg lader blive tilbage.
Siku hizo na wakati huo, asema Yahwe, uovu utatafutwa katika Israeli, lakini hautaonekana. Nitauliza kuhusu dhambi za Yuda, lakini hazitaonekana, maana nitawasamehe mabaki niliowaacha.”
21 Drag op imod Landet „Dobbelgenstridighed”, og imod Indbyggerne i „Hjemsøgelsens” Stad; ødelæg og lys i Band efter dem, siger Herren, og gør efter alt det, som jeg har budt dig!
Inuka dhidi ya nchi ya Merathaimu, kinyume chake nao waishio Pekodi. Wapigeni kwa makali ya upanga na mwatenge kwa ajili ya maangamizo - asema Yahwe - fanyeni kila ninachowaamru.
22 Der er Krigslyd i Landet og stor Forstyrrelse.
Sauti ya vita na maangamizi ya kustaajabisha yamo katika nchi.
23 Hvorledes er hele Jordens Hammer afhugget og sønderbrudt? hvorledes er Babel bleven til en Forfærdelse iblandt Folkene?
Jinsi gani nyundo ya mataifa yote imekatiliwa mbali na kuharibiwa. Jinsi Babeli amekuwa kitu cha kushangaza kati ya mataifa.
24 Jeg stillede Snare for dig, og du er ogsaa fanget, Babel! og du vidste det ikke; du er funden, ja greben, thi imod Herren har du indladt dig i Strid.
Nimetega mtego dhidi yako. Umenaswa, Babeli, nawe haukutambua! Ulionekana na kukamatwa, tangu uliponidhihaki, Yahwe.
25 Herren har opladt sit Rustkammer og udtaget sin Vredes Vaaben; thi en Gerning i Kaldæernes Land er der for Herren, den Herre Zebaoth.
Yahwe amefungua ghala lake la silaha na anachukua silaha kwa ajili ya kutekekeleza hasira yake. Kuna kazi kwa ajili ya Yahwe wa majeshi katika nchi ya Wakaldayo.
26 Kommer imod den, alle til Hobe, oplader dens Kornhuse, kaster, hvad der er, op i Dynger, og lyser det i Band; intet blive tilovers for den!
Mshambulie kutokea mbali. Fungua maghala yake ya chakula na kumrundika kama marundo ya nafaka. Mtenge mbali na maangamizi. Usimbakizie masalia.
27 Myrder alle dens Okser; de stige ned til Slagtning! ve dem! thi deres Dag er kommen, deres Hjemsøgelses Tid.
Ua madume wake wote wa ng'ombe. Washushe sehemu ya machinjio. Ole wao, maana siku yao imefika - wakati wa kuadhibiwa kwao.
28 Man hører Røsten af dem, som fly og ere undkomne fra Babels Land for at kundgøre udi Zion Herrens, vor Guds, Hævn, Hævnen for hans Tempel.
Kuna sauti ya wale wanaokimbia, walionusurika, katika nchi ya Babeli. Hawa watatoa taarifa ya kisasi cha Yahwe Mungu wetu kwa Sayuni, kisasi kwa hekalu lake.”
29 Kalder de vældige, alle dem, som spænde Bue, frem imod Babel, slaar Lejr om den trindt omkring, lader ingen undkomme, betaler den efter dens Gerning, gører imod den efter alt det, som den gjorde; thi den har handlet hovmodigt imod Herren, imod Israels Hellige.
Ita wapiga pinde dhidi ya Babeli - wale wote wapindao pinde zao. Piga kambi kinyume chake, na msimwache yeyote kutoroka. Mlipeni kwa kile alichofanya. Mfanyieni kwa kipimo alichotumia. Maana amemdharau Yahwe, Mtakatifu wa Israeli.
30 Derfor skulle dens unge Karle falde paa dens Gader, og alle dens Krigsmænd skulle udryddes paa den Dag, siger Herren.
Hivyo vijana wake wataanguka katika viwanja vya mji, na wapiganaji wake wote wataangamizwa siku hiyo - hili ni tamko la Yahwe.”
31 Se, jeg vil imod dig, „dit Hovmod!” siger Herren, den Herre Zebaoth; thi din Dag er kommen, den Tid, paa hvilken jeg vil hjemsøge dig.
Tazama, mimi ni kunyume chako, mwenye majivuno - hili ni tamko la Bwana Yahwe wa majeshi - maana siku yako imefika, mwenye kiburi, wakati nitakapokuadhibu.
32 Og „Hovmod” skal snuble og falde, og ingen skal oprejse det; og jeg vil antænde en Ild i dets Stæder, og den skal fortære alt, hvad der er trindt omkring det.
Hivyo wenye kiburi watajikwaa na kuanguka. Hakuna atakaye wainua. Nitawasha moto katika miji yao; utateketeza kila kitu kati yake.
33 Saa siger den Herre Zebaoth: Fortrykte ere Israels Børn og Judas Børn tilsammen; og alle de, som toge dem fangne, holde paa dem, de vægre sig ved at lade dem fare.
Yahwe wa majeshi asema hivi: watu wa Israeli wamenyanyaswa, pamoja na watu wa Yuda. Wate waliowateka bado wanawashikilia; wanakataa kuwaacha waondoke.
34 Men deres Genløser er stærk, Herre Zebaoth er hans Navn; han skal visselig udføre deres Sag, paa det han kan bringe Jorden Ro, men Indbyggerne i Babel Uro.
Yeye awaokoaye ni mwenye nguvu. Yahwe wa majeshi ni jina lake. Kwa hakika atalitetea shitaka lao, ili kuleta pumziko katika nchi, na kuwapiga wakaao Babeli.
35 Sværd! frem imod Kaldæerne, siger Herren, og imod Indbyggerne i Babel og imod dens Fyrster og imod dens vise!
Upanga u juu ya Wakalidayo - asema Yahwe - na juu ya wakaao Babeli, viongozi wake, na wenye hekima wake.
36 Sværd! frem imod Løgnerne, og de maa blive til Daarer! Sværd! frem imod dens vældige, at de maa knuses!
Upanga unakuja juu ya waganga, ili wajione kuwa wajinga. Upanga utakuwa juu ya askari wake, hivyo watajaa hofu.
37 Sværd! frem ifnod dens Heste og imod dens Vogne og imod hele den Hob af alle Haande Folk, som er midt udi den, at de maa blive til Kvinder! Sværd! frem imod dens Skatte, at de maa røves!
Upanga utakuwa juu ya farasi wake, vibandawazi vyao na na watu wote waliomo Babeli, hivyo watakuwa kama wanawake. Upanga utakuwa juu ya ghala zake, nazo zitatekwa.
38 Tørke I kom imod dens Vande, at de maa borttørres! thi det er de udskaarne Billeders Land, og de rose sig som afsindige af deres Skræmmebilleder.
Ukame unakuja juu ya maji yake, hivyo yatakauka. Maana ni nchi ya miungu wasiofaa, na wanafanya kama watu waliofanywa punguani kwa miungu yao isiyosaidia.
39 Derfor skulle Ørkenens Vildt og Ulve bo der og Strudser bo derudi; og den skal ikke ydermere bebos evindelig, og ingen skal bo i den fra Slægt til Slægt.
Hivyo wanyama wa jangwani wakaishi na mbwea wataishi huko, na watoto wa mbuni wataishi ndani yake. Kwa muda wote, hatakaliwa tena. Kutoka kizazi hata kizazi, hatakaliwa tena na watu.
40 Ligesom Gud har omstyrtet Sodoma og Gomorra og dens Naboer, siger Herren, saa skal ingen bo der og intet Menneskebarn opholde sig der.
Kama vile Mungu alivyoziangamiza Sodoma na Gomora na majirani zake - asema Yahwe - hakuna atakayeishi huko; hakuna mtu atakayekaa ndani yake.”
41 Se, et Folk kommer fra Norden, ja et stort Folk, og mange Konger skulle rejse sig fra det yderste af Jorden.
“Tazama, watu wanakuja kutoka kaskazini, maana taifa kubwa na wafalme wengi wamemtikisa kutokea mbali.
42 De skulle føre Bue og Glavind, de ere grumme og skulle ikke forbarme sig, deres Røst skal bruse som Havet, og de skulle komme ridende paa Heste, rustede som en Mand til Krig, imod dig, Babels Datter!
Watachukua pinde na mishale. Ni wakatili na hawana huruma. Sauti yao ni kama mngurumo wa bahari, na wamepanda farasi katika mpangilio kama watu wapiganao, dhidi yako, bindi Babeli.
43 Kongen af Babel har hørt Rygtet om dem, og hans Hænder ere blevne slappe; Angest har betaget ham, en Smerte som hendes, der føder.
Mfalme wa Babeli amesikia habari yao na mikono yake imelegea kwa huzuni. Mashaka yamemshika kama mwanamke katika utungu.
44 Se, han drager op som en Løve fra Jordans Stolthed imod den stedse friske Græsgang; thi i et Øjeblik vil jeg jage dem bort derfra; og hvo er den udvalgte, som jeg vil beskikke over den? thi hvo er som jeg? og hvo kan kræve mig til Regnskab? og hvo er den Hyrde, som kan bestaa for mit Ansigt?
Tazama! Anakwenda juu kama simba atokaye katika miinuko ya Yordani kuelekea katika eneo la malisho ya uvumilivu. Maana kwa haraka nitawafanya wakimbie kutoka humo, nami nitamweka mtu aliyechaguliwa kwa uangalizi wake. Maana ni nani aliye kama mimi, na ni nani atakayeniagiza? Mchungaji gani awezaye kunizuia?
45 Derfor, hører Herrens Raad, som han har besluttet imod Babel, og hans Tanker, som han har tænkt imod Kaldæernes Land: Man skal visselig bortslæbe de smaa Lam af Jorden, og Græsgangen skal forfærdes over dem.
Sikilizeni mipango ambayo Yahwe ameamua juu ya Babeli, mipango aliyonayo dhidi ya nchi ya Wakaldayo. Kwa hakika wataondolewa, hata kundi dogo zaidi. Eneo lao la malisho litageuzwa kuwa sehemu zenye magofu.
46 Ved Rygtet, at Babel er indtaget, bæver Jorden, og et Skrig høres iblandt Folkene.
Kwa sauti ya kuangushwa kwa Babeli nchi inatikisika, na sauti ya mateso yao inasikiwa kati ya mataifa.”