< Jeremias 32 >
1 Det Ord, som kom til Jeremias fra Herren i Judas Konge Zedekias's tiende Aar; det Aar er Nebukadnezars attende Aar;
Neno likaja kwa Yeremia kutoka kwa Yahwe katika mwaka wa kumi wa Sedekia mfalme wa Yuda, katika mwaka wa kumi na nane wa Nebukadreza.
2 — og dengang belejrede Kongen af Babels Hær Jerusalem; men Profeten Jeremias var indelukket i Forgaarden til Fængselet, som var i Judas Konges Hus;
Katika wakati huo, jeshsi la mfalme wa Babeli lilikuwa limeuzunguka Yerusalemu, na Nehemia nabii alikuwwa amefungwa katika uwanja wa walinzi katika nyumba ya mfalme wa Yuda.
3 hvor Zedekias, Judas Konge, havde indelukket ham og sagt: Hvorfor spaar du og siger: Saa sagde Herren: Se, jeg giver denne Stad i Kongen af Babels Haand, at han skal indtage den,
Sedekia mfalme wa Yuda alikuwa amemfunga na kusema, “Kwa nini unatabiri na kusema, 'Yahwe anasema hivi: Angalia, niko karibu kuweka mji huu katika mikono ya mfalme wa Babeli, na atauteka.
4 og Zedekias, Judas Konge, skal ikke undkomme fra Kaldæernes Haand; men han skal visselig gives i Kongen af Babels Haand, og hans Mund skal tale med hans Mund, og hans Øjne skulle se hans Øjne;
Sedekia mfalme wa Yuda hatapona kutoka kwenye mikono ya Wakaldayo, kwa maana hakika atatiwa katika mkono wa mfalme wa Babeli. Mdomo wake utazumzia kwenye mdomo wa mfalme, na macho yake yatayaona macho ya mfalme.
5 og han skal føre Zedekias til Babel, og han skal blive der, indtil jeg ser til ham, siger Herren; thi om I end stride imod Kaldæerne, skulle I ikke have Lykke. —
Atampeleka Sedekia Babeli, na atabaki huko hadi nimuadhibu—hili ni tangazo la Yahwe. Ingawa unapigana dhidi ya Wakaldayo, hautafanikiwa.”
6 Og Jeremias sagde: Herrens Ord er kommet til mig saalunde:
Yeremia akasema, “Neno la Yahwe likaja kwangu, likisema, Angalia, Hanameli mwana wa Shalumu mjomba wako anakuja kwako na atasema,
7 Se, Hanameel, din Farbroder, Sallums Søn, kommer til dig og siger: Køb dig min Ager, som er i Anathoth; thi du har Løsningsretten, at du kan købe den.
“Linunue shamba langu ambalo liko katika Anathothi kwa ajili yako, kwa maana haki ya kununua ni yako.””
8 Og Hanameel, min Farbroders Søn, kom til mig efter Herrens Ord til Fængselets Forgaard og sagde til mig: Kære, køb min Ager, som er i Anathoth, i Benjamins Land; thi du har Arveretten, og du har Løsningsretten, køb dig den; da fornam jeg, at det var Herrens Ord.
Kisha, kama Yahwe alivyotangaza, Hanameli, mwana wa mjomba wangu, akaja kwangu katika uwanja wa walinzi, na akasema kwangu, 'Linunue shamba langu kwa ajili yako ambalo liko Anathothi katika nchi ya Benyamini, kwa maana haki ya urithi ni ya kwako, na haki ya kulinunua ni yako. Linunue kwa ajili yako.' Kisha nilijua kuwa hili lilikuwa neno la Yahwe.
9 Og jeg købte af Hanameel, min Farbroders Søn, Ageren, som var i Anathoth, og vejede ham Pengene til, sytten Sekel Sølv.
Kwa hiyo nililinua shamba katika Anathothi kutoka kwa Hanameli, mwana wa mjomba wangu, na nilipima fedha kwa ajili yake, shekeli kumi na saba katika uzito.
10 Og jeg skrev det i Brevet og forseglede det og tog Vidner dertil og vejede Pengene i Vægtskaalerne:
Kisha niliandika katika barua na kuitia muhuri, na kulikuwa na mashadi wakaishuhudia. Kisha nikampa fedha katika mizani.
11 Og jeg tog Købebrevet, det som var forseglet og indeholdt, hvad der var bestemt og fastsat, og det, som var aabent.
Kisha nikaichukua hati ya manunuzi ambayo ilikuwa imepigwa muhuri, kwa kuifuata amri na taratibu, na kama ilivyo ada.
12 Og jeg gav Baruk, en Søn af Neria, som var en Søn af Mahasia, Købebrevet for Hanameels, min Farbroders Søns, Øjne og for de Vidners Øjne, som havde underskrevet Købebrevet, for alle de Jøders Øjne, som sade i Fængselets Forgaard.
Ile barua nikampa Baruku mwana wa Neria wa Maaseya mbele ya Hanameli, mwana wa mjomba wangu, na mashahidi waliotia sahihi kwenye barua iliyopigwa muhuri, na mbele ya Wayahudi wote waliokaa katika uwanja wa walinzi.
13 Og jeg befalede Baruk for deres Øjne og sagde:
Kwa hiyo nikampa amri Baruku mbele yao. Nilisema,
14 Saa siger den Herre Zebaoth, Israels Gud: Tag disse Breve, dette Købebrev, baade dette forseglede og dette aabne Brev, og læg dem i et Lerkar, at de maa holde sig mange Dage.
Yahwe, Mungu wa Israeli, anasema hivi: Chukua nyaraka hizi, vyote hati hii ya manunuzi iliyopigwa muhuri na nakala zisizopigwa muhuri za manunuzi, na uziweke katika chungu cha udongo ili vidumu kwa muda mrefu.
15 Thi saa siger den Herre Zebaoth, Israels Gud: Endnu skal der købes Huse og Agre og Vingaarde i dette Land.
Kwa maana Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: Nyumba, mashamba, na mashamba ya mizabibu vitanunuliwa tena katika nchi hii.
16 Og jeg bad til Herren, efter at jeg havde overgivet Baruk, Nerias Søn, Købebrevet og sagde:
Baada ya kumpa Baruki mwana wa Neria ile hati ya manunuzi, nikaomba kwa Yahwe nikasema,
17 Ak, Herre, Herre! se, du har skabt Himmelen og Jorden ved din store Kraft og ved din udrakte Arm; der er ingen Ting underlig for dig,
Ole, Bwana Yahwe! Angalia! Wewe peke yako umezitengeneza mbingu na dunia kwa nguvu zako kuu na kwa mkono wako ulioinuka. Hakuna kitu ambacho ukisema kwako ni kigumu sana kukifanya.
18 du, som gør Miskundhed imod tusinde og som betaler Fædrenes Misgerning i deres Børns Barm efter dem, du store, du vældige Gud, hvis Navn er Herren Zebaoth,
Wewe huonesha agano la uaminifu kwa maelfu na kumimina makosa ya wanadamu katika mapaja ya watoto wao baada yao. Wewe ni Mungu mkuu na mwenye nguvu.
19 stor i Raad og mægtig i Gerning; thi dine Øjne ere opladte over alle Menneskens Børns Veje til at give hver efter hans Veje og efter hans Idrætters Frugt!
Wewe ni mkuu katika hekima na una nguvu katika matendo, kwa maana macho yako yanaona njia zote za watu, ili kumlipa kila mtu stahiki ya matendo yake.
20 Du, som har gjort Tegn og underlige Ting i Ægyptens Land, indtil denne Dag, baade iblandt Israel og iblandt andre Mennesker, og har indlagt dig et Navn, som det er paa denne Dag;
Ulifanya ishara na maajabu katika nchi ya Misiri. Hata leo hapa Israeli na kati ya wanadamu wengine wote, umelifanya jina lako kuwa maarufu.
21 og du udførte dit Folk Israel af Ægyptens Land, ved Tegn og ved underlige Ting og ved en stærk Haand og ved en udrakt Arm og ved stor Forfærdelse;
Kwa maana uliwanunua watu wako Israeli kwa ishira na maajabu, kwa mkono hodari, kwa mkono ulioinuka, na kwa hofu kuu.
22 og du gav dem dette Land, som du tilsvor deres Fædre at ville give dem, et Land, som flyder med Mælk og Honning;
Kisha uliwapa nchi hii—ambayo uliapa kwa babu zao kwamba utawapa—nchi itiririkayo maziwa na asali.
23 og de kom og toge det i Eje, men de hørte ikke din Røst og vandrede ikke efter din Lov; alt det, som du bød dem at gøre, gjorde de ikke; og du lod al denne Ulykke møde dem.
Hivyo walingia na kuimiliki. Lakini hawakuitii sauti yako wala kuishi kwa kuitii sheria yako. Hawakufanya chochote ulichowaamuru kufanya, kwa hiyo umeleta juu yao majanga haya yote.
24 Se, Belejringsvoldene ere komne ind imod Staden til dens Indtagelse, og Staden er given i Kaldæernes Haand, som stride imod den, ved Sværdet og Hungeren og Pesten; og det, som du har talt, er sket, og se, du ser det.
Angalia! Urefu wa maboma haya umefika hadi kwenye mji ili kuuteka. Kwa sababu ya upanga, njaa, na tauni, mji umetiwa kwenye mikono ya Wakaldayo wanaopigana dhidi yake. Kwa maana ulichosema kitatokea sasa kinatokea, na ona, unatazama.
25 Og du, Herre, Herre, har dog sagt til mig: Køb dig Ageren for Penge og tag Vidner derpaa, skønt Staden er given i Kaldæernes Haand.
Kisha wewe mwenyewe uliniambia, “Nunua shamba kwa fedha kwa ajili yako na mashahidi wameshuhudia, ingawa mji huu unatiwa mikononi mwa Wakaldayo.””
26 Og Herrens Ord kom til Jeremias, saa lydende:
Neno la Mungu likaja kwa Yeremia, likisema,
27 Se, jeg er Herren, alt Køds Gud; mon nogen Ting skulde være underlig for mig?
“Angalia! Mimi ni Yahwe, Mungu wa wanadamu wote. Kuna kitu cho chote kigumu sana kwangu kukifanya?
28 Derfor, saa siger Herren: Se, jeg giver denne Stad i Kaldæernes Haand og i Nebukadnezar, Kongen af Babels Haand, at han skal indtage den.
Kwa hiyo Yahwe anasema hivi, 'Ona, niko karibu kuutia mji huu kwenye mikono ya Wakaldayo na Nebukadreza, mfalme wa Babeli. Atauteka.
29 Og Kaldæerne, som stride imod denne Stad, skulle komme og stikke Ild paa denne Stad og opbrænde den og Husene, paa hvis Tage de gjorde Røgelse for Baal og udøste Drikoffer for andre Guder for at opirre mig.
Wakaldayo wanaopigana dhidi ya mji huu watakuja na kuwasha moto kwenye mji huu na kuunguza, pamoja na nyumba juu ya paa la watu waliomwabudu Baali na kumimina dhabihu kwa miungu wengine ili kunikasirisha.
30 Thi Israels Børn og Judas Børn have kun gjort ondt for mine Øjne fra deres Ungdom af; og Israels Børn have kun opirret mig med deres Hænders Gerning, siger Herren.
Kwa maana watu wa Israeli na Yuda hakika wamekuwa watu wanaofanya maovu mbele ya macho yangu tangu ujana wao. Watu wa Israeli hakika wameniudhi kwa matendo ya mikono yao—hili ni tangazo la Yahwe.
31 Thi til Vrede for mig og til Harme for mig har denne Stad været fra den Dag, da de byggede den, og indtil denne Dag, saa at jeg maa skaffe den bort fra mit Ansigt
Yahwe anatangaza kwamba mji huu umekuwa sababu ya hasira yangu na ghadhabu yangu tangu siku walipoujenga. Umekuwa hivyo hata leo. Kwa hiyo nitaundoa mbele ya uso wangu
32 formedelst al Israels Børns og Judas Børns Ondskab, som de øvede for at opirre mig, de, deres Konger, deres Fyrster, deres Præster og deres Profeter, baade Judas Mænd og Jerusalems Indbyggere.
kwa sababu ya uovu wote wa watu wa Israeli na Yuda, mambo waliyofanya ili kunichukiza—wao, wafalme wao, wana wa wafalme, makuhani, manabii, na kila mtu katika Yuda na wakaaji wa Yerusalemu.
33 Og de vendte Ryggen til mig, og ikke Ansigtet; skønt jeg lærte dem tidligt og ideligt, hørte de dog ikke, saa at de annammede Undervisning.
Wamenigeuzia migongo yao badala ya nyuso zao, ingawa niliwafundisha kwa furaha. Nilijitahidi kuwafundisha, lakini hakuna hata mmoja wao aliyenisikiliza ili kupokea marekebisho.
34 Men de satte deres Vederstyggeligheder i det Hus, som er kaldet efter mit Navn, for at besmitte det.
Walisimamisha sanamu zao za ajabu katika nyumba inayoitwa kwa jina langu, ili kunitia unajisi.
35 Og de byggede Baalshøjene, som ere i Ben-Hinnoms Dal, for at ofre deres Sønner og deres Døtre til Molek, hvilket jeg ikke havde befalet dem, og hvilket ikke var kommet mig i Sinde, og for at gøre denne Vederstyggelighed, paa det de maatte faa Juda til at synde.
Wakazijenga sehemu za juu katika Bonde la Beni Hinomu ili kuwatia katika moto wana wao na binti zao kwa ajili ya Moleki. Mimi sikuwaagiza. Sikuweka akilini mwangu kamwe kwamba watafanya mambo maovu na kwa hiyo kuwasabisha Yuda watende dhambi.
36 Og nu siger Herren, Israels Gud, derfor saaledes om denne Stad, om hvilken I sige, at den gives i Kongen af Babels Haand, ved Sværdet og ved Hungeren og ved Pesten:
Kwa hiyo sasa, Mimi, Yahwe, Mungu wa Israeli, kuhusu mji huu ninasema hivi, 'mji ambao mnasema, 'Umetiwa mikononi mwa mfalme wa Babeli kwa upanga, njaa, na pigo.'
37 Se, jeg samler dem fra alle Landene, hvorhen jeg fordrev dem i min Vrede og i min Harme og i stor Fortørnelse; og jeg vil føre dem tilbage til dette Sted og lade dem bo tryggelig.
Ona, niko karibu kuwakusanya kutoka kila nchi nilikowapeleka katika hasira yangu, ghadhabu, hasira kuu. Niko karibu kuwarudisha kwenye sehemu hii na kuwawezesha kuishi katika usalama.
38 Og de skulle være mig et Folk, og jeg vil være dem en Gud.
Kisha watakuwa watu wangu, nami nitakuwa Mungu wao.
39 Og jeg vil give dem eet Hjerte og een Vej, at de skulle frygte mig alle Dage, for at det maa gaa dem vel og deres Børn efter dem.
Nitawapa moyo mmjoa na na njia moja ya kuniheshimu kila siku ili kwamba yawepo mema kwa ajili yao na uzao wao baada yao.
40 Og jeg vil slutte en evig Pagt med dem, at jeg ikke vil drage mig tilbage fra dem, med at gøre dem godt; og jeg vil lægge min Frygt i deres Hjerter, at de ikke skulle vige fra mig.
Kisha nitafanya pamoja nao agano la milele, ili nisiache kufanya mema kwa ajili yao. nitajiwekea heshima katika mioyo yao, ili kwamba wasiniache.
41 Og jeg vil glæde mig over dem ved at gøre dem godt; og jeg vil plante dem i dette Land i Sandhed, af mit ganske Hjerte og af min ganske Sjæl.
Kisha nitajifurahisha katika kufanya mema kwao. Kwa uaminifu nitawapanda katika anchi hii kwa moyo wangu wote na maisha yangu yoye.
42 Thi saa siger Herren: Ligesom jeg lod al den store Ulykke komme over dette Folk, saaledes vil jeg lade alt det gode komme over dem, som jeg taler over dem.
Kwa amaana Yahwe anasema hivi, 'Kama tu nilivyoyaleta majanga haya makubwa yote juu ya watu hawa, hivyo hivyo nitaleta juu yao mambo mema niliyosema kwamba nitafanya kwa ajili yao.
43 Og der skal købes Agre i dette Land, om hvilket I sige: Det er øde, uden Folk og Kvæg, det er givet i Kaldæernes Haand.
Basi mashamba yatanunuliwa katika nchi hii, ambayo mnaisema, “Hii ni nchi iliyoharibiwa, isiyo na mwanadamu wala mnyama. Imetiwa mikononi mwa Wakaldayo”
44 De skulle købe Agre for Penge og skrive Breve og forsegle dem og tage Vidner derpaa, i Benjamins Land og trindt omkring Jerusalem, og i Judas Stæder og i Stæderne paa Bjerget og i Stæderne i Lavlandet og i Stæderne imod Sønden; thi jeg vil omvende deres Fangenskab, siger Herren.
Watanunua mashamba kwa fedha na kuandika katika barua zilizopigwa muhuri. Watawakusanya mashahidi katika nchi ya Benyamini, wote kuzunguka Yerusalemu na miji ya Yuda katika miji ya nchi yenye vilima, na katika nchi tambarare, na katika miji ya Negebu. Kwa maana nitawarejesha wafungwa wao—hili ni tangazo la Yahwe.”'