< Jeremias 31 >
1 Paa den Tid, siger Herren, vil jeg være alle Israels Slægters Gud, og de skulle være mit Folk.
“Katika wakati huo—hili ni tangazo la Yahwe—Nitakuwa Mungu wa familia zote za Israel, na watakuwa watu wangu.”
2 Saa siger Herren: Et Folk, som er overblevet fra Sværd, har fundet Naade i Ørken; jeg gaar hen for at skaffe Israel Hvile.
Yahwe anasema hivi, “Watu ambao wamenusurika na upanga wamepata kibali katika nyika; nitatoka nje kuwapa pumziko Israeli.”
3 Herren har ladet sig se for mig fra det fjerne: Jeg har elsket dig med en evig Kærlighed, derfor har jeg bevaret dig Miskundhed.
Yahwe alionitokea zamani na kusema, “Nimekupenda wewe, Israeli, kwa upendo wa milele. Kwa hiyo nimekuvuta kwang kwa agano la uaminifu.
4 Endnu vil jeg opbygge dig, og du skal bygges, du Israels Jomfru! endnu skal du pryde dig med Pauker og gaa ud i de legendes Dans.
Nitakujenga tena kwa hiyo utakuwa umejengwa, bikra wa Israeli..... na kwenda nje michezo ya furaha.
5 Endnu skal du plante Vingaarde paa Samarias Bjerge; de, som plante, skulle plante dem og tage dem i Brug.
Utapanda mizabibu tena juu ya milima Samaria; wakulima watatapanda na kuweka matunda kwa ajili ya matumizi mazuri.
6 Thi der kommer en Dag, da Vægtere paa Efraims Bjerg skulle raabe: Staar op, og lader os gaa op til Zion, til Herren vor Gud.
Kwa maana siku itakuja wakati walizi watakapotangaza katika milima ya Efraimu, 'Inuka, twndeni juu kwenye mlimaa wa Yahwe Mungu wetu.'
7 Thi saa siger Herren: Fryder eder over Jakob med Glæde, og jubler over det første af Folkene, lader det høres, priser og siger: Herre, frels dit Folk, det overblevne af Israel.
Kwa maana Yahwe anasema hivi, Piga kelele za shangwe juu ya Yakobo! Pigeni za furaha kwa ajili ya watu wakuu wa mataifa! Sifa zisikike. Sema, ''Yahwe amewaokoa watu wake, masalia wa Israeli.'
8 Se, jeg fører dem fra Nordenland og vil samle dem fra det yderste af Jorden; iblandt dem skal der være blinde og halte, frugtsommelige og fødende til Hobe; de skulle komme hid tilbage som en stor Forsamling.
Ona, niko karibu kuwaletaa kutoka nchi za kusini. Nitawakusanya kutoka sehemu zaa mbali za dunia. Vipofu na wenye ulemavu watakuwa kati kati yao; wanawake wajawazito na wale waliokaribu kujifungua wataakuwa pamoja nao. Kusanyiko kubwa litarudi hapa.
9 De skulle komme med Graad, og under deres ydmyge Bønner vil jeg føre dem frem; jeg vil lede dem til Vandbække paa en jævn Vej, hvor de ikke skulle støde sig; thi jeg er bleven Israels Fader, og Efraim, han er min førstefødte Søn.
Watakuja kwa kuomboleza; nitawaongoza huku wakifanya maoambi yao. Nitawafanya wasafiri kataika mikondo ya maji katika bara bara ilinyoka. Hawatajikwaa juu yake, kwa maana nitakuwa baba kwa Israeli, na Afraimu atakuwa mzaliwa wanagau wwa kwanza
10 Hører, I Hedninger I Herrens Ord og kundgører det paa Øerne i det fjerne og siger: Den, som adspredte Israel, skal samle det og bevare det som en Hyrde sin Hjord.
Sikia neno la Yahwe, mataifa. Litangazeni pembezoni mwa visiwa mbali. Enyi mataifa lazima museme, 'Yule aliyemtawanya Israeli anamkusanya tena na kuwalinda kama mchungaji alindavyo kondoo.'
11 Thi Herren har løskøbt Jakob og igenløst ham af dens Haand, som var stærkere end han.
Kwa maana Yahwe amemfidia Yakobo na kumkomboa kutoka mkono ambao ulikuwa na nguvu sana kwake.
12 Og de skulle komme og synge med Fryd paa Zions Høj og strømme til Herrens gode Gaver, til Korn og til Most og til Olie og til unge Faar og Øksne; og deres Sjæl skal være som en vandrig Have, og de skulle ikke herefter bedrøves mere.
Kisha watakuja na kufurahia katika vilele vya Sayuni. Nyuso zao zitamelemeta kwa sababu ya wema wa Yahwe, juu ya nafaka na divai mpya, juu ya mafuta na malimbuko ya kwanza ya makundi na ng'ombe. Kwa maana maisha yao yatakuwa kama busitani iliyomwagiliwa, na hatatajisikia huzuni tena.
13 Da skal en Jomfru glæde sig i Dans, og unge og gamle til Hobe; og jeg vil vende deres Sorg til Glæde og trøste dem og glæde dem efter deres Bedrøvelse.
Kisha wanawali watafurahia kwa kucheza, na vijana na wanaume wazee watakuwa pamaoja. Kwa maana nitayageuza maombolezo yao kuwa sherehe. Nitakuwa na huruma juu yao na kuwafanya kufurahi badala ya kuhuzunika.
14 Og jeg vil vederkvæge Præsternes Sjæl med det fede, og mit Folk, de skulle mættes med mine Gaver, siger Herren.
Kisha nitayaloanaisha sana maisha ya makuhani. Watu wangu watajijaza wenyewe kwa wema—hili ni tangazo la Yahwe.”
15 Saa siger Herren: Der er hørt en Røst i Rama, en Klage, en bitter Graad, Rakel græder over sine Børn; hun vægrer sig ved at lade sig trøste over sine Børn, thi de ere ikke mere til.
Yahwe anasema hivi: “Sauti imesikika katika Rama, kilio na maombolezo mengi. Ni Raheli akiomboleza kwa ajili watoto wake. Hataki kufarijiwa tena juu yao, kwa maana hawako hai tena.”
16 Saa siger Herren: Hold din Røst fra Graad og dine Øjne fra Taarer; thi der er Løn for dit Arbejde, siger Herren; og de skulle komme tilbage fra Fjendens Land.
Yahwe anasema hivi, Zuia sauti yako usilie na macho yako yasitoe machizi; kwa maana kuna fidia kwa ajili ya mateso yako—hili ni tangazo la Yahwe—watoto wako watarudi kutoka nchi ya adui.
17 Og der er Haab for din sidste Tid, siger Herren; og Børnene skulle komme igen til deres Landemærker.
Kuna matumaini kwa ajili ya siku zenu za baadaye—hili ni tangazo la Yahwe—uzao wako watarudi ndani ya mipaka yao.”
18 Jeg har hørt Efraim ynkeligt klage: Du har tugtet mig, og jeg er tugtet som en Kalv, der ikke er tæmmet; omvend mig, og jeg vil omvende mig; thi du er Herren min Gud.
Kwa hakika nimemsikia Efraimu akilia, 'Uliniadhibu, nami nieadhibika kama ndama assiye na mafunzo. Nirudisha na nitarudishwa, kwa maana wewe ni Yahwe Mungu wangu.
19 Thi efter at jeg havde vendt mig bort, angrede jeg det, og efter at jeg var kommen til at erkende det, slog jeg mig paa Hoften; jeg var beskæmmet og skammede mig, thi jeg maatte bære min Ungdoms Skændsel.
Kwa maana baada ya kurudi kwako, nilikuwa na huzuni; baada ya kufundiswa, nilijipiga kofi sshavu langu. Niliaibika ana dharirika, kwa maana nilizaliwa na hataia ya ujana wangu.'
20 Er da Efraim mig en dyrebar Søn? eller er han mit Yndlingsbarn? thi saa ofte jeg end har talt imod ham, kommer jeg ham dog endnu flittigt i Hu; derfor bruser mit Indre for ham, jeg vil forbarme mig over ham, siger Herren.
Efraimu siyo mtoto wangu wa thamani? Yeye si mpendwa wangu, mwanangu anipendezaye? Kwa maana kila ninaponena juu yake, bado nina mwita kipenzi cha akili yangu. Kwa namna hii moyo wangu unamtamani. Kwa hakika nitaakuwa na huruma ajuu yake—hili ni tangazo la Yahwe.”
21 Oprejs dig Vejvisere, sæt dig Mærkestene, agt vel paa Stien, den Vej, ad hvilken du gik bort; vend tilbage, du Israels Jomfru, vend tilbage til disse dine Steder.
Jiwekee alama za bara bara kwa ajili yako mwenyewe. Weka matangaazo ya maelekezo kwa ajili yako mwenyewe. Iweke akili yako juu ya njia sahihi, njia unayopaswa kufuata. Rudii, bikra Israeli! Rudi kwenye hii miji yako.
22 Hvor længe vil du fare omkring, du frafaldne Datter; thi Herren skaber nyt paa Jorden: Kvinde skal omgive Manden.
Utatanga tanga hadi lini, binti usiye mwaminifu? Kwa maana Yahwe ameumba kitu fulani kipya juu ya dunia—mwanamke anamzunguka mwanaume.
23 Saa siger den Herre Zebaoth, Israels Gud: Endnu skulle de sige dette Ord i Judas Land og i hans Stæder, naar jeg omvender deres Fangenskab: Herren velsigne dig, du Retfærdigheds Bolig! du hellige Bjerg!
Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi, '“Nitakapowarudisha watu katika nchi yao, watasema hivi katika anchi ya Yuda na miji yake, “Yahwe akubariki, wewe sehemu takatifu ambapo anaishi, ewe mlima mtakatifu.'
24 Og Juda og alle hans Stæder skulle bo derudi til Hobe, de, som dyrke Ageren, og de, som drage om med Hjorden.
Kwa maana Yuda na miji yake yote wataishi pamoja humo, kama vile watakavyoishi wakulima na wachungaji pamaoja na makundi yao.
25 Thi jeg vederkvæger den trætte Sjæl og mætter hver vansmægtet Sjæl.
Kwa maana nitawapa majai ya kunywa waliochoaka, na nitamjaza kila anayeteseka na kiu.”
26 Derfor vaagnede jeg op og saa, og min Søvn var mig sød.
Baada ya haya niliamka, na nikagundua kwamba usingizi wangu ulikuwa unaburudisha.
27 Se, de Dage komme, siger Herren, da jeg vil besaa Israels Hus og Judas Hus med en Sæd af Folk og med en Sæd af Kvæg.
Angalia, siku zinakuja—hili ni tangazo la Yaahwe—nitakapoipanda nyumba ua Israeli na Yuda pamoja na wazawa wa wanadamaau na wanyama.
28 Og det skal ske, at ligesom jeg var aarvaagen over dem til at oprykke og til at nedrive og til at nedbryde og til at ødelægge og til at handle ilde med dem: Saaledes vil jeg være aarvaagen over dem til at bygge og til at plante, siger Herren.
Zamani, niliwaweka katika uangalizi ili kuwang'oa na kuwabomoa, kuwaangusha, kuwaharibu, na kuwaletea madhara. Lakini katika siku zijazo, nitawaangalia, ili niwajenge na kuwapanda—hili ji tangazo la Yahwe.
29 I de Dage skulle de ikke mere sige: Fædrene aade sure Druer, og Børnenes Tænder bleve ømme;
Katika siku hizo hakuna atakayesema tena, “Baba za watu wamekula zabibu kali, bali meno ya watoto ni butu.'
30 men enhver skal dø for sin egen Misgernings Skyld, hvert Menneske, som æder de sure Druer, hans Tænder skulle blive ømme.
Kwa maana kila mtu atakuwa katika uovu wake mwenyewe; kila alaye zabibu kalai, meno yake yataakuwa butu.
31 Se, de Dage komme, siger Herren, da jeg vil slutte en ny Pagt med Israels Hus og med Judas Hus;
Angalia, siku zinakuja—hili ni tangazo la Yahwe—nitakapoanzisha aganao jipya pamaoja na nyumba aya Israeli na nyumba ya Yuda.
32 ikke efter den Pagt, som jeg sluttede med deres Fædre, der jeg tog dem ved Haanden for at udføre dem af Ægyptens Land, hvilken Pagt med mig de brøde, endskønt jeg var deres Ægtemand, siger Herren;
Halitakuwa kama agano ambalo nilianzisha na baba zao nilipowatoa kwa mkono wao nje ya nchi ya Missiri. Hizo zzilikuwa siku ambapo walilivunja aaganao lanaahu, ingawa nilikuwa mme kwao—hili ni tangazo la Yahwe.
33 men dette er Pagten, som jeg vil slutte med Israels Hus, efter disse Dage, siger Herren: Jeg giver min Lov i deres Indre og skriver den i deres Hjerte, og jeg vil være deres Gud, og de skulle være mit Folk.
Lakaini hili ni agano nitakaloanzisha na nyumba ya Israeli baada ya siku hizi—hili ni tangazo la Yahwe: Nitaiweka sheria yangu ndani yao na nitaiandika juu ya mioyo yao, kwa maana nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watau wangu.
34 Og de skulle ikke mere lære nogen sin Næste eller nogen sin Broder, sigende: Kender Herren; thi de skulle alle kende mig, baade de smaa og de store iblandt dem, siger Herren; thi jeg vil forlade dem deres Skyld og ikke ydermere komme deres Synd i Hu.
Kisha kila mtu hatamfundisha jiranai yake, wala mtu hatamfundisha ngugu yake akisema, 'Mjue Yahwe!' Kwa maana wao wote, kuanzia mdogo wao hata mkubwa, watanijua—hili ni tangazo la Yahwe—kwa maana nitawasamehe uovu wao na sitazikumbuka tena dhambi zao.”'
35 Saa siger Herren, som sætter Solen til Lys om Dagen, Maanens og Stjernernes Love til Lys om Natten, han, som oprører Havet, at dets Bølger bruse, Herre Zebaoth er hans Navn:
Yahwe anasema hivi—Yahwe, yeye afanyaye jua kuangaza mchana na kuzipanga mwezi na nyota kuangaza usiku. Yeye ndiye aiwekaye bahari katika mwendo ili mawimbi yake yaungurume. Yahwe wa majeshi katika ajina lake.
36 Dersom disse Love vige for mit Ansigt, siger Herren, da skal og Israels Sæd ophøre med at være et Folk for mit Ansigt alle Dage.
Anasema hivi, ikiwa tu mambo haya ya akudumu yakitoweka machoni panaagu—hili ni agizo la Yahwe—uzao wa Israeli hawatasimama mbaalai nami wasiwe taiafa.”
37 Saa siger Herren: Dersom Himlene heroventil kunne maales, og Jordens Grundvold hernedentil kan udforskes, saa vil jeg og forkaste al Israels Sæd for alt det, som de have gjort, siger Herren.
Yahwe anasema hivi, “Kama tu urefu wa mbingu unaweza kupimwa, na kama tu misingi ya dunia chini inaweza kugunduliwa, nitawakataa uzao wote wa Israeli kwa sababu ya yote waliyofanya—hili ni tangazo la Yahwe.”
38 Se, de Dage komme, siger Herren, da Staden skal bygges for Herren, fra Hananeels Taarn indtil Hjørneporten.
“Angalia, siku zinakuja—hili ni tanagazo la Yahwe—ambapo mji utajengwa tena kwa ajili yanagu, kutoka Mnara wa Hananeli hadi kwenye Lango la Pembeni.
39 Og over for den skal Maalesnoren gaa videre over Garebs Høj og vende sig om imod Goat.
Kisha mistari ya kupimia itaenda nje hadi mbali, hadi kwenye kilima cha Garebu na kuzunguka Goa.
40 Og den hele Dal med Aadslerne og Asken og alle Markerne indtil Kedrons Bæk, indtil Hesteportens Hjørne imod Østen skal være Herren en Helligdom; den skal ikke forstyrres og ikke nedbrydes mere evindelig.
Bonde lote la miili iliyokufa na majivu, na shamaba lenye matuta linalofika hadi Bonde la Kidroni mbali hadi kwenye kona ya Lango la Farasi upande wa mashariki, litateuliwa kwa ajili ya Yahwe. Mji hautang'olewa wala kupinduliwa tena, milele.”