< Esajas 52 >

1 Vaagn op, vaagn op, ifør dig din Styrke, Zion! ifør dig din Herligheds Klæder, Jerusalem, du hellige Stad! thi ingen uomskaaren eller uren skal ydermere komme ind i dig.
Amka, amka, vaa nguvu zako, Sayuni; vaa vazi lako zuri, mji mtakatifu; maana hakuna tena kutotahiriwa wala wasio safi kuingia kwako.
2 Ryst Støvet af dig, staa op, tag Sæde, Jerusalem! gør dig løs fra Lænkerne om din Hals, du Zions fangne Datter!
Jikung'ute mwenyewe kutoka mavumbini; nyanyuka na ukae, ewe Yerusalemu; ondoa shanga katika shingo yako, wafungwa, binti ya Sayuni.
3 Thi saa siger Herren: I ere solgte for intet, I skulle heller ikke løskøbes ved Penge.
Maana Yahwe asema hivi, umeuzwa bure, na utakombolewa pasipo pesa.''
4 Thi saa siger den Herre, Herre: I Begyndelsen for mit Folk ned til Ægypten for at være fremmed der; og derpaa undertrykker Assur det for intet.
Maana Bwana Yahwe asema hivi, ''Hapo mwanzo watu wangu walishuka chini Misri kuishi kwa muda mfupi; Waasiria waliwanyanyasa wao hivi karibuni.
5 Og nu, hvad har jeg faaet her? siger Herren; thi mit Folk er bortført for intet; dets Herskere hyle, siger Herren, og mit Navn bespottes stedse den ganske Dag.
Sasa ni kitu gani nilicho nacho hapa- Hili ni tamko Yahwe- aonae kwamba watu wake wanachukuliwa bure tu? Wale wanowaongoza wao wanafanya mzaha-Hili ni tamko la Yahwe- jina langu linakashifiwa mchan kutwa.
6 Derfor skal mit Folk lære at kende mit Navn; ja, derfor paa denne Dag; thi jeg er den, som taler, se, her er jeg.
Hivyo basi watu wangu watalijua jina langu; watajua kwamba siku hiyo kwamba mimi ndiye ninayesema ''Ndiyo, Ni Mimi!''
7 Hvor dejlige paa Bjergene ere dens Fødder, som bærer glædeligt Budskab, som forkynder Fred, som bærer glædeligt Budskab om godt, som forkynder Frelse og siger til Zion: Din Gud er Konge!
Ni kwa uzuri gani juu miliima ni miguu ya mjumbe aliyeleta habari njema, atangazae amani, aliyebeba uzuri wa ukuu, aliyetangaza wokovu, anayesema kwa Sayuni, ''Mungu wako anatawala!''
8 Dine Vægteres Røst er der! de opløfte deres Røst, de synge alle med Fryd; thi med Øje imod Øje skue de, at Herren vender tilbage til Zion.
Sikiliza enyi walinzi nyanyueni sauti zenu, kwa pamoja pigeni kelele kwa furaha, maana mtamuona, kwa kila jicho lenu, kurejea kwa Yahwe Sayuni.
9 Raaber med Fryd, synger med Jubel til Hobe, I Jerusalems øde Steder! thi Herren har trøstet sit Folk, han har genløst Jerusalem.
Pazeni sauti kwa kuimba kwa furaha, enyi mateka wa Yerusalemu; maana Yahwe amefariji watu wake; ameikomboa Yerusalemu.
10 Herren har blottet sin hellige Arm for alle Hedningernes Øjne, og alle Jordens Ender skulle se vor Guds Frelse.
Yahwe amewaonyesha kwamba mkono wake mtakatifu katika macho ya mataifa yote; nchi yote itauona wokovu wa Mungu wetu.
11 Bort, bort! drager ud derfra, rører ikke ved noget urent; gaar ud af dens Midte, renser eder, I, som bære Herrens Kar!
Ondokeni, ondokeni, enendeni mbali na hapa; msiguse kitu chochote ambacho ni najisi; au kuishi katikati yake; jitakase mwenyewe, enyi mliobeba vyombo vya Yahwe.
12 Thi I skulle ikke drage ud med Hast ej heller gaa bort i Flugt; thi Herren gaar for eders Ansigt, og Israels Gud slutter eders Tog.
Maana hautakwenda nje kwa kukimbia, wala hautaondoka kwa hofu; Maana Yahwe atakuwa mbele yako; na Mungu wa Israeli atakuwa mlinzi wako nyuma.
13 Se, min Tjener skal handle klogelig; han skal ophøjes og opløftes og vorde saare høj.
Tazameni, mtumishi wangu atafanya hekima; atakuwa juu na atanyanyuliwa juu, na atapandishwa juu.
14 Ligesom mange forskrækkedes over ham — saa var hans Udseende skæmmet, at han ikke var som en Mand, og hans Skikkelse, at han ikke var som et Menneskens Barn, —
Na wengi watamstajabia yeye- muonekano wake umekunjamana nje ya muonekano wa mwanadamu, hivyo basi upande wake ulikuwa mbali na kitu chochote ambacho ni binadamu-
15 saaledes skal han rense mange Hedninger, Konger skulle tillukke deres Mund for ham; thi hvad der ikke var fortalt dem, have de set, og hvad de ikke havde hørt, have de forfaret.
Na hivyo, mtumishi wangu atanyunyizia mataifa mengi na wafme watafunga midomo yao kwa sababu yake. Kana kwamba hawajawahi kuambiwa, wataona, kana kwamba hawakusikia, wataelewa.

< Esajas 52 >