< Esajas 21 >

1 Profeti imod Havets Ørk. Ligesom Hvirvelvinde fare frem i Syden, saa kommer det fra Ørken, fra det forfærdelige Land.
Neno kuhusu Jangwa kando ya Bahari: Kama upepo wa kisulisuli unaopita katika nchi hadi kusini, mshambuliaji anakuja kutoka jangwani, kutoka nchi inayotisha.
2 Mig er kundgjort et haardt Syn: Røveren røver, og Ødelæggeren ødelægger; drag op, Elam! træng paa Madaj! jeg har gjort, at hvert Suk hører op.
Nimeonyeshwa maono ya kutisha: Msaliti anasaliti, mteka nyara anateka nyara. Elamu, shambulia! Umedi, izunguke kwa jeshi! Nitakomesha huzuni zote alizosababisha.
3 Derfor ere mine Lænder fulde af Smerter, Veer have betaget mig ligesom Veer den fødende; jeg vrider mig, saa jeg ikke kan høre, jeg er forfærdet, saa at jeg ikke kan se.
Katika hili mwili wangu umeteswa na maumivu, maumivu makali ya ghafula yamenishika, kama yale ya mwanamke mwenye utungu wa kuzaa. Nimeduwazwa na lile ninalolisikia, nimeshangazwa na lile ninaloliona.
4 Mit Hjerte er forvildet, Gru har forfærdet mig, Tusmørket, som var min Lyst, er blevet mig til Rædsel.
Moyo wangu unababaika, woga unanifanya nitetemeke, gizagiza la jioni nililolitamani sana, limekuwa hofu kuu kwangu.
5 Man dækker Bord, Vagten vaager, man æder, man drikker; — „gører eder rede, I Fyrster! salver Skjoldet!‟
Wanaandaa meza, wanatandaza mazulia, wanakula, wanakunywa! Amkeni, enyi maafisa, zitieni ngao mafuta!
6 Thi saa sagde Herren til mig: Gak, sæt en Vægter ud, lad ham kundgøre, hvad han ser.
Hili ndilo Bwana analoniambia: “Nenda, weka mlinzi, na atoe taarifa ya kile anachokiona.
7 Og ser han Vogne, Ryttere parvis, Vogne, dragne af Asener, Vogne, dragne af Kameler, da skal han give Agt, nøje Agt.
Anapoona magari ya vita pamoja na kundi la farasi, wapanda punda au wapanda ngamia, na awe macho, awe macho kikamilifu.”
8 Og han raabte som en Løve: Herre! jeg staar stadig paa Vagt om Dagen, jeg staar paa min Vare hver Nat.
Naye mlinzi alipaza sauti, “Mchana baada ya mchana, bwana wangu, ninasimama katika mnara wa ulinzi, kila usiku ninakaa mahali pangu nilipoamriwa.
9 Og se! da kom der Vogne med Folk, Ryttere parvis; og han svarede og sagde: Babel er falden, den er falden, og man har kastet alle dens Gudebilleder knuste til Jorden!
Tazama, yuaja mtu anayepanda gari la vita pamoja na kundi la farasi. Naye anajibu: ‘Babeli umeanguka, umeanguka! Vinyago vyote vya miungu yake vimelala chini vikiwa vimevunjwa!’”
10 Du, min tærskede, og du, som har været lagt paa min Lo! det, jeg hørte af den Herre Zebaoth, Israels Gud, kundgjorde jeg eder.
Ee watu wangu, mliopondwa kwenye sakafu ya kupuria, ninawaambia kile nilichokisikia kutoka kwa Bwana Mwenye Nguvu Zote, kutoka kwa Mungu wa Israeli.
11 Profeti imod Duma. Der raaber en til mig fra Seir: Vægter, hvordan skrider Natten? Vægter, hvordan skrider Natten?
Neno kuhusu Duma: Mtu fulani ananiita kutoka Seiri, “Mlinzi, usiku utaisha lini? Mlinzi, usiku utaisha lini?”
12 Vægteren siger: Der kommer Morgen, men ogsaa Nat; ville I spørge, saa spørger! kommer igen en anden Gang.
Mlinzi anajibu, “Asubuhi inakuja, lakini pia usiku. Kama ungeliuliza, basi uliza; bado na urudi tena.”
13 Profeti imod Arabien. I skulle blive Natten over i Skoven i Arabien, I rejsende Hobe af Dedaniter!
Neno kuhusu Arabia: Enyi misafara ya Wadedani, mnaopiga kambi katika vichaka vya Arabia,
14 De komme den tørstige i Møde med Vand; Indbyggerne i Themas Land møde den flygtende med Brød.
leteni maji kwa wenye kiu, ninyi mnaoishi Tema, leteni chakula kwa ajili ya wakimbizi.
15 Thi de flyede for Sværd, for det dragne Sværd, for den spændte Bue og for den svare Krig.
Wanaukimbia upanga, kutoka upanga uliochomolewa alani, kutoka upinde uliopindwa, na kutoka kwenye joto la vita.
16 Thi saa sagde Herren til mig: Endnu inden et Aar, som en Daglønners Aar, da skal al Kedars Herlighed faa Ende.
Hili ndilo Bwana analoniambia: “Katika muda wa mwaka mmoja, kama vile mtumishi aliyefungwa na mkataba angeihesabu, majivuno yote ya Kedari yatafikia mwisho.
17 Og Tallet af Buerne, som blive tilbage for de vældige af Kedars Børn, skal formindskes; thi Herren, Israels Gud, har talt det.
Wanaume wavutao pinde walionusurika, mashujaa wa Kedari, watakuwa wachache.” Bwana, Mungu wa Israeli, amesema.

< Esajas 21 >