< Hoseas 4 >
1 Hører Herrens Ord, Israels Børn! thi Herren har en Trætte med dem, som bo i Landet; thi der er ej Sandhed og ej Kærlighed og ej Gudskundskab i Landet;
Sikieni neno la Bwana, enyi Waisraeli, kwa sababu Bwana analo shtaka dhidi yenu ninyi mnaoishi katika nchi: “Hakuna uaminifu, hakuna upendo, hakuna kumjua Mungu katika nchi.
2 Sværgen og Lyren og Myrden og Stjælen og Bolen! man bryder ind, og Blodskyld rører ved Blodskyld.
Kuna kulaani tu, uongo na uuaji, wizi na uzinzi, bila kuwa na mipaka, nao umwagaji damu mmoja baada ya mwingine.
3 Derfor sørger Landet, og alt, som bor deri, vansmægter, baade de vilde Dyr paa Marken og Fuglene under Himmelen, ogsaa Fiskene i Havet omkomme.
Kwa sababu hii nchi huomboleza, wote waishio ndani mwake wanadhoofika, wanyama wa kondeni, ndege wa angani na samaki wa baharini wanakufa.
4 Dog skal ingen trætte og ingen revse, da dit Folk er som de, der trætte med en Præst.
“Lakini mtu awaye yote na asilete shtaka, mtu yeyote na asimlaumu mwenzake, kwa maana watu wako ni kama wale waletao mashtaka dhidi ya kuhani.
5 Derfor skal du falde om Dagen, og Profeten hos dig skal falde om Natten, og jeg vil lade din Moder gaa til Grunde.
Unajikwaa usiku na mchana, nao manabii hujikwaa pamoja nawe. Kwa hiyo nitamwangamiza mama yako:
6 Til Grunde gaar mit Folk, fordi det ikke har Kundskab; thi som du har forkastet Kundskab, saa vil ogsaa jeg forkaste dig, at du ikke skal gøre Præstetjeneste for mig; og som du glemte din Guds Lov, vil ogsaa jeg glemme dine Børn.
watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa, “Kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe usiwe kuhani kwangu mimi; kwa kuwa umeacha kuijali sheria ya Mungu wako mimi nami sitawajali watoto wako.
7 Jo mere de bleve mangfoldige, desto mere syndede de imod mig; deres Ære vil jeg omskifte til Skam.
Kadiri makuhani walivyoongezeka, ndivyo walivyozidi kutenda dhambi dhidi yangu, walibadilisha utukufu wao kwa kitu cha aibu.
8 De æde mit Folks Syndofre og længes efter, at det skal forsynde sig.
Hujilisha dhambi za watu wangu na kupendezwa na uovu wao.
9 Derfor skal det gaa Præsten ligesom Folket; og jeg vil hjemsøge ham for hans Veje og betale ham for hans Idrætter.
Hata itakuwa: Kama walivyo watu, ndivyo walivyo makuhani. Nitawaadhibu wote wawili kwa ajili ya njia zao na kuwalipa kwa matendo yao.
10 Og de skulle æde og ikke blive mætte, bedrive Hor og ikke formere sig; thi de have holdt op med at agte paa Herren.
“Watakula lakini hawatashiba; watajiingiza katika ukahaba lakini hawataongezeka, kwa sababu wamemwacha Bwana na kujiingiza wenyewe
11 Horeri og Vin og Most tager Forstanden bort.
katika ukahaba, divai ya zamani na divai mpya, ambavyo huondoa ufahamu
12 Mit Folk adspørger sin Træklods, og dets Kæp giver det Besked; thi en Horeriets Aand har forvildet dem, og de bedrive Hor, saa at de ikke ville staa under deres Gud.
wa watu wangu. Hutaka shauri kutoka kwa sanamu ya mti nao hujibiwa na fimbo ya mti. Roho ya ukahaba imewapotosha, hawana uaminifu kwa Mungu wao.
13 De ofre paa Bjergtoppene og gøre Røgoffer paa Højene under Ege og Popler og Terebinther, thi deres Skygge er god; derfor bole eders Døtre, og eders Svigerdøtre bedrive Hor.
Wanatoa dhabihu juu ya vilele vya milima na sadaka za kuteketezwa juu ya vilima, chini ya mialoni, milibua na miela, ambako kuna vivuli vizuri. Kwa hiyo binti zenu wamegeukia ukahaba na wake za wana wenu uzinzi.
14 Jeg vil ikke hjemsøge eders Døtre, fordi de bole, eller eders Svigerdøtre, fordi de bedrive Hor; thi selv gaa de afsides med Horkvinderne og ofre med Skøgerne; og Folket, som er uforstandigt, gaar til Grunde.
“Sitawaadhibu binti zenu wakati wanapogeukia ukahaba, wala wake za wana wenu wanapofanya uzinzi, kwa sababu wanaume wenyewe huandamana na malaya na kutambikia pamoja na makahaba wa mahali pa kuabudia miungu: watu wasiokuwa na ufahamu wataangamia!
15 Om du, Israel, end boler, saa gøre dog Juda sig ikke skyldig! kommer ikke til Gilgal, og gaar ikke op til Beth-Aven, og sværger ikke: Saa sandt Herren lever!
“Ingawa umefanya uzinzi, ee Israeli, Yuda naye asije akawa na hatia. “Usiende Gilgali, usipande kwenda Beth-Aveni Wala usiape, ‘Hakika kama Bwana aishivyo!’
16 Thi Israel er bleven uregerlig som en uregerlig Ko; nu skal Herren lade dem græsse som Lam paa den vide Mark.
Waisraeli ni wakaidi, kama mtamba wa ngʼombe ambaye ni mkaidi. Ni jinsi gani basi Bwana anaweza kuwachunga kama wana-kondoo katika shamba la majani?
17 Efraim er bunden til Afgudsbilleder; lad ham fare!
Efraimu amejiunga na sanamu, ondokana naye!
18 Deres Drikken er skejet ud, Hor have de bedrevet; højt have deres Skjolde elsket Skændsel.
Hata wakati wamemaliza vileo vyao wanaendelea na ukahaba wao, watawala wao hupenda sana njia za aibu.
19 Et Vejr har omspændt dem med sine Vinger, og de skulle blive til Skamme for deres Ofre.
Kisulisuli kitawafagilia mbali na dhabihu zao zitawaletea aibu.