< 1 Mosebog 16 >
1 Og Sarai, Abrams Hustru, fødte ham ikke Børn; men hun havde en ægyptisk Pige, og hendes Navn var Hagar.
Kisha Sarai mke wa Abram, alikuwa hajamzalia mtoto, lakini alikuwa na mtumishi wa kike, Mmisri ambaye jina lake aliitwa Hajiri.
2 Og Sarai sagde til Abram: Se nu, Herren har tillukket mig, at jeg kan ikke føde; kære, gak til min Pige, maaske jeg kunde bygges ved hende; og Abram lød Sarais Røst.
Kwa hiyo Sarai akamwambia Abram, “Tazama, Yahwe hajanifanya mimi kuwa na watoto. Nenda na ulale na mtumishi wangu. Ili kwamba niweze kupata watoto kupitia yeye.” Abram akasikiliza sauti ya Sarai.
3 Saa tog Sarai, Abrams Hustru, Hagar, sin ægyptiske Pige, efter Udløbet af de ti Aar, Abram havde boet i Kanaans Land, og hun gav Abram sin Mand hende til hans Hustru.
Ilikuwa baada ya Abram kuishi miaka kumi katika nchi ya Kanaani ndipo Sarai, mke wa Abram, alimtoa Hajiri yule mmisri mtumishi wake kwa mume wake awe kama mke wake.
4 Og han gik til Hagar, og hun undfik; der hun saa, at hun havde undfanget, da blev hendes Frue ringeagtet af hende.
Kwa hiyo akawa na mahusiano na Hajiri, na akabeba mimba. Na alipoona kuwa amebeba mimba, akamdharau bibi yake.
5 Da sagde Sarai til Abram: Den Uret sker mig formedelst dig; jeg har givet min Pige i din Favn, og hun ser, at hun har undfanget, og jeg er ringeagtet af hende; Herren skal dømme imellem mig og imellem dig.
Kisha Sarai akamwambia Abram, “Jambo hili baya kwangu ni kwa sababu yako. Nilimtoa mtumishi wangu wa kike katika kumbatio lako. Na alipoona kuwa amebeba mimba, nilidharaulika machoni pake. Na sasa acha Yahwe aamuwe kati yangu na wewe.”
6 Da sagde Abram til Sarai: Se, din Pige er i din Haand, gør med hende, som dig godt synes; og Sarai ydmygede hende, saa flyede hun fra hendes Aasyn.
Lakini Abram akamwambia Sarai, “Tazama, hapa, mtumishi wako yuko katika uwezo wako, fanya unachofikiri ni kizuri sana kwake.” Kwa hiyo Sarai akakabiliana naye kwa ukatili, na akatoroka.
7 Men Herrens Engel fandt hende ved en Vandkilde i Ørken, ved den Kilde paa Vejen til Sur.
Malaika wa Yahwe akamkuta karibu na chemichemi ya maji katika jangwa, chemichemi iliyo katika njia kuelekea Shuri.
8 Og han sagde: Hagar, Sarai' Pige, hvorfra kommer du, og hvorhen gaar du? og hun sagde: Jeg flyr fra min Frue Sarai' Aasyn.
Akasema, Hajiri, mtumishi wa Sarai, umetoka wapi na unakwenda wapi?” Na akasema, ninamtoroka bibi yangu Sarai.”
9 Og Herrens Engel sagde til hende: Gak tilbage til din Frue, og ydmyg dig under hendes Hænder.
Malaika wa Yahwe akamwambia, “Rudi kwa bibi yako, na unyenyekee chini ya mamlaka yake.”
10 Og Herrens Engel sagde til hende: Jeg vil gøre dit Afkom meget mangfoldigt, og det skal ikke tælles for Mangfoldighed.
Kisha Malaika wa Yahwe akamwambia, “Nitazidisha uzao wako maradufu, kiasi kwamba watakuwa wengi wasioweza kuhesabika.”
11 Og Herrens Engel sagde fremdeles til hende: Se, du er frugtsommelig og skal føde en Søn, og du skal kalde hans Navn Ismael, fordi Herren har hørt din Modgang.
Malaika wa Yahwe pia akamwambia, “Tazama, wewe unamimba, na utazaa mtoto kiume, na utamwita jina lake Ishmaeli, kwasabab Yahwe amesikia mateso yako.
12 Og han skal blive et vildt Menneske, hans Haand skal være imod hver, og hvers Haand imod ham, og han skal bo Østen for alle sine Brødre.
Atakuwa punda mwitu wa mtu. Atakuwa adui dhidi ya kila mtu, na kila mtu atakuwa adui yake, na ataishi kando na ndugu zake wote.”
13 Og hun kaldte Herrens Navn, som talede med hende: „Du mit Syns Gud‟; thi hun sagde: Mon jeg her ser efter mit Syn?
Kisha akamwita jina hili Yahwe aliye zungumza naye, “Wewe ni Mungu unionaye mimi,” kwa kuwa alisema, “je ninaendelea kweli kuona, hata baada ya kuwa ameniona?”
14 Derfor kaldte man den Kilde: Beer Lakai Roi; se, den er imellem Kades og Bered.
Kwa hiyo kisima kiliitwa Beerlahairori; Tazama, kiko kati ya Kadeshi na Beredi.
15 Og Hagar fødte Abram en Søn, og Abram kaldte sin Søns Navn, som Hagar fødte, Ismael.
Hajiri akamzalia Abram mwana wa kiume, na Abram akamwita mwanawe, ambaye Hajiri amemzaa jina, Ishmaeli.
16 Og Abram var seks Aar og firsindstyve Aar gammel, der Hagar fødte Abram Ismael.
Abram alikuwa na umri wa miaka themanini na sita wakati Hajiri alipomzaa Ishmaeli kwa Abram.