< Ezekiel 31 >

1 Og det skete i det ellevte Aar, i den tredje Maaned, paa den første Dag i Maaneden, at Herrens Ord kom til mig saaledes:
Katika mwaka wa kumi na moja, mwezi wa tatu, siku ya kwanza, neno la Bwana likanijia, kusema:
2 Du Menneskesøn! sig til Farao, Kongen i Ægypten, og til hans Hob: Hvem er du lig i din Storhed?
“Mwanadamu, mwambie Farao mfalme wa Misri na makundi yake ya wajeuri: “‘Je, ni nani awezaye kulinganishwa na wewe katika fahari.
3 Se, Assur var en Ceder paa Libanon, med dejlige Grene og en skyggende Krone og høj af Vækst, og dens Top var imellem Skyerne.
Angalia Ashuru, wakati fulani ilikuwa mwerezi huko Lebanoni, ukiwa na matawi mazuri ukitia msitu kivuli; ulikuwa mrefu sana, kilele chake kilipita majani ya miti yote.
4 Vand gjorde den stor, og Dybets Vand gjorde den høj, med sine Strømme gik det trindt omkring sin Plantning og udsendte sine Vandløb til alle Træer paa Marken.
Maji mengi yaliustawisha, chemchemi zenye maji mengi ziliufanya urefuke; vijito vyake vilitiririka pale ulipoota pande zote na kupeleka mifereji yake kwenye miti yote ya shambani.
5 Derfor blev dens Vækst højere end alle Træernes paa Marken, og dens Grene bleve store og dens Skud lange formedelst det meget Vand, idet den skød frem.
Hivyo ukarefuka kupita miti yote ya shambani; vitawi vyake viliongezeka na matawi yake yakawa marefu, yakitanda kwa sababu ya wingi wa maji.
6 Alle Himmelens Fugle gjorde Rede i dens Grene, og alle vilde Dyr paa Marken fødte under dens Krone, og alle store Folkeslag boede under dens Skygge.
Ndege wote wa angani wakaweka viota kwenye vitawi vyake, wanyama wote wa shambani wakazaana chini ya matawi yake, mataifa makubwa yote yaliishi chini ya kivuli chake.
7 Og den var dejlig ved sin Storhed, ved sine lange Grene; thi dens Rod var ved meget Vand.
Ulikuwa na fahari katika uzuri, ukiwa na matawi yaliyotanda, kwa kuwa mizizi yake ilikwenda chini mpaka kwenye maji mengi.
8 Cedrene i Guds Have fordunkle den ej, Cypresserne vare ikke at ligne med dens Grene, og Kastanietræerne vare intet imod dens Skud, der var intet Træ i Guds Have den ligt i dens Skønhed.
Mierezi katika bustani ya Mungu haikuweza kushindana nao, wala misunobari haikuweza kulingana na vitawi vyake, wala miaramoni haikulinganishwa na matawi yake, wala hakukuwa na mti katika bustani ya Mungu wa kulinganisha na uzuri wake.
9 Jeg gjorde den dejlig med dens mange Grene, og alle Edens Træer, som vare i Guds Have, bare Avind imod den.
Niliufanya kuwa mzuri ukiwa na matawi mengi, ulionewa wivu na miti yote ya Edeni katika bustani ya Mungu.
10 Derfor, saa siger den Herre, Herre: Fordi du ophøjede dig af din Vækst, og han strakte sin Top op imellem Skyerne, og hans Hjerte hovmodede sig formedelst hans Højhed:
“‘Kwa hiyo hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Kwa sababu ulikuwa mrefu sana, kilele chake kikiwa juu ya majani manene ya miti na kwa sababu ulikuwa na kiburi cha urefu wake,
11 Saa vil jeg give ham i Folkenes Fyrstes Haand; denne skal handle med ham efter sin Villie; for hans Ugudelighed har jeg uddrevet ham;
niliutia mikononi mwa mtawala wa mataifa, ili yeye aushughulikie sawasawa na uovu wake. Nikaukatilia mbali,
12 — og fremmede, de forfærdelige iblandt Folkene, fældede den og kastede den hen; paa Bjergene og i alle Dalene faldt dens Kviste, og dens Grene sønderbrødes ved alle Vandløbene i Landet, og alle Jordens Folk stege ned fra dens Skygge og forlode den;
nayo mataifa mageni yaliyo makatili sana yaliukata huo mti na kuuacha. Matawi yake yalianguka juu ya milima na kwenye mabonde yote, vitawi vyake vikavunjika na kusambaa katika makorongo yote ya nchi. Mataifa yote ya duniani yakaondoka kutoka kwenye kivuli chake na kuuacha.
13 alle Himmelens Fugle nedlode sig paa dens faldne Stamme, og alle vilde Dyr paa Marken vare ved dens Grene; —
Ndege wote wa angani wakakaa kwenye ule mti ulioanguka na wanyama pori wote wakakaa katikati ya vitawi vyake.
14 paa det at ingen Træer ved Vandet skulle ophøje sig af deres Vækst og ej strække deres Top op imellem Skyerne, og ingen Træer, som drikke Vand, skulle stole paa sig selv for deres Højheds Skyld; thi de ere alle sammen overgivne til Døden, for at komme til Underverdenens Land, midt iblandt Menneskens Børn, til dem, som nedfare i Hulen.
Kamwe hakutakuwa na miti mingine kando ya hayo maji itakayorefuka zaidi ya huo, vilele vyake vikiwa juu ya majani yote ya miti. Hakuna miti mingine, hata kama imekunywa maji vizuri namna gani, itakayofikia urefu huo. Yote mwisho wake ni kifo, na kuingia ardhini, kama vile ilivyo kwa wanadamu, pamoja na wale waendao shimoni.
15 Saa siger den Herre, Herre: Paa den Tid, der han for ned i Dødsriget, gjorde jeg, at man sørgede; jeg tilhyllede Dybet for hans Skyld og standsede dets Strømme, og de mange Vande holdtes tilbage, og jeg klædte Libanon i Sørgedragt for hans Skyld, ja, alle Træer paa Marken forsmægtede for hans Skyld. (Sheol h7585)
“‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Katika siku ile mwerezi uliposhushwa chini kaburini nilizifunika chemchemi zenye maji mengi kwa maombolezo: Nilivizuia vijito vyake na wingi wa maji yake nikauzuia. Kwa sababu yake niliivika Lebanoni huzuni, nayo miti yote ya shambani ikanyauka. (Sheol h7585)
16 Jeg gjorde, at Folkene bævede ved Lyden af hans Fald, da jeg styrtede ham ned i Dødsriget til dem, som fare ned i Hulen, og alle Edens Træer, de udvalgte og skønneste paa Libanon, alle de, som drikke Vand, trøstede sig i Underverdenens Land. (Sheol h7585)
Niliyafanya mataifa yatetemeke kwa kishindo cha kuanguka kwake wakati nilipoushusha chini kaburini pamoja na wale washukao shimoni. Ndipo miti yote ya Edeni, miti iliyo bora kuliko yote na iliyo mizuri sana ya Lebanoni, miti yote ile iliyokunywa maji vizuri, ilifarijika hapa duniani. (Sheol h7585)
17 Ogsaa de nedføre med ham i Dødsriget til dem, som vare ihjelslagne med Sværd, da de som hans Hjælpere havde siddet i hans Skygge midt iblandt Folkene. (Sheol h7585)
Wale walioishi katika kivuli chake, wale walioungana naye miongoni mwa mataifa, nao pia walikuwa wamezikwa pamoja naye, wakiungana na wale waliouawa kwa upanga. (Sheol h7585)
18 Hvem ligner du, saaledes som du var i Ære og Storhed iblandt Edens Træer? ja, du skal nedstyrtes med Edens Træer til Underverdenens Land; midt iblandt de uomskaarne skal du ligge ved dem, som ere ihjelslagne ved Sværdet. Dette er Farao og al hans Hob, siger den Herre, Herre.
“‘Ni miti ipi ya Edeni inayoweza kulinganishwa nawe kwa fahari na utukufu? Hata hivyo, wewe pia, utashushwa chini pamoja na miti ya Edeni mpaka kuzimu, utalala miongoni mwa wasiotahiriwa, pamoja na wale waliouawa kwa upanga. “‘Huyu ni Farao pamoja na makundi yake yote ya wajeuri, asema Bwana Mwenyezi.’” (questioned)

< Ezekiel 31 >