< Ezekiel 28 >

1 Og Herrens Ord kom til mig saalunde:
Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
2 Du Menneskesøn! sig til Tyrus's Fyrste: Saa siger den Herre, Herre: Fordi dit Hjerte ophøjede sig, og du sagde: Jeg er en Gud, jeg sidder paa Guds Sæde midt i Havet, medens du er et Menneske og ikke Gud og dog agtede dit Hjerte som Guds Hjerte;
“Mwanadamu, waambie watawala wa Tiro, 'Bwana Yahwe asema hivi: Moyo wako unakiburi! Umesema, “mimi ni mungu! Nitakaa kwenye kiti cha miungu katika moyo wa bahari!” Ingawa wewe ni mtu na sio mungu, unaufanya moyo wako kama moyo wa mungu,
3 — se, du er visere end Daniel; intet lønligt er skjult for dig;
unafikiri kwamba unahekima kuliko Danieli, na kwamba hakuna siri ikushangazayo!
4 du har forhvervet dig Formue ved din Visdom og ved din Forstand og bragt Guld og Sølv i dine Skatkamre;
Umejitajirisha mwenyewe pamoja na hekima na ujuzi, na kujipatia dhahabu na fedha katika hazina yako!
5 du har formeret din Formue ved din megen Visdom i dit Købmandsskab, og dit Hjerte har ophøjet sig for din Formues Skyld: —
Kwa hekima kubwa na kwa biashara yako, umeongeza utajiri wako, hivyo moyo wako una kiburi kwa sababu ya utajiri yako.
6 Derfor, saa siger den Herre, Herre: Efterdi du agtede dit Hjerte som Guds Hjerte,
Kwa hiyo, Bwana Yahwe asema hivi: Kwa sababu umetengeza moyo wako kama moyo wa mungu,
7 se, derfor vil jeg lade fremmede, de forfærdelige iblandt Folkene, komme over dig, og de skulle uddrage deres Sværd imod din Visdoms skønne Værk og vanhellige din Herlighed.
kwa hiyo nitaleta wageni juu yako, watu wa kuogofya kutoka mataifa mengine. Wataleta panga zao juu hekima ya uzuri wako, na watauchafua uzuri wako.
8 De skulle kaste dig ned i Hulen, og du skal dø, som de gennemstungne dø midt i Havet.
Watakupeleka chini hata kwenye shimo, na utakufa kifo cha waliokufa katika Bahari.
9 Mon du vel kan sige over for den, som ihjelslaar dig: Jeg er en Gud? medens du dog er et Menneske og ikke en Gud i hans Haand, som ihjelslaar dig.
Je! kweli utasema, “Mimi ni mungu” mbele ya uso wa yule akuuaye? Wewe ni mwanadamu na sio Mungu, na utakuwa kwenye mkono wa yule akujeruaye.
10 Du skal dø, som de uomskaarne dø, ved fremmedes Haand; thi jeg har talt det, siger den Herre, Herre.
Utakufa kifo cha asiyetahiriwa kwa mkono wa wageni kwa kuwa nimesema hili-asema Bwana Yahwe.
11 Og Herrens Ord kom til mig saaledes:
Neno la Yahwe likanijia, kusema,
12 Du Menneskesøn! opløft et Klagemaal over Kongen af Tyrus, og sig til ham: Saa siger den Herre, Herre: Du, som paatrykker den afpassede Ordning Seglet, du, som er fuld af Visdom og fuldkommen i Skønhed,
“Mwanadamu, inua maombolezo kwa ajili ya mfalme wa Tiro na umwambie, 'Bwana Yahwe asema hivi: Uliumbwa mkamilifu, umejaa hekima na ukamilifu wa hekima.
13 du var i Eden, i Guds Have, alle Haande kostbare Stene bedækkede dig: Karneol, Topas og Demant, Krysolith, Onyks og Jaspis, Safir, Karbunkel og Smaragd og Guld; dine Trommer og dine Piber vare til Tjeneste hos dig, de vare beredte paa den Dag, du blev skabt.
Ulikuwa katika Edeni, bustani ya Mungu. Kila jiwe la thamani lilikufunika: akiki, yakuti manjano, almasi, zabarajadi, shohamu, yaspi, yakuti samawi, zumaridi, baharamani, na dhahabu. Ilikuwa siku uliyokuwa umeiumba ambayo walikuwa wameiandaa.
14 Du var en salvet Kerub, som skærmede; og jeg havde sat dig dertil, du var paa Guds hellige Bjerg, du vandrede midt imellem gloende Stene.
Nimekuweka juu ya mlima mtakatifu wa Mungu kama kerubi nimekutia mafuta kwa ajili ya kumlinda mwanadamu. Ulikuwa kati ya mawe ya moto ulipozunguka.
15 Du var fuldkommen i dine Veje fra den Dag af, du blev skabt, indtil Uretfærdighed blev funden i dig.
Ulikuwa mwadilifu kwenye njia zako kutoka siku ulipoumbwa hadi uovu ulipoonekana ndani yako.
16 Formedelst din store Handel fyldtes dit Indre af Uret, og du syndede; derfor fjernede jeg dig som vanhelliget fra Guds Bjerg og lod dig omkomme, du skærmende Kerub, at du ikke forblev imellem de gloende Stene.
Kupitia biashara yako kubwa uliyokuwa umeijaza kwa udhalimu, hivyo umetenda dhambi. Hivyo nimekutupilia mbali ya mlima wa Mungu, kama mmoja wao wa aliyekuwa ameninajisi, na nimekuharibu, kerubi mlinzi, na kukutoa miongono mwa mawe ya moto.
17 Dit Hjerte ophøjede sig for din Skønheds Skyld, du ødelagde din Visdom tillige med din Herlighed! jeg henkastede dig paa Jorden, gav dig hen for Kongers Ansigt, at de skulle se paa dig.
Moyo wako ulikuwa na kiburi kwa uzuri wako; umeiharibu hekima yako kwa sababu ya fahari yako. Nimekupeleka chini kwenye dunia. Nimekuweka mbele ya wafalme ili waweze kukuona.
18 Ved dine Misgerningers Mangfoldighed under din uretfærdige Handel vanhelligede du dine Helligdomme, og jeg lod en Ild gaa ud fra din Midte, den fortærede dig, og jeg gjorde dig til Aske paa Jorden for alles Øjne, som se dig.
Kwa sababu ya wingi wa dhambi zako na biashara za udanganyifu, umepanajisi mahali pako patakatifu. Basi nimetengeneza moto kutoka ndani yako; utakula wewe. Nitakugeuza kwenye majivu juu ya dunia katika macho ya wote wakutazamao.
19 Alle som dig kendte iblandt Folkene, forfærdes over dig; du er bleven til Gru og skal i Evighed ikke være mere.
Wale wote waliokujua miongoni mwa watu watakao kutetemekewa; watakuwa watu wa kutisha, na hutakuwepo tena milele.”'
20 Og Herrens Ord kom til mig saaledes:
Kisha neno la Bwana Yahwe likanijia, kusema,
21 Du Menneskesøn! vend dit Ansigt imod Zidon, og spaa imod den,
“Mwanadamu, elekeza uso wako Sidoni na toa utabiri juu yake.
22 og sig: Saa siger den Herre, Herre: Se, jeg kommer imod dig, Zidon! og jeg vil herliggøre mig i din Midte; og de skulle fornemme, at jeg er Herren, naar jeg holder Ret over den og helliggør mig ved den.
Sema, Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! Niko juu yako, Sidoni! Kwa kuwa nitatukuzwa kati yako hivyo watu wako watajua kwamba mimi ni Yahwe wakati nitakapokuwa nimezitekeleza hukumu ndani yako. Nitaonyesha utakatifu ndani yako.
23 Og jeg vil sende Pest i den og Blod paa dens Gader, og der skal falde ihjelslagne i dens Midte for Sværdet, som skal komme over den trindt omkring fra; og de skulle fornemme, at jeg er Herren.
Nitapeleka tauni juu yako na tazama mitaa yako, na walioua wataanguka kati yako. Wakati upanga utakapokuja juu yao kutoka pande zote, kisha mtajua kwamba mimi ni Yahwe.
24 Og for Israels Hus skal der ikke ydermere være en Torn, som stikker, eller en Tidsel, som smerter, af alle dem, som ere trindt omkring dem, som haane dem, og de skulle fornemme, at jeg er den Herre, Herre.
Kisha hakutakuwa na mtemba uchomao na maumivu ya miba kwa ajili ya nyumba ya Israeli kutoka wale wote waliomzunguka wanaowadharau watu wake, hivyo watajua kwamba mimi ni Bwana Yahwe!'
25 Saa siger den Herre, Herre: Naar jeg samler Israels Hus hjem fra Folkene, iblandt hvilke de ere adspredte, da vil jeg helliggøre mig ved dem for Hedningernes Øjne, og de skulle bo i deres Land, som jeg har givet min Tjener Jakob.
Bwana Yahwe asema hivi, Nitakapowakusanya nyumba ya Israeli kutoka miongni mwa watu waliokuwa wamekusanyika, na wakati nilipokuwa nimewatenga miongoni mwao, hivyo mataifa aanaweza kuona, kisha watafanya nyumba zao katika nchi nitakayo mpatia mtumishi wangu Yakobo.
26 Og de skulle bo tryggelig derudi og bygge Huse og plante Vingaarde, ja, bo tryggelig; naar jeg holder Ret over alle dem, som haanede dem trindt omkring dem; og de skulle fornemme, at jeg Herren er deres Gud.
Kisha wataishi salama ndani yake na kujenga nyumba, kulima mizabibu, na kuishi salama wakati nitakapo zitekeleza hukumu juu ya wote wale ambao sasa wanawadharau kutoka sehemu zote; basi watajua yakwamba mimi ni Yahwe Mungu wao!”'

< Ezekiel 28 >