< Prædikeren 10 >
1 Døde Fluer bringe Salvekogerens Salve til at stinke og gære; saaledes kan en liden Daarskab veje mere end Visdom og Ære.
Kama nzi walio kufa husababisha manukato kutoa harufu ya uozo, hivyo hivyo upumbavu kidogo hushinda hekima na heshima.
2 Den vises Hjerte er ved hans højre Side; men Daarens Hjerte er ved hans venstre Side.
Moyo wa mtu mwenye hekima huelekea kulia, lakini moyo wa mpumbavu huelekea kushoto.
3 Ogsaa naar Daaren vandrer paa Vejen, fattes han Forstand, og han siger om enhver, at han er en Daare.
Wakati mpumbavu anapotembea barabarani, fikira zake zina upungufu, ikithibitisha kwa kila mtu kwamba ni mpumbavu.
4 Dersom Herskerens Vrede rejser sig imod dig, da forlad ikke din Plads; thi Sagtmodighed standser store Synder.
Kama jaziba za mtawala zikiinuka kinyume na wewe, usiache kazi yako. Utulivu unaweza kutuliza ukatili mkubwa.
5 Der er et Onde, som jeg saa under Solen, ret som det var en Fejl, der udgaar fra Herskerens Ansigt:
Kuna uovu niliouona chini ya jua, aina ya kosa ambalo huja kutoka kwa mtawala:
6 Daarskaben er sat paa de store Højder, men de rige sidde lavt.
Wapumbavu wanapewa nafasi za uongozi, wakati watu walio faulu wanapewa nafasi za chini.
7 Jeg saa Tjenere paa Heste og Fyrster gaa til Fods som Tjenere, paa Jorden.
Nimewaona watumwa wakipanda farasi, na watu walio faulu wakitembea kama watumwa juu ya ardhi.
8 Den som graver en Grav, skal falde i den; og den som nedriver et Gærde, ham skal en Slange bide.
Yeyote anayechimba shimo anaweza kutumbukia yake, na popote mtu anayevunja ukuja, nyoka anaweza kumuuma.
9 Hvo som bryder Stene op, skal faa Smerte af dem; hvo som kløver Træ, skal komme i Fare derved.
Yeyote achongaye mwawe, anaweza kuumizwa nayo. Na mtu achongaye mbao, anaweza kujihatarisha kwa hiyo.
10 Naar Jernet bliver sløvt, og man ikke skærper Æggen, da maa man siden anstrenge Kræfterne; men Visdom er nyttig til at gøre en Ting rettelig.
Kama chuma bapa kisicho na makali, na mtu hainoi, kisha ni lazima atumie nguvu nyingi, lakini hekima hutoa faida kwa ufaulu.
11 Dersom Slangen bider, gavner Besværgelse intet, og Tungens Ejermand har ingen Fordel.
Kama nyoka akiuma kabla hajafurahi, hivyo hakuna faida kwa mfurahishaji.
12 Ordene af den vises Mund ere yndige; men Daarens Læber opsluge ham selv.
Maneno ya kinywa cha mtu mwenye hekima yana huruma. Lakini midomo ya mpumbavu humumeza mwenyewe.
13 Hans Munds Ords Begyndelse er Daarskab; og det sidste af hans Mund er fordærvelig Galskab.
Kama maneno yanavyo anza kutiririka mdomoni mwa mpumbavu, ujinga hutoka, na mwisho mdomo wake hutiririka wazimu mbaya.
14 Og en Daare gør mange Ord; Mennesket kan ikke vide, hvad der skal ske; og hvo kan forkynde ham, hvad der skal ske efter ham.
Mpumbavu huongeza maneno, lakini hakuna ajuaye kinachokuja. Ni nani ajuaye baada yake?
15 Daarens Arbejde gør ham træt, efterdi han ikke kender Vej til By.
Jasho la wapumbavu huwavaa wao, hivyo hawajui hata barabara ya kwenda mjini.
16 Ve dig, du Land! hvis Konge er et Barn, og hvis Fyrster æde om Morgenen.
Ole wako ardhi kama mfalme wako ni kijana mdogo, na kama viongozi wako huanza karamu ahsubuhi!
17 Lykkeligt er du, Land! hvis Konge er født af de ypperste, og hvis Fyrster æde i rette Tid til Styrke og ikke til Drukkenskab.
Lakini umebarikiwa ardhi kama mfalme wako ni mwana wa waungwana, na kama vingozi wako hula wakati muafaka, kwa nguvu, na sio kwa ulevi.
18 Ved Ladhed synke Bjælkerne, og ved Hændernes Slaphed drypper det ned i Huset.
Kwa sababu ya uvivu paa huanguka. Na kwa sababu isiyo fanya kazi nyumba hupata ufa.
19 Man gør Maaltid for at le, og Vinen glæder de levende, og Penge gøre alting ud.
Watu huandaa chakula kwa kicheko, divai huleta furaha maishani, na fedha hutimiza hitaji kwa kila kitu.
20 Band ikke Kongen, end ikke i din Tanke, og band ikke en rig i dit inderste Sengekammer; thi en Fugl under Himmelen kan føre Røsten frem, og den bevingede bringer Ordet ud.
Usimlaani mfalme, hata katika akili, na usiwalaani wenye mali katika chumba chako cha kulala. Kwa kuwa ndege wa angani inaweza kuchukua maneno yako. Chochote kilicho na mabawa kinaweza kusambaza jambo.