< Daniel 7 >

1 I Belsazar, Kongen af Babels, første Aar saa Daniel en Drøm og sit Hoveds Syner paa sit Leje; da skrev han Drømmen op, Hovedindholdet fremsatte han.
Katika mwaka wa kwanza wa Belshaza mfalme wa Babelli, Danieli alikuwa na ndoto na maono katika akili zake wakati alipokuwa amelala kitandani kwake. Kisha akayaandika yale aliyoyaona katika ndoto. Aliandika matukio ya muhimu sana:
2 Daniel fortalte og sagde: Jeg saa i mit Syn om Natten, og se, de fire Vejr under Himmelen brøde frem paa det store Hav.
Danieli alieleza, “Usiku katika ndoto zangu niliona pepo nne za mbinguni zilikuwa zinaitikisa bahari kuu.
3 Og der opsteg fire store Dyr af Havet, det ene anderledes end det andet.
Wanyama wakubwa wanne, kila mmoja alikuwa tofauti na mwenzake, walitoka katika bahari.
4 Det første var som en Løve, og det havde Vinger som en Ørn; jeg saa til, indtil dets Vinger bleve afrevne, og det blev rettet i Vejret fra Jorden og rejst op paa Fødderne som et Menneske, og det blev givet et Menneskehjerte.
Mnyama wa kwanza alikuwa kama simba, lakini alikuwa na mabawa ya tai. Nilipokuwa natazama, mabawa yake yalikuwa yamepasuka na alikuwa ameinuliwa katika ardhi na alikuwa amesimama kwa miguu miwili kama mtu. Na alipewa akili za kibinadamu.
5 Og se, et andet Dyr, næstefter, ligt en Bjørn, og det rejste sig til den ene Side, og det havde tre Ribben i sin Mund, imellem sine Tænder; og man sagde saaledes til det: Staa op, æd meget Kød!
Na kulikuwa na mnyama wa pili, alikuwa kama dubu, na alikuwa ameinama, alikuwa na mbavu tatu katikati ya meno yake katika mdomo wake. Aliambiwa, 'Inuka na umeze watu wangi.'
6 Derefter saa jeg, og se, et andet Dyr, ligt en Parder, og det havde fire Vinger som af en Fugl paa sin Ryg; og dette. Dyr havde fire Hoveder, og der blev givet det Magt.
Baada ya hili, niliangalia tena. Kulikuwa na mnyama mwingine ambaye alionekana kama chui. Mgongoni mwake alikuwa na mabawa manne kama mabawa ya ndege, na alikuwa na vichwa vinne. Alipewa mamlaka ya kutawala.
7 Derefter saa jeg i Nattesynerne og se, et fjerde Dyr, frygteligt og forfærdeligt og meget stærkt, og det havde store Jerntænder, det aad og knuste og nedtraadte det overblevne med sine Fødder; og det var anderledes end alle de Dyr, som havde været før det, og det havde ti Horn.
Baada haya, niliona usiku katika ndoto yangu mnyama wa nne, mwenye kuogofya, na kutisha na mwenye nguvu. Alikuwa na meno makubwa ya chuma; aliteketeza, na kuvunja vunja katika vipande, na kusaga saga katika miguuni pake kile kilichosalia. Alikuwa ni wa tofauti na wanyama wengine, na alikuwa na pembe kumi.
8 Jeg agtede nøje paa Hornene, og se, et andet lidet Horn skød op imellem dem, og tre af de forrige Horn bleve oprykkede for det; og se, der var Øjne som Menneskeøjne paa dette Horn, og en Mund, som talte store Ting.
Na wakati nilipokuwa natafakari juu ya pembe, nilitazama na niliona pembe nyingine ndogo ilichipuka katikati ya pembe zingine. Mizizi ya pembe tatu kati ya pembe za mwanzo iling'olewa. Niliona katika pembe hii macho kama macho ya mtu na mdomo ambao ulikuwa ukijivuna kwa mambo makubwa.
9 Jeg blev ved at se, indtil Stole bleve satte frem, og den Gamle af Dage satte sig; hans Klæder vare hvide som Sne og Haaret paa hans Hoved som ren Uld, hans Stol var Ildsluer, Hjulene derpaa brøndende Ild.
Na nilipotazama, viti vya enzi vilikuwa vimewekwa, na Mtu wa siku za kale alikaa sehemu yake. Mavazi yake yalikuwa meupe kama theruji, na nywele zake katika kichwa chake zilikuwa safi kama sufu. Kiti chake cha enzi kilikuwa na miali ya moto, na magurudumu yake yalikuwa yanawaka moto.
10 En Strøm af Ild brød frem og gik ud fra ham; tusinde Gange tusinde tjente ham, og ti Tusinde Gange ti Tusinde stode for ham; Retten blev sat og Bøgerne opladte.
Mto wa moto ulitiririka kutoka mbele yake, na mamilioni ya watu walimtumikia, na wengine mia moja milioni walikuwa wamesimama mbele yake. Na mahakama iliitishwa, na vitabu vilifunguliwa.
11 Da saa jeg til, fordi man havde hørt de store Ord, som Hornet havde talt; jeg saa til, indtil Dyret blev ihjelslaget og dets Legeme lagt øde og givet hen til at brændes i Ilden.
Niliendelea kuangalia kwasababu ya maneno ya kiburi yaliyosemwa na pembe. Nilitazama wakati mnyama anauliwa, na mwili wake uliharibiwa, na ulitolewa kwa ajili ya kuchomwa moto.
12 Og hvad de øvrige Dyr angaar, var deres Magt forbi, og dem havde det været givet, hvor længe de skulde leve til Tid og Stund.
Na kwa wale wanyama wanne waliosalia, mamlaka yao yalitwaliwa mbali, lakini maisha yao yaliendelezea kwa kipindi fulani cha muda.
13 Jeg vedblev at se i Synerne om Natten, og se, med Himmelens Skyer kom der en som en Menneskens Søn, og han kom lige hen til den Gamle af Dage, og blev ført frem for ham.
Katika maono yangu usiku ule, nilimwona mtu mmoja anakuja katika mawingu ya mbinguni alikuwa kama mwana wa mtu; alikuja kwa Mzee wa Siku na aliletwa mbele zake.
14 Og ham blev givet Magt og Ære og Rige, og alle Folk, Stammer og Tungemaal skulde tjene ham; hans Herredømme er et evigt Herredømme, som ikke forgaar, og hans Rige et uforkrænkeligt.
Naye alipewa mamlaka ya kiutawala na utukufu na mamlaka ya kifalme ili kwamba watu wote, na mataifa na lugha ziweze kumtumikia yeye. Mamlaka yake ya kutawala ni mamlaka ya milele ambayo hayatapita, na ufalme wake ni ule ambao hautaangamizwa.
15 For mig, Daniel, blev min Aand i det legemlige Hylster bedrøvet, og mit Hoveds Syner forfærdede mig.
Na kwangu mimi, Danieli, roho yangu ilihuzunishwa ndani yangu, na maono niliyoyaona katika akili zangu yalinisumbua.
16 Jeg gik frem til een af dem, som stode der, for at søge Vished af ham om alt dette; og han sagde mig det og kundgjorde mig Udtydningen paa Tingene.
Nilimsogelea mmoja wa hawa walikuwa wamesimama hapo na nikamwomba anioneshe maana ya mambo haya.
17 Disse store Dyr, af hvilke der er fire, betyde, at fire Konger skulle opstaa af Jorden.
Hawa wanyama nne wakubwa ni wafalme wanne ambao watatoa katika nchi.
18 Men den Højestes hellige skulle modtage Riget og besidde Riget evindelig, ja, indtil Evighedernes Evighed.
Lakini watu watakatifu wa Mungu aliyejuu wataupokea ufalme na wataumiliki milele na milele.'
19 Da vilde jeg gerne have Vished angaaende det fjerde Dyr, som var anderledes end alle de andre, meget forfærdeligt, havde Jerntænder og Kobberkløer, aad, knuste og nedtraadte det overblevne med sine Fødder,
Ndipo nilipotaka kujua zaidi juu ya mnyama wa nne, ambaye alikuwa tofauti sana na wengine na alikuwa wa kutisha pamoja na meno yake ya chuma na makucha ya shaba; alimeza, na alivunja vipande vipande, na alisaga saga kwa miguu yake kile kilichokuwa kimesalia.
20 og angaaende de ti Horn, som vare paa dets Hoved, samt det andet, som skød op, og for hvilke tre faldt; og dette var det Horn, som havde Øjne og en Mund, der talte store Ting, og hvis Udseende var større end de andres ved Siden af det.
Nilitaka kujua juu ya pembe kumi katika kichwa chake, na kuhusu pembe nyingine iliyochomoza, na ambayo mbele yake pembe zingine tatu zilianguka chini. Nilitaka kujua kuhusu pembe yenye macho na kuhusu mdomo uliokuwa unajisifu kwa mambo makubwa na ambayo ilionekana kuwa ni kubwa kuliko zingine.
21 Jeg havde set, at samme Horn førte Krig imod de hellige og fik Overhaand over dem,
Na nilipotazama, pembe hii iliinua vita dhidi ya watu watakatifu na ilikuwa inawawashinda mpaka pale
22 indtil den Gamle af Dage kom, og Retten blev tilkendt den Højestes hellige, og Tiden kom, da de hellige toge Riget i Besiddelse.
Mzee wa Siku alipokuja, na watu watakatifu wa Mungu Aliye Juu Sana. Ndipo wakati ulipowadia ambapo watu watakatifu waliupokea ufalme.
23 Han sagde saaledes: Det fjerde Dyr betyder, at der skal være et fjerde Rige paa Jorden, som skal blive anderledes end alle Rigerne; og det skal opæde al Jorden og søndertræde den og knuse den.
Hiki ndicho mtu yule alichokisema, 'Kwa habari ya mnyama wanne, utakuwa ni ufalme wa nne juu ya dunia ambao utakuwa tofauti na falme zingine zote. Utaimeza dunia yote, na utaikanyaga yote chini na kuivunja vunja vipande vipande.
24 Men de ti Horn betyde, at der af samme Rige skal opstaa ti Konger; og en anden skal opstaa efter dem, og han skal være anderledes end de foregaaende og nedtrykke tre Konger.
Na kuhusu pembe kumi, kutoka katika ufalme huu, wafalme kumi watainuka, na mwingine atainuka baada yao. Atakuwa wa tofauti na wale waliomtangulia, na atawashinda wale wafalme watatu.
25 Og han skal tale Ord imod den Højeste og undertrykke den Højestes hellige og tænke paa at forandre Tider og Lov, og de skulle gives i hans Haand indtil een Tid og Tider og en halv Tid.
Atazungumza maneno kinyume cha Yeye Aliye Juu sana na atawatesa watu watakatifu wa Mungu Aliye Juu. Atajaribu kuzibadili sikukuu na sheria. Mambo haya atapewa mikononi mwake kwa mwaka mmoja, miaka miwili na nusu mwaka.
26 Derefter skal Retten sættes, og man skal fratage ham hans Magt for at ødelægge og tilintetgøre den indtil Enden.
Lakini kikao cha mahakama kitaitishwa, na watazichukua nguvu zake za kifalme ili mwisho aweza kuharibiwa na kuteketezwa.
27 Men Riget og Herredømmet og Rigernes Magt under al Himmelen skal gives til et Folk af den Højestes hellige; hans Rige er et evigt Rige, og alle Herredømmer skulle tjene og lyde ham.
Ufalme na utawala, ukubwa wa falme chini ya mbingu yote, watapewa watu walio wa watu watakatifu wa Yeye Aliye juu Sana. Ufalme wake ni ufalme wa milele, na falme zingine zote zitamtumikia na kumtii yeye.'
28 Hermed var Ordet til Ende. Mig, Daniel, forvirrede mine Tanker meget, og jeg Skiftede Farve; men jeg bevarede Ordet i mit Hjerte.
Na huu ndio mwisho wa mambo. Na kuhusu mimi, Danieli, mawazo yangu yanihuzunisha sana mimi na mwonekano wa uso wangu ulibadilika. Lakini mambo haya niliyahifadhi mimi mwenyewe.”

< Daniel 7 >