< Amos 6 >
1 Ve de trygge i Zion og de sorgløse paa Samarias Bjerg, de navnkundige iblandt det første af Folkene og dem, til hvilke Israels Hus kommer.
Ole wao wanaostarehe katika Sayuni, na kwa wale ambao wameokoka katika nchi ya mlima wa Samaria, watu mashuhuri bora wa mataifa, ambao nyumba ya Israeli huja kwa ajili ya msaada!
2 Gaar over til Kalne og ser, og gaar derfra til det store Hamath, og drager ned til Filisternes Gath! mon de ere lykkeligere end disse Riger? eller mon deres Landemærke er større end eders Landemærke?
Viongozi wenu husema, “Pita kwenda Kalne na mkatazame; kutoka huko nendeni hadi Hamathi, mji mkubwa; kisha nendeni chini hata Gathi ya Wapelestina. Je ni wabora kuliko falme zenu mbili? Je kuna mpaka mkubwa kuliko mpaka wenu?”
3 I, som vise den onde Dag bort og bringe Volds Sæde til at komme nærmere!
Ole wao wale waiwekao siku ya majanga na kufanya ufalme kuwa kinyume kusogea karibu.
4 Folk, som sove paa Elfenbens Senge og række sig paa deres Leje, og som æde Lam af Hjorden og Kalve fra Fedestalden;
Wamelala juu ya vitanda vya pembe na kupumzika juu ya viti vyao. Wakala wana kondoo kutoka kwenye kundi na ndama kutoka kwenye zizi.
5 som fremkunstle Toner efter Psalteren og, som David, optænke sig Strengeleg;
Wanaimba nyimbo za kijinga kwenye muziki wa kinubi; wanatunga kwenye vyombo kama vya Daudi.
6 som drikke Vin af Skaaler og salve sig med den ypperste Olie, men føle ikke Smerte over Josefs Brøst!
Wanakunywa mvinyo kutoka kwenye bakuli na kujipaka mafuta wenyewe kwa mafuta ya marahamu, lakini hawahuzuniki juu ya mateso ya Yusufu.
7 Derfor skulle de nu bortføres, fremmest iblandt de bortførte, og Frydesangen af dem, som rækkede sig, skal ophøre.
Hivyo sasa watakwenda utumwani pamoja na watumwa wakwanza, na kelele za hao waliojinyoosha zitapita.
8 Den Herre, Herre har svoret ved sig selv, siger Herren, Zebaoths Gud: Jeg afskyr Jakobs Stolthed og hader hans Paladser, derfor vil jeg prisgive Staden og dens Fylde.
“Mimi Bwana Yahwe, nimeapa kwa nafsi yangu -hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo, Mungu wa majeshi, naizira fahari ya Yakobo; nachukia boma zake. Kwa hiyo nitautoa huo mji pamoja vyote vilivyomo humo.”
9 Og det skal ske, hvis der i eet Hus bliver ti Mænd tilovers, da skulle de dø;
Itakuja kuhusu kwamba kama kuna wanaume kumi waliobakia kwenye nyumba moja, watakufa.
10 og en Mands næste Slægtning eller den, der besørger hans Begravelse, skal tage ham for at udbære Benene af Huset; og han skal sige til den, som er i det inderste af Huset: Mon der endnu er flere hos dig? og denne skal svare: Der er ingen! saa skal han sige: Tys! thi det er ikke Tid nu at paakalde Herrens Navn.
Wakati ndugu wa mtu huyo atakapokuja kuchukua miili yao-yule ambaye awachomaye baada ya kuleta maiti katika nyumba-kama akisema kwa mtu katika nyumba, “Je kuna mtu yuko pamoja nawe?” Vipi kama yule akisema, “Hapana.” Kisha atasema, “Kaa kimya, kwa kuwa hatulitaja jina la Yahwe.”
11 Thi se, Herren byder, og han slaar det store Hus i Splinter og det lille Hus i Stykker.
Tazama, Yahwe atatoa amri, na nyumba kubwa itapigwa kuwa vipande vipande, na nyumba ndogo kuwa na nyufa.
12 Mon Heste løbe paa Klippen? mon man pløjer der med Øksne? thi I have omvendt Retten til Galde og Retfærdighedens Frugt til Malurt.
Je farasi watakimbia juu ya mteremko wa miamba? Je mtu atalima huko na ng'ome? Bado mmegeuza haki kuwa sumu na tunda la haki kuwa uchungu.
13 I som glædes ved det, som intet er, og som sige: Have vi ikke ved vor Styrke taget os Horn?
Ninyi mnaofurahia juu ya Lo Debari, msemao, “Je hatukuchukua Karnaimu kwa nguvu zetu wenyewe?”
14 Thi se, jeg rejser et Folk imod eder, Israels Hus! siger Herren, Zebaoths Gud, og de skulle trænge eder fra Hamath af og indtil Bækken paa den slette Mark.
Lakini tazama, nitainua juu yenu taifa, nyumba ya Israeli-hivi ndivyo asemavyo Bwana Yahwe, Mungu wa majeshi. Watawatesa ninyi kutoka Lebo Hamathi hata kijito cha Araba.”