< 2 Tessalonikerne 3 >

1 I øvrigt, Brødre! beder for os, at Herrens Ord maa have Løb og forherliges ligesom hos eder,
Hatimaye, ndugu, tuombeeni ili Neno la Bwana lipate kuenea kwa haraka na kuheshimiwa kila mahali, kama vile ilivyokuwa kwenu.
2 og at vi maa fries fra de vanartige og onde Mennesker; thi Troen er ikke alles.
Ombeni pia ili tupate kuokolewa kutokana na watu waovu na wabaya, kwa maana si wote wanaoamini.
3 Men trofast er Herren, som skal styrke eder og bevare eder fra det onde;
Lakini Bwana ni mwaminifu, naye atawaimarisha ninyi na kuwalinda kutokana na yule mwovu.
4 og vi have den Tillid til eder i Herren, at I baade gøre og ville gøre, hvad vi byde.
Nasi tuna tumaini katika Bwana ya kuwa mnafanya na mtaendelea kufanya yale tuliyowaagiza.
5 Men Herren styre eders Hjerter til Guds Kærlighed og til Kristi Udholdenhed!
Bwana aiongoze mioyo yenu katika upendo wa Mungu na katika saburi ya Kristo.
6 Men vi byde eder, Brødre! i vor Herres Jesu Kristi Navn, at I holde eder borte fra enhver Broder, som vandrer uskikkeligt og ikke efter den Overlevering, som de modtoge af os.
Ndugu, tunawaagiza katika Jina la Bwana Yesu Kristo, jitengeni na kila ndugu ambaye ni mvivu na ambaye haishi kufuatana na maagizo tuliyowapa.
7 I vide jo selv, hvorledes I bør efterfølge os. Thi vi have ikke levet uskikkeligt iblandt eder,
Maana ninyi wenyewe mnajua jinsi iwapasavyo kufuata mfano wetu. Sisi hatukuwa wavivu tulipokuwa pamoja nanyi,
8 ikke heller spiste vi nogens Brød for intet, men arbejdede med Møje og Anstrengelse, Nat og Dag, for ikke at være nogen af eder til Byrde.
wala hatukula chakula cha mtu yeyote pasipo kukilipia. Badala yake tulifanya kazi kwa bidii usiku na mchana, ili tusimlemee mtu yeyote miongoni mwenu.
9 Ikke fordi vi ikke have Ret dertil; men vi vilde give eder et Forbillede i os selv, for at I skulde efterfølge os.
Tulifanya hivi, si kwa sababu hatukuwa na haki ya kupata msaada kama huo, bali ndio sisi wenyewe tuwe kielelezo.
10 Ogsaa da vi vare hos eder, bøde vi eder jo dette, at dersom nogen ikke vil arbejde, saa skal han heller ikke have Føden!
Kwa maana hata tulipokuwa pamoja nanyi, tuliwapa amri kwamba: “Mtu yeyote asiyetaka kufanya kazi, hata kula asile.”
11 Vi høre nemlig, at nogle vandre uskikkeligt iblandt eder, idet de ikke arbejde, men tage sig uvedkommende Ting for.
Kwa kuwa tunasikia kwamba baadhi ya watu miongoni mwenu ni wavivu. Hawafanyi kazi bali hujishughulisha na mambo ya wengine.
12 Saadanne byde og formane vi i den Herre Jesus Kristus, at de skulle arbejde i Stilhed og saaledes spise deres eget Brød.
Basi watu kama hao tunawaagiza na kuwahimiza katika Bwana Yesu Kristo, kwamba wafanye kazi kwa utulivu kwa ajili ya chakula chao wenyewe.
13 Men I, Brødre! bliver ikke trætte af at gøre det gode!
Kwa upande wenu, ndugu, ninyi kamwe msichoke katika kutenda mema.
14 Men dersom nogen ikke lyder vort Ord her i Brevet, da mærker eder ham; haver intet Samkvem med ham, for at han maa skamme sig!
Ikiwa mtu yeyote hayatii maagizo yetu yaliyoko katika barua hii, mwangalieni sana mtu huyo. Msishirikiane naye, ili apate kuona aibu.
15 Dog skulle I ikke agte ham for en Fjende, men paaminde ham som en Broder!
Lakini msimhesabu kuwa adui, bali mwonyeni kama ndugu.
16 Men han selv, Fredens Herre, give eder Freden altid, i alle Maader! Herren være med eder alle!
Basi, Bwana wa amani mwenyewe awapeni amani nyakati zote na kwa kila njia. Bwana awe nanyi nyote.
17 Hilsenen med min, Paulus's, egen Haand, hvilket er et Mærke i hvert Brev. Saaledes skriver jeg.
Mimi, Paulo, ninaandika salamu hizi kwa mkono wangu mwenyewe. Hii ndio alama ya utambulisho katika barua zangu zote. Hivi ndivyo niandikavyo.
18 Vor Herres Jesu Kristi Naade være med eder alle!
Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe nanyi nyote. Amen.

< 2 Tessalonikerne 3 >