< Anden Kongebog 7 >

1 Da sagde Elisa: Hører Herrens Ord! saa sagde Herren: I Morgen ved denne Tid skal en Maade Mel koste en Sekel, og to Maader Byg en Sekel i Samarias Port.
Elisha akasema, “Sikiliza neno la Yahwe. Hivi ndivyo Yahwe asemavyo: “Kesho mda kama huu kipimo cha unga mzuri kitauzwa kwa shekeli, na vipimo viwili vya shayiri kwa shekeli, kwenye lango la Samaria.””
2 Men Høvedsmanden, til hvis Haand Kongen hældede sig, svarede den Guds Mand og sagde: Se, om Herren gjorde Vinduer paa Himmelen, mon dette Ord kunde ske? og han sagde: Se, du skal se det med dine Øjne, men ikke æde deraf.
Basi yule nahodha ambaye alikuwa akitegemea mkono wake amemjibu mtu wa Mungu, na kusema, “Ona, hata kama Yahwe ataweka madirisha mbinguni, je jambo hili linawezekana?” Elisha akajibu, “Ona, utaona ikitokea kwa macho yako mwenyewe, lakini hutakula chochote katika hilo.”
3 Men der var fire spedalske Mænd, ved Indgangen til Porten, og de sagde den ene til den anden: Hvorfor blive vi her, indtil vi dø?
Basi, kulikuwa na watu wanne wenye ukoma upande wa nje wa lango la mji. Wakaambizana kila mmoja, “Kwa nini tukae hapa hadi hapo tutakapokufa?
4 Om vi sige: Vi ville gaa ind i Staden, saa er der Hunger i Staden, og vi dø der, og om vi blive her, da maa vi og dø; saa kommer nu og lader os gaa over til Syrernes Lejr, lade de os leve, saa leve vi, og dræbe de os, saa dø vi.
Kama tukisema kwamba tutaenda kwenye ule mji, maana mjini kuna njaa, na tutakufa hapo. Lakini kama tukiendelea kukaa hapa, bado tutakufa. Sawa, njoni, twendeni kwenye lile jeshi la Washami. Kama wakitupa uhai, tutakuwa hai, na kama wakituua, tutakufa tu.”
5 Og de gjorde sig rede i Tusmørket at komme til Syrernes Lejr; der de kom til det yderste af Syrernes Lejr, se, da var der ikke en Mand.
Hivyo wakaamka asubuhi kabla giza halijaisha kwenda kwenye kambi ya Washami; Wakati walipofika sehemu ya mwanzo wa kambi, hapakuwa na mtu hapo.
6 Thi Herren havde ladet Syrernes Lejr høre en Lyd af Vogne og en Lyd af Heste, ja, en Lyd af en stor Hær, og de sagde, den ene til den anden: Se, Israels Konge har lejet imod os Hethiternes Konger og Ægypternes Konger til at komme over os.
Kwa kuwa Bwana alikuwa ameunda jeshi la Washami kusikia sauti ya magari ya farasi, na sauti za farasi-sauti za jeshi jingine kubwa, ndipo wakaambizana kila mmoja wao, “Yule mfalme wa Israeli amekodisha wafalme wa Wahiti na Wamisri waje wapigane dhidi yetu.”
7 Derfor gjorde de sig rede og flyede i Tusmørket og forlode deres Telte og deres Heste og deres Asener og Lejren, som den stod, og flyede for at redde deres Liv.
Hivyo wale maaskari wakaondoka kungali giza; waliacha mahema yao, punda zao, na kambi kama ilivyokuwa, na kukimbia kwa ajili ya maisha yao.
8 Der disse spedalske kom til det yderste af Lejren, da kom de til et Telt og aade og drak og toge derfra Sølv og Guld og Klæder og gik bort og skjulte det, og de vendte tilbage og kom til et andet Telt og toge ogsaa noget derfra og gik bort og skjulte det.
Wakati wale watu wenye ukoma walipokuja sehemu ya mwisho wa kambi, wakaenda kwenye hema moja na kula na kunywa, na kubeba fedha na dhahabu na nguo, na kwenda na kuzificha. Wakarudi na kuingia kwenye hema nyingine na kubeba kutoka pale pia, na kwenda kuvificha.
9 Da sagde de, den ene til den anden: Vi gøre ikke ret, denne Dag er et godt Budskabs Dag, og skulde vi tie? dersom vi bie, indtil det bliver lys Morgen, da rammer vor Misgerning os; velan da, lader os gaa og give det til Kende for Kongens Hus!
Basi, wakaambizana kila mmoja, “Hatufanyi sahihi. Siku hii ni siku ya habari njema, lakini tunanyamaza kimya kuhusu hili. Kama tukisubiri mpaka kutakapopambazuka, adhabu itakuwa juu yetu. Basi, njoni, twendeni na kuwaambia nyumba ya mfalme.”
10 Og der de kom, raabte de til Stadens Portvagt, og de gave den det til Kende og sagde: Vi kom til Syrernes Lejr, og se, der var ikke en Mand eller et Menneskes Røst, men Heste bundne og Asener bundne og Teltene, saaledes som de vare.
Kwa hiyo wakaenda na kuwaita mabawabu wa mji. Wakawaambia, wakisema, “Tumeenda kambi ya Washami, lakini hapakuwa na mtu pale, hakuna sauti ya mtu yeyote, lakini kulikuwa na farasi wamefungwa, na punda wamefungwa, na zile hema kama zilivyokuwa.”
11 Da raabte Portvagten og forkyndte det inde i Kongens Hus!
Ndipo mabawabu wakatoa habari, ndipo wakaambiwa ndani ya nyumba ya mfalme.
12 Og Kongen stod op om Natten og sagde til sine Tjenere: Jeg vil kundgøre eder, hvad Syrerne have gjort imod os: De vide, at vi lide Hunger, derfor ere de udgangne af Lejren for at skjule sig paa Marken, sigende: Naar de gaa ud af Staden, da ville vi gribe dem levende og komme ind i Staden.
Basi yule mfalme akainuka usiku nakusema kwa watumishi wake, “Nitawaambia sasa kile ambacho Washami walichotufanyia. Wanajua kwamba tunanjaa, hivyo wameondoka kwenye kambi kwenda kujificha kwenye mashamba. Wanasema, 'Wakati watakapotoka mjini, tutawakamata wakiwa hai, na kuingia mjini.”
13 Da svarede en af hans Tjenere og sagde: Lad dem dog tage fem af Hestene, som ere tilovers, som ere overblevne herinde; se, de ere som al Israels Hob, som ere overblevne herinde, se, de ere som al Israels Hob, der er omkommen; og lader os dog sende hen og se til!
Mmoja wa wale watumishi wa mfalme akajibu na kusema, “Nakuomba, ngoja baadhi ya watu wachukue farasi watano wale waliosalia, ambao wamebaki kwenye mji. Wako kama mkutano wote wa Israeli waliobaki-wengi wamekufa; ngoja tuwatume na tuone.”
14 Da toge de to Vogne med Heste, og Kongen sendte dem efter Syrernes Hær og sagde: Drager hen og ser til!
Hivyo wakachukua magari mawili ya farasi pamoja na farasi, na mfalme akawatuma baada ya jeshi la Washami, akisema, “Enendeni mkaone.”
15 Og der de droge efter dem indtil Jordanen, se, da laa hele Vejen fuld af Klæder og Tøj, som Syrerne havde kastet fra sig, der de hastede af Sted; og Budene kom igen og gave Kongen det til Kende.
Wakawafuata kwenda Yordani, na barabara zote zilikuwa zimejaa na vifaa ambavyo Washami walivitupa wapate kukimbia haraka. Kwa hiyo wale wajumbe wakarudi na kumwambia mfalme.
16 Saa gik Folket ud og plyndrede Syrernes Lejr; og en Maade Mel kostede en Sekel og to Maader Byg en Sekel, efter Herrens Ord.
Wale watu wakatoka nje na wakaziteka nyara zile kambi za Washami. Hivyo kipimo cha unga mzuri uliuzwa kwa shekeli moja, na vipimo viwili vya shayiri kwa shekeli moja, kama vile ambavyo neno la Yahwe lilivyosema.
17 Men Kongen beskikkede den Høvedsmand, hvis Haand han hældede sig til, til at være ved Porten, og Folket traadte ham ned i Porten, saa at han døde, ligesom den Guds Mand havde talt, som havde talt det, der Kongen kom ned til ham.
Naye mfalme alimwagiza yule nahodha ambaye alitegemea mkono wake kuwa mkuu wa lango, na watu wakamkanyaga chini langoni. Alikufa kama mtu wa Mungu alivyosema, ambaye ameongea wakati yule mfalme alipomshukia.
18 Thi det skete, som den Guds Mand havde talt til Kongen og sagt: I Morgen paa denne Tid skulle to Maader Byg koste en Sekel og en Maade Mel en Sekel i Samarias Port.
Basi ikatokea kama yule mtu wa Mungu alivyosema kwa mfalme akisema, “Mda kama huu kwenye lango la Samaria, vipimo viwili vya shayiri vitapatikana kwa shekeli, na kipimo cha unga mzuri kwa shekeli.”
19 Og Høvedsmanden havde svaret den Guds Mand og sagt: Ja se, om Herren gjorde Vinduer paa Himmelen, mon det kunde ske efter dette Ord? og han havde sagt: Se, du skal se det med dine Øjne og ikke æde deraf.
Yule nahodha alimjibu yule mtu wa Mungu na kusema, “Tazama, hata kama Yahwe angefanya madirisha mbinguni, je hiki kitu kingeweza kutokea” Elisha akasema, “Tazama, utaona kikitokea kwa macho yako mwenyewe, lakini hutakula chochote katika hicho.”
20 Og det gik ham saaledes; thi Folket traadte ham ned i Porten, saa at han døde.
Hivyo ndivyo haswa kilichompata, kwa kuwa watu wakamkanyaga kwenye lango, na kufa.

< Anden Kongebog 7 >