< Anden Kongebog 23 >

1 Og Kongen sendte hen, og alle de Ældste i Juda og Jerusalem samlede sig om ham.
Hivyo mfalme akawatuma wajumbe waliokuwa wamemzunguka wazee wote wa Yuda na wa Yerusalemu.
2 Og Kongen gik op i Herrens Hus, og alle Judas Mænd og alle Jerusalems Indbyggere med ham og Præsterne og Profeterne og alt Folket, baade smaa og store, og han læste for deres Øren alle Ordene i Pagtens Bog, som var funden i Herrens Hus.
Kisha mfalme akapanda hadi kwenye nyumba ya Yahwe, na watu wote wa Yuda na wenyeji wote wa Yerusalemu pamoja naye, na makuhani, manabii, na watu wote, kuanzia mdogo hadi mkubwa. Kisha akasoma katika masikioni kwao maneno yote ya kitabu cha agano ambalo lililokuwa limepatikana kwenye nyumba ya Yahwe.
3 Og Kongen stod paa Forhøjningen og gjorde Pagten for Herrens Ansigt, at de skulde vandre efter Herren og holde hans Bud og hans Vidnesbyrd og hans Skikke af ganske Hjerte og af ganske Sjæl for at hævde denne Pagts Ord, som vare skrevne i denne Bog; og alt Folket indgik Pagten.
Mfalme akasimama karibu na nguzo na kufanya agano mbele ya Yahwe, kutembea pamoja na Yahwe na kukumbuka maagizo yake, kanuni zake, na sheria zake, kwa moyo wake wote na kwa roho yake yote, kuthibitisha maneno ya hili agano ambalo lililokuwa limeandikwa kwenye hiki kitabu. Hivyo watu wote wakakubaliana kusimama kwenye agano
4 Og Kongen bød Hilkia, Ypperstepræsten, og Præsterne af anden Rang og Dørvogterne, at de skulde udføre af Herrens Tempel alle de Redskaber, som vare gjorte til Baal og til Astarte og til al Himmelens Hær; og de opbrændte dem uden for Jerusalem paa Kedrons Marker, og Støvet af dem lod han bringe til Bethel.
Mfalme akamwamuru Hilkia yule kuhani mkuu, makuhani chini yake, na walinzi wa lango watoe kwenye hekalu vyombo vilivyokuwa vimetengenezwa kwa ajili ya Baali na Ashera, na kwa ajili ya nyota zote za mbinguni. Akivichoma moto Yerusalimu kwenye mashamba ya bonde la Kidroni na kubeba majivu yake kwenda Betheli.
5 Og han afsatte de afgudiske Præster, som Judas Konger havde indsat, og som havde gjort Røgelse paa Højene i Judas Stæder og i dem, som laa omkring Jerusalem, samt dem, som gjorde Røgelse for Baal, for Solen og for Maanen og for Himmeltegnene og for al Himmelens Hær.
Akawaondoa makuhani waliokuwa wanaabudu miungu ambao wafalme wa Yuda waliwachagua ili kwa ajili ya kufukiza ubani katika mahali pa juu kwenye miji ya Yuda na sehemu zinazoizunguka Yerusalemu-wale waliokuwa wanchoma ubani kwa Baali, kwa juana kwa mwezi, kwa sayari, na kwa nyota zote za mbinguni.
6 Og han lod Astartebilledet føre ud af Herrens Hus uden for Jerusalem til Kedrons Bæk og opbrændte det ved Kedrons Bæk og stødte det smaat til Støv, og han kastede dets Støv paa Folkets Børns Grave.
Akaiondoa Ashera kutoka kwenye hekalu la Yahwe, nje ya Yerusalemu hata bonde la Kidroni na kuichoma hapo. Akaipiga kwenye mavumbi na kuiyatupa yale mavumbi kwenye makaburi ya watu wa kawaida.
7 Og han nedbrød de Skørlevneres Huse, som vare ved Herrens Hus, i hvilke Kvinderne vævede Telte for Astarte.
Akavisafisha vyumba vya makahaba ambao walikuwa kwenye hekalu la Yahwe, ambako wanawake waliposhonea nguo kwa ajili ya Ashera
8 Og han lod alle Præsterne komme fra Judas Stæder og vanhelligede Højene, hvor Præsterne havde gjort Røgelse, fra Geba indtil Beersaba; og han nedbrød Højene ved Portene, den, som var ved Indgangen til Josvas, Stadsfyrstens, Port, og den, som var til venstre, naar man gaar ind ad Stadens Port.
Yosia akawaleta makuhani wote nje ya miji ya Yuda na kupanajisi mahali pa juu ambako makuhani walipokuwa wakichomea ubani, kutoka Geba hata Bersheba. Akapaharibu mahala pa juu kwenye malango ambayo yaliyokuwa ya kuingilia kwenda kwenye lango la Yoshua (liwali wa mji), upande wa kushoto wa lango la mji.
9 Dog ofrede ikke Højenes Præster paa Herrens Alter i Jerusalem, endskønt de aad usyrede Brød midt iblandt deres Brødre.
Ingawa makuhani wa mahali pa juu hawakuruhusiwa kuhudumu kwenye madhabahu ya Yahwe katika Yerusalemu, wakala mikate isiyotiwa chachu miongoni mwa ndugu zao.
10 Og han vanhelligede Tofet, som var i Hinnoms Børns Dal, for at ikke nogen skulde lade sin Søn eller sin Datter gaa igennem Ilden til Molek.
Yosia akainajisi Tofethi, ambayo ipo kwenye bonde la Ben Hinomu, ili kwamba mtu yeyote asimuweke mtoto wake wa kiume au binti yake kwenye moto kama sadaka kwa Molaki.
11 Og han afskaffede de Heste, som Judas Konger havde indviet til Solen, foran Indgangen til Herrens Hus, ved Hofbetjenten Nethan-Meleks Kammer, hvilket var paa Parvarim, og han opbrændte Solens Vogne med Ild.
Akawachukua farasi ambao wafalme wa Yuda waliokuwa wametolewa kwa ajili ya jua. Walikuwa kwenye eneo la lango la uingilia kwenye hekalu la Yahwe, karibu na chumba cha Nathani Meleki, msimamizi mkuu wa nyumba ya mfalme. Yosia akayachoma yale magari ya farasi ya jua
12 Og de Altre, som vare paa Akas's Sals Tag, og som Judas Konger havde opført, og de Altre, som Manasse havde opført i de to Herrens Huses Forgaarde, nedbrød Kongen, og han skyndte sig derfra og lod deres Støv kaste i Kedrons Bæk.
Yosia mfalme akayaharibu madhabahu yaliyokuwa kwenye dari ya juu ya chumba cha Ahazi, ambacho wafalme wa Yuda walikitengeneza, na madhabahu ambayo Manase aliyatengeneza kwenye behewa mbili za nyumba ya Yahwe. Yosia akazivunga vipande vipande na kuvitupa kwenye bonde la Kidroni.
13 Og de Høje, som vare lige for Jerusalem, som vare paa den højre Haand af Mashiths Bjerg, hvilke Salomo, Israels Konge, havde bygget for Astarte, Zidoniernes Vederstyggelighed, og for Kamos, Moabiternes Vederstyggelighed, og for Milkom, Ammons Børns Vederstyggelighed, vanhelligede Kongen.
Mfalme akapaangamiza mahali pa juu magharibi mwa Yerusalemu, kusini mwa mlima wa uharibifu ambapo Sulemani mfalme wa Israeli alipajenga kwa ajili ya Ashtorithi, chukizo la Wamoabu; sanamu za karaha za Wasidoni; kwa Kemoshi, sanamu za karaha wa Moabu; na kwa Moleki, sanamu wa karaha wa watu wa Amoni.
14 Og han sønderslog Støtterne og udryddede Astartebillederne og opfyldte deres Sted med Menneskeben.
Akazivunja nguzo za jiwe kuwa vipande vipande na kuziangusha chini nguzo za Ashera na kuzijaza zile sehemu kwa mifupa ya watu.
15 Ja ogsaa det Alter, som var i Bethel, og Højen, som Jeroboam, Nebats Søn, som kom Israel til at synde, havde gjort, ja det Alter og Højen nedbrød han, og han opbrændte Højen og gjorde den til fint Støv og opbrændte Astartebilledet.
Yosia pia akaiteketeza kabisa madhabahu iliyokuwa Betheli na mahali pa juu ambako Yeroboamu mwana wa Nebati (ambaye aliwafanya Waisraeli kuasi) aliijenga. Pia aliichoma moto ile madhabahu na mahali pa juu na kupapiga hadi pakawa vumbi. Pia akaichoma moto nguzo ya Ashera.
16 Og Josias vendte sig og saa de Grave, som vare der paa Bjerget, og han sendte hen og lod tage Benene af Gravene og opbrændte dem paa Alteret og vanhelligede det efter Herrens Ord, som den Guds Mand havde udraabt, han som udraabte disse Ord.
Yosia alipotazama kwenye lile eneo, akagundua kwamba yale makaburi yalikuwa juu ya mlima. Akawatuma watu kuichukua mifupa kutoka kwenye yale makaburi; kisha akaichoma kwenye madhabahu, akainajisi. Hii ilitokana na neno la Yahwe ambalo mtu wa Mungu aliliongea, yule mtu aliyekuwa ameongea haya mambo kabla.
17 Og han sagde: Hvad er det for et Gravmæle, som jeg ser? og Mændene i Staden sagde til ham: Det er den Guds Mands Grav, som kom fra Juda og raabte disse Ting, som du har gjort imod Alteret i Bethel.
Kisha akasema, “Ni ukumbusho wa nani ule ninao uona?” Mtu wa ule mji akamwambia, “Lile ni kaburi la mtu wa Mungu ambaye alikuja kutoka Yuda na kuongea kuhusu haya mambo ambayo ameyafanya dhidi ya madhabahu ya Betheli.”
18 Og han sagde: Lader ham hvile, ingen flytte hans Ben; og de reddede hans Ben tillige med den Profets Ben, som kom fra Samaria.
Hivyo Yosia akasema, “Mwacheni. Mtu asihamishe mifupa yake.” Hivyo wakaacha mifupa yake, pamoja na mifupa ya nabii ambaye alikuja kutoka Samaria.
19 Ja ogsaa alle Højenes Huse, som vare i Samarias Stæder, og som Israels Konger havde opført til at opirre Gud, borttog Josias og gjorde ved dem ganske paa samme Maade, som han havde gjort i Bethel.
Kisha Yosia akahamisha nyumba zote za mahali pa juu ambazo zilikuwa katika mji wa Samaria, ambazo wafalme wa Israeli walizokuwa wamezitengeneza, na ambazo zilizokuwa zimemgadhabisha Yahwe kwa hasira.
20 Og han slagtede alle Højenes Præster, som der vare, paa Altrene, og opbrændte Menneskeben paa dem; og han kom tilbage til Jerusalem.
Aliwafanyia kile ambacho kilikuwa kimefanyika katika Betheli. Aliwachinja makuhani wote wa mahali pa juu ya madhabahu na aliichoma mifupa ya watu juu yao. Kisha akarudi Yerusalemu.
21 Og Kongen bød alt Folket og sagde: Holder Paaske for Herren eders Gud, saaledes som der er skrevet i denne Pagts Bog.
Kisha mfalme akawaamuru watu wote, akisema, “Itunzeni Pasaka ya Yahwe Mungu wenu, kama ilivyoandikwa kwenye hiki kitabu cha agano.”
22 Thi der var ikke holdt en Paaske som denne fra Dommernes Dage af, som dømte Israel, og gennem alle Israels Kongers og Judas Kongers Dage.
Hiyo Pasaka haijawahi kufanyika tangu siku za waamuzi ambao waliiongoza Israeli, wala katika siku zote za wafalme wa Israeli au Yuda.
23 Men i Kong Josias's attende Aar blev denne Paaske holdt for Herren i Jerusalem.
Lakini katika mwaka wa kumi na nane wa Mfalme Yosia hii Pasaka ya Yahwe ilisheherekewa katika Yerusalemu.
24 Men ogsaa Spaakvinderne og Tegnsudlæggerne og Husguderne og de stygge Afguder og alle de Vederstyggeligheder, som bleve sete i Judas Land og i Jerusalem, borttog Josias, for at holde Lovens Ord, som vare skrevne i Bogen, som Hilkia, Præsten, havde fundet i Herrens Hus.
Yosia pia akawafukuza wale ambao waliokuwa wameongea na wafu au na roho. Pia aliifukuza miungu ya sananmu, sanamu, na vitu vyote ambavyo ni chukizo vilivyokuwa vinaonekana katika nchi ya Yuda na katika Yerusalemu, hivyo kwa kuthibitisha yale maneno ya sheria ambayo iliyokuwa imeandikwa kwenye kitabu cha Hilkia yule kuhani aliyekuwa amepatikana kwenye nyumba ya Yahwe.
25 Og der var ingen Konge som han før ham, der omvendte sig til Herren af sit ganske Hjerte og af sin ganske Sjæl og af al sin Formue efter al Moses Lov, og der opstod ej nogen efter ham som han.
Kabla ya Yosia, hapakuwa na mfalme kama yeye, aliyekuwa amemwelekea yahwe kwa moyo wake wote, roho yake yote, na nguvu zake zote, ambaye alifuata sheria zote za Musa. Hapakuwa na mfalme kama Yosia aliyeinuka baada ya yeye.
26 Dog vendte Herren ikke om fra sin store Vredes Ild, hvormed hans Vrede var optændt imod Juda, for alle de Opirrelser, som Manasse havde opirret ham med.
Walakini, Yahwe hakugeuka kutoka kwenye ukali wa hasira yake, ambayo ilikuwa dhidi ya Yuda kwa waabudu wapagani wote pamoja ambao Manase aliokuwa amemgadhibisha.
27 Og Herren sagde: Jeg vil ogsaa bortkaste Juda fra mit Ansigt, ligesom jeg bortkastede Israel, og jeg vil forkaste denne Stad, som jeg udvalgte, Jerusalem, og det Hus, om hvilket jeg sagde: Mit Navn skal være der.
Hivyo Yahwe akasema, “Pia nitaiondoa Yuda usoni kwangu, kama nilivyoiondoa Israeli, na nitautupilia mbali huu mji ambao nilio uchagua, Yerusalemu, na ile nyumba ambayo niliyokuwa nimesema, 'Jina langu litakuwa humo.”'
28 Men det øvrige af Josias's Handeler og alt, hvad han gjorde, ere de Ting ikke skrevne i Judas Kongers Krønikers Bog?
Kama kwa mambo mengine yanayo muhusu Yosia, kila kitu alichofanya, je vimeandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Yuda?
29 I hans Dage drog Farao Neko, Kongen af Ægypten, op imod Kongen af Assyrien til Floden Frat, og Kong Josias drog imod ham; men denne dræbte ham i Megiddo, der han havde set ham.
Katika siku zake, Farao Neko, mfalme wa Misri, alienda kupigana dhidi ya mfalme wa Ashuru huko mto Frati. Mfalme Yosia akaenda kuonana na Neco katika mapigano, na Neko akamuua huko Megido.
30 Og hans Tjenere førte ham død fra Megiddo og førte ham til Jerusalem og begravede ham i hans Grav; og Folket i Landet tog Joakas, Josias's Søn, og salvede ham og gjorde ham til Konge i hans Faders Sted.
Watumishi wa Yosia wakambeba kwenye gari la farasi akiwa amekufa kutoka Migido, kumleta Yerusalemu, na kumzika katika kaburi lake mwenyewe. Kisha watu wa nchi wakamchukua Yehoahazi mwana wa Yosia, wakamtia mafuta, na kumfanya kuwa mfalme katika mahali pake.
31 Joakas var tre og tyve Aar gammel, der han blev Konge, og regerede tre Maaneder i Jerusalem, og hans Moders Navn var Hamutal, Jeremias's Datter fra Libna.
Yehoahazi alikuwa na umri wa miaka ishirini na tatu alipoanza kutawala, na alitawala miezi mitatu katika Yerusalemu. Mama yake alikuwa akiitwa Hamutali; alikuwa binti wa Yeremia wa Libana.
32 Og han gjorde det, som var ondt for Herrens Øjne, efter alt det, som hans Fædre gjorde.
Yehoahazi alifanya yaliyo maovu usoni kwa Yahwe, kama kila kitu ambacho babu zake walichokifanya.
33 Og Farao Neko lod ham lægge i Lænker i Ribla udi Hamaths Land, at han ikke skulde regere i Jerusalem, og han lagde en Straf paa Landet, hundrede Centner Sølv og et Centner Guld.
Farao Neko akamfunga gerezani huko Ribla katika nchi ya Hamathi, hivyo asiweze kutawala katika Yerusalemu. Kisha Neko akaitoza Yuda talanta mia moja za fedha na talanta moja ya dhahabu.
34 Og Farao Neko gjorde Eliakim, Josias's Søn, til Konge i hans Faders, Josias's Sted, og omvendte hans Navn til Jojakim; men Joakas tog han med, og denne kom til Ægypten og døde der.
Farao Neko akamfanya Eliakimu mwana wa Yosia mfalme katika mahali pa Yosia baba yake, na kubadilisha jina lake kuwa Yehoyakimu. Lakini akamchukua mfalme Yehoahazi kwenda Misri, na Yehoahazi akafia huko.
35 Og Jojakim gav Farao Sølvet og Guldet, men han lignede en Skat paa Landet for at kunne give Pengene efter Faraos Befaling; eftersom Skatten var lignet paa hver især, inddrev han Sølvet og Guldet af Folket i Landet for at give det til Farao Neko.
Yehoyakimu akalipa fedha na dhahabu kwa Farao. Ili akutane na amri ya Farao, Yehoyakimu akaitoza nchi na kulazimisha kila mtu miongoni mwa watu wa nchi wamlipe fedha na dhahabu kulingana na makadirio yao.
36 Jojakim var fem og tyve Aar gammel, der han blev Konge, og regerede elleve Aar i Jerusalem, og hans Moders Navn var Sebuda, Pedajas Datter fra Ruma.
Yehoyakimu alikuwa na umri wa miaka ishirini na tano alipoanza kutawala, na alitawala miaka kumi na moja katika Yerusalemu. Mama yake alikuwa akiitwa Zebida; alikuwa binti wa Pedaia wa Ruma.
37 Og han gjorde det, som var ondt for Herrens Øjne, efter alt det, som hans Fædre havde gjort.
Yehoyakimu akafanya yale yaliyo maovu usoni kwa Yahwe, kama waliyoyafanya babu zake.

< Anden Kongebog 23 >