< Anden Krønikebog 33 >
1 Manasse var tolv Aar gammel, der han blev Konge, og regerede fem og halvtredsindstyve Aar i Jerusalem.
Manase alikuwa na umri wa miaka kumi na mbili alipoanza kutawala, alitawala miaka hamsini na tano katika Yerusalemu.
2 Og han gjorde det, som var ondt for Herrens Øjne, efter de Hedningers Vederstyggeligheder, som Herren havde fordrevet for Israels Børns Ansigt.
Akafanya yalikuwa uovu katika macho ya Yahwe, kama yalivyo mambo ya machukizo ya mataifa ambao Yahwe alikuwa amewafukuza mbele ya watu wa Israeli.
3 Thi han opbyggede igen de Høje, som Ezekias, hans Fader, havde nedbrudt, og oprejste Altre til Baalerne og gjorde Astartebilleder og tilbad al Himmelens Hær og tjente dem.
Kwa maana alizijenga tena sehemu za juu ambazo baba yake Hezekia alikuwa amezibomoa, na akajenga madhabahu kwa ajili ya mabaali, akatengeneza sanaamu za Maashera, na akaziinamia chini nyota zote za mbinguni na kuziabudu.
4 Og han byggede Altre i Herrens Hus, om hvilke Herren havde sagt: I Jerusalem skal mit Navn være evindelig.
Manase akajenga madhbahu za kipagani katika nyumba ya Yahwe, ingawa Yahwe alikuwa amemwamuru, “Ni katika Yerusalemu ambamo jina langu litawekwa milele”.
5 Tilmed byggede han Altre til hele Himmelens Hær i begge Forgaardene til Herrens Hus.
Alijenga madhabahu kwa ajili ya nyota zote za mbinguni katika vile viwanja viwili vya nyumba ya Yahwe.
6 Og han lod sine Sønner gaa igennem Ilden i Hinnoms Søns Dal og var en Dagvælger og agtede paa Fugleskrig og brugte Trolddom og beskikkede Spaamænd og Tegnsudlæggere, han gjorde meget ondt for Herrens Øjne til at opirre ham.
Katika bonde la Beni Hinomu akawaweka wanaye katika moto. Akafanya misemo ya ubashiri, na uchawi, akassoma utabiri; akashauriana na wale waliozungumza na wafu na wale waliozungumza na na roho. Akafanaya maaovu mengi katika mcho ya Yahwe na alimfanya Mungu akasirike.
7 Han satte og et udskaaret Billede, som han lod gøre, i Guds Hus, om hvilket Gud havde sagt til David og til Salomo, hans Søn: I dette Hus og i Jerusalem, som jeg har udvalgt fremfor alle Israels Stammer, vil jeg sætte mit Navn evindelig.
Ile sanamu ya Maashera aliyokuwa amefanya, akaipeleka katika nyumba ya Mungu. Ni kuhusu nyumba hii ambayo Mungu alikuwa amesema kwa Daudi na Selemani mwanaye; alikuwa amesema, “Ni katika nyumba hii na katika Yerusalemu, ambao nimeuchangua kutoka makabila yote ya Israeli, kwamba nitaliweka jina langu milele.
8 Og jeg vil ikke mere lade Israels Fod fortrænges fra Landet, som jeg bestemte for deres Fædre; kun saafremt de tage Vare paa at gøre alt det, jeg har budet dem, efter hele Loven og Skikkene og Budene ved Mose.
Sitawaondoa tena watu wa Israeli katina nchi hii ambayo niliitoa kwa babu zao, ikiwa tu watakuwa makini katika kuyashika yote niliyowaamuru, kuzishika sheria zangu, amri zangu, na sheria zangu nilizowapa kupitia Musa.”
9 Men Manasse forførte Juda og Indbyggerne i Jerusalem til at handle værre end Hedningerne, som Herren havde ødelagt for Israels Børns Ansigt.
Manase akawaongoza Yuda na wakaaji wa Yerusalemu hata kufanya uovu zaidi kuliko hata watu wa mataifa ambao Yahwe alikuwa amewateketeza mbele za Israeli.
10 Og Herren talte til Manasse og til hans Folk; men de gave ikke Agt derpaa.
Yahwe akasema kwa Manase, na kwa watu wake wote, lakini hawakumsikiliza.
11 Derfor lod Herren Kongen af Assyriens Hærførere komme over dem, og de grebe Manasse iblandt Tornebuskene, og de bandt ham med to Kobberlænker og førte ham til Babel.
Kwa hiyo Yahwe akaleta juu yao maamri jeshsi wa jeshi la Ashuru, ambao walimchukua Manase katika minyonyoro, wakamfunga kwa pingu, na wakampeleka Babeli.
12 Og der han kom i Angest, bad han ydmygelig for Herren sin Guds Ansigt og ydmygede sig saare for sine Fædres Guds Ansigt.
Manase alipokuwa katika dhika, alimuomba Yahwe, Mungu wake, na akajinyenyekesha sana mbele za Mungu wa babu zake.
13 Ja, han bad til ham, og Gud bønhørte ham og hørte hans ydmyge Begæring og førte ham tilbage til Jerusalem, til hans Rige; da kendte Manasse, at Herren var Gud.
Akaomba kwake; na Mungu akamsikiliza, na Mungu akasikia kuomba kwake na akamrudisha Yerusalemu, katika ufalme wake. Kisha Manase akafahamu kwamba Yahwe alikuwa Mungu.
14 Og derefter byggede han den yderste Mur for Davids Stad, Vesten for Gihon i Dalen, og hen til Fiskeporten, og han førte den omkring Ofel og gjorde den saare høj; og han lagde Stridshøvedsmænd i alle Judas faste Stæder.
Baada ya hayo, manase akajenga ukuta wa nje ya mji wa Daudi, upande wa magharibi wa Gihoni, katika bonde, hadi kwenye lango la Samaki. Akauzungushia mlima wa Ofeli na akaupandisha ukuta hadi usawa mrefu sana. Akaweka maamri jeshi jasiri katika ngome zote za miji ya Yuda.
15 Og han borttog de fremmede Guder og hint Billede fra Herrens Hus og alle Altrene, som han havde bygget paa Herrens Hus's Bjerg og i Jerusalem, og han kastede dem uden for Staden.
Akaipeleka mbali miungu yote ya kigeni, akaondoa sanamu zote kwenye nyumba ya Yahwe, na madhabahu zote ambazo alikuwa amejenga juu ya mlima wa nyumba ya Yahwe na katika Yerusalemu, na kuvitupa nje ya mji.
16 Og han istandsatte Herrens Alter og ofrede derpaa Takofre og Lovofre; og han sagde til Juda, at de skulde tjene Herren, Israels Gud.
Akaijenga tena madhabahu ya Yahwe na juu yake akatoa sadaka za amani na sadaka za shukrani; akamwamuru Yuda amtumikie Yahwe, Mungu wa Israeli.
17 Dog ofrede Folket endnu paa Højene, men kun til Herren deres Gud.
Hata hivyo watu bado walitoa sadaka mahali pa sehemu za juu, lakini kwa Yahwe, Mungu wao pekee.
18 Men det øvrige af Manasses Handeler og hans Bøn til hans Gud og de Seeres Taler, som talte til ham i Herren Israels Guds Navn, se, dette er skrevet i Israels Kongers Krønike.
Katika mambo mengine kuhusu Manase, maombi yake kwa Mungu wake, na maneno ya waonaji ambao walisema kwake katika jina la Yahwe, Mungu wa Israeli, tazama, yameandikwa miongoni mwa matendo ya wafalme wa Israeli.
19 Og hans Bøn, og at han blev bønhørt, og al hans Synd og Forgribelse og de Steder, paa hvilke han byggede Højene og satte Astartebilleder og udskaarne Billeder, førend han blev ydmyget; se, dette er skrevet i Seernes Krønike.
Katika matukio hayo kuna historia ya maombi yake, na jinsi Mungu alivyoguswa na maomabi hayo. Pia kuna kumbu kumbu ya dhambi zake zote na makosa yake, na sehemu ambako alikuwa amejenga sehemu za juu na kuzisimamisha Maashera na sanamu za kuchonga, kambla ya kujinyenyekesha mwenyewe — na imeandikwa kuhusu hayo katika tarehe ya waonaji. (Maandishi ya kale yanasema hivi, “tarehe ya Hozai,” ambayo ni maandishi ya kifungu asili. Lakini matoleo mengi ya kisasa yamesahihisha na kusomeka “tarehe ya waonaj” Pia, matoleo machache ya kisasa yanasema “tarehe ya waonaji”.).
20 Og Manasse laa med sine Fædre, og de begrove ham i hans Hus, og hans Søn Amon blev Konge i hans Sted.
Kwa hiyo Manase akalala na babu zake, na wakamzika katika nyumba yake mwenyewe. Amoni, mwaye, akawa mfalme katika nafasi yake.
21 Amon var to og tyve Aar gammel, der han blev Konge, og regerede to Aar i Jerusalem.
Amoni alikuwa na umri wa miaka ishirini na mbili alipoanza kutawala; alitawala miaka miwili katika Yerusalemu.
22 Og han gjorde det, som var ondt for Herrens Øjne, ligesom Manasse, hans Fader, havde gjort, og til alle de udskaarne Billeder, som Manasse, hans Fader, havde gjort, ofrede Amon og tjente dem.
Akafanya yaliyokuwa uovu katika macho ya Yaahwe, kama Manase, baba yake, alivyofanya. Amoni alitoa sadaka katika sanamau zote za kuchonga ambazo alitengeneza Manase baba yake, na aliziabudu.
23 Men han ydmygede sig ikke for Herrens Ansigt, som hans Fader Manasse havde ydmyget sig; thi denne Amon gjorde Skylden mangfoldig.
Hakujinyenyekesha mbele za Yahwe, kama baba yake Manase alivyokuwa amefanya. Badala yake, Amoni huyu huyu alifanya makosa zaidi na zaidi.
24 Og hans Tjenere gjorde et Forbund imod ham og dræbte ham i hans Hus.
Watumishi wake wakapanga njama wa zidi yake na wakamua katika nyumba yake mwenyewe.
25 Men Folket i Landet slog alle dem ihjel, som havde gjort Forbund imod Kong Amon, og Folket i Landet gjorde Josias, hans Søn, til Konge i hans Sted.
Lakini watu wa nchi wakawaua wote waliofanya njama zidi ya Mfalme Amoni, na wakamfanya Yosia, mwanaye, mfalme katika nafasi yake.