< Anden Krønikebog 20 >

1 Og det skete derefter, at Moabs Børn og Ammons Børn og med dem nogle af Meuniterne kom imod Josafat til Krig.
Ikawa baada ya hayo, kwamba watu wa Moabu na Amoni, na pamoja na baadhi ya Wameuni wakaja juu ya Yehoshafati ili kupigana vita. (Mandishi, “baadhi ya Wameuni” yanatoa masahihisho kwa ajili ya maandishi ya Kiebrania, ambayo yanasomeka, “baadhi ya Waamoni”. Inadhaniwa kwamba “Wameuni” ndilo neno la asili, na wenye kunukuu walilibadili kuwa “baadhi ya Waamoni”. Lakaini jina hili la mwisho halileti maana, kwa sababu Waamoni tayari wamekwisha tajwa katika mstri huu. Vile vile, matoleo tofauti tofauti yanajihusha na tatizo hili katika namna mabli mbali)
2 Og man kom og gav Josafat det til Kende og sagde: Der kommer en stor Hob imod dig fra hin Side Havet fra Syrien, og se, de ere i Hazezon-Thamar, det er Engedi.
Kisha baadhi ya watu wakaja wakamwambia Yehoshafati, wakisema, “Umati mkubwa wanakuja juu yako ng'ambo ya Bahari iliyokufa, kutoka Edomu. Ona, wako Hason- tamari”, ambayo ndiyo En-gedi. (Badala ya “Edomu” baadhi ya matoleo ya zamani na ya kisasa yanasomeka, “Aramu.”
3 Og Josafat frygtede og vendte sit Ansigt til at søge Herren og lod udraabe en Faste over al Juda.
Yehoshafati akaogopa na akajipanga kumtafuta Yahwe. Akatangaza haraka katika Yuda yote.
4 Og Juda samlede sig for at søge Hjælp af Herren; ogsaa af alle Judas Stæder kom de for at søge Herren.
Yuda wakakakusanyika pamoja kwa ajili ya kumtafuta Yahwe; wakaja kutoka miji yote ya Yuda kwa ajili ya kumtafauta Yahwe.
5 Og Josafat stod i Judas og Jerusalems Forsamling, i Herrens Hus foran den nye Forgaard,
Yehoshafati akasimama katika kusanyiko la Yuda na Yerusalemu, kwenye nyumba ya Yahwe, mbele ya kibaraza kipya.
6 og han sagde: Herre, vore Fædres Gud! er du ej selv den Gud i Himmelen? ja, du er den, som regerer i alle Hedningernes Riger, og i din Haand er Kraft og Vælde, og der er ingen, som kan bestaa imod dig.
Akasema, “Yahwe, Mungu wa babau zetu, hauko mbinguni? Wewe siyo mtawala juu ya falame zote za mataiafa? Nguvu na uweza viko mkononi mwako, kwa hiyao hakuna anayeweza akukupinga wewe.
7 Har du ikke, vor Gud! fordrevet dette Lands Indbyggere fra dit Folk Israels Ansigt og givet det til Abrahams, din Vens, Sæd evindelig?
Munagu wetu, Hukuwafuaakuja nje wakaaji wa nchi hii mbe ya watau watau wakop Israeli, na kuitoa milele kwa ajili ya uzaoa wa Abrahamu?
8 Og de have boet derudi og bygget dig en Helligdom deri for dit Navn og sagt:
Wakaishi ndani yake na kujenga sehemu takatifu kwa ajili ya jina lako, wakisema,
9 Om Ulykke kommer over os, Sværd, Straffedom eller Pest eller Hunger, skulle vi staa foran dette Hus og for dit Ansigt (thi dit Navn er i dette Hus), og raabe til dig i vor Nød, saa ville du høre og frelse!
'Ikiwa janga litakuja juu yetu —upanga, hukumu, au ugonjwa, au njaa—tutasimama mbele ya nyumba hii, na mbele zako (kwa maana jina lako limo ndani ya nyumba hii), na tutakulilia wewe katika mateso yetu, na utatusikia na kutuokoa.' (Badala ya “hukumu” baadhi ya maandiko ya zamani yanasema “mafuriko”).
10 Nu da, se, Ammons Børn og Moab og de fra Sejrs Bjerg, hos hvilke du ikke tilstedte Israel at drage igennem, der de kom fra Ægyptens Land — thi de gik af Vejen for dem og ødelagde dem ikke —
Tazama sasa, hapa kuna watu wa Amoni, Moabu, na wa Mlima Seiri ambao hukuwaacha Israeli wawapige waalipotoka nchi ya Misri; badala yake, Israeli waliwageukia mbali na hawakuwaangamiza.
11 se, disse betale os det med at komme for at udstøde os af din Ejendom, som du har ladet os indtage til Eje.
Ona jinsi wanavyotuzawadia; wanakuja kutotoa nje ya nchi yako mbayo umetupa kuirithi.
12 Vor Gud! vil du ikke holde Dom over dem? thi der er ingen Kraft i os imod denne store Hob, som kommer imod os, og vi vide ikke, hvad vi skulle gøre; men vore Øjne ere vendte til dig.
Mungu wetu, hutawahukumu? Kwa maana hatuna nguvu dhidi ya hili jeshi kubwa ambalo linakuja juu yetu. hatujui cha kufanya, lakini macho yetu yako kwako.
13 Og al Juda stod for Herrens Ansigt ogsaa deres smaa Børn, deres Hustruer og deres Sønner.
Yuda wote wakasimama mbele ya Yahwe, pamoja na wadogo wao, wake, na watoto.
14 Men over Jehasiel, en Søn af Sakaria, der var en Søn af Benaja, der var en Søn af Jejel, en Søn af Matthania, Leviten af Asafs Børn, kom Herrens Aand midt iblandt Forsamlingen,
Kisha kati kati ya kusanyiko, roho ya Yahwe ikaja juu ya Yahazieli, mwana wa Zekaria, mwana wa Benaya, mwana wa Yeieli, mwana wa Matania, mwana, Mlawi, mmoja wa wana wa Asafu.
15 og han sagde: Giver Agt, alle I af Juda og I, Indbyggere i Jerusalem, og du, Kong Josafat! saa sagde Herren til eder: I skulle ikke frygte og ikke ræddes for denne store Hob, thi Krigen er ikke eders, men Guds.
Yahazieli akasema, “Sikilizeni, Yuda wote na ninyi wakaaji wa Yerusalemu, na Mfalme Yehoshafati. Hivi ndivyo Yahwe asemavyao kwenu, 'Msiogope: msivunjike moyo kwa sababu ya hili jeshsi kubwa, kwa maana vita siyo yenu, bali ni ya Mungu.
16 I Morgen skulle I drage ned imod dem; se, de drage op ad Opgangen til Ziz, og I skulle finde dem ved Enden af Dalen lige over for Jeruels Ørk.
Lazima muende chini juu ya yao kesho, Ona, wanakuja wakipanda kupia njia ya Sisi. Mtawakuta mwishono mwa bondo, mbele ya jangwa la Yerueli.
17 Det skal ikke være eders Sag at stride her, stiller eder hen, bliver staaende og ser, hvorledes Herren frelser eder, o Juda og Jerusalem! I skulle ikke frygte og ikke ræddes, drager i Morgen ud imod dem, thi Herren skal være med eder.
Hamtahitaji kupigana katika vita hii. Simameni katika nafasi zenu, simameni wima, na muone wokovu wa Yahwe pamoja nanyi, Yuda na Yerusalemu. Msiogope wala kukata tamaa. Tokeni nje juu yao kesho, kwa maana yuko pamoja nanyi.”
18 Da bøjede Josafat sit Ansigt ned til Jorden, og al Juda og Indbyggerne i Jerusalem faldt ned for Herrens Ansigt, at nedbøje sig for Herren.
Yehoshafati akainamisha kichwa chake pamaoja na uso wake chini. Yuda wote na wakaaji wa Yerusalemu wakaanguka chini mbele za Yahwe, wakimwabudu yeye.
19 Og Leviterne af Kahathiternes Børn og af Koriternes Børn stode op at love Herren, Israels Gud, med overmaade høj Røst.
Walawi, wale wa uzao wa Wakohathi na wa uzao wa Wakorahi, wakasimama juu kumsifu Yahwe, Mungu wa Israeli, kwa sauti kubwa sana.
20 Og de stode tidligt op om Morgenen og droge ud til Thekoas Ørk; og der de droge ud, stod Josafat og sagde: Hører mig, Juda, og I, Indbyggere i Jerusalem! tror paa Herren eders Gud, saa skulle I være sikre, tror paa hans Profeter, saa skulle I faa Lykke.
Asubuhi mapema wakasimama na kwenda nje kwenye bonde la Tekoa. Walipokuwa wakienda nje, Yehoshafati akasimama na kusema, “Nisikilizeni, Yuda, na nnyi wakaaji wa Yerusalemu! Aminini katika Yahwe Mungu wenu, na mtasaidiwa. Aminini katika manabii zake, na mtafanikiwa.
21 Og han raadførte sig med Folket og beskikkede Sangere for Herren, at de skulde love den hellige Majestæt, og, naar de droge ud frem for de bevæbnede, da skulde de sige: Lover Herren, thi hans Miskundhed er evindelig.
Alipokuwa ameshauriana na watu, akawachagaua wale ambao wangemwimbia Yahwe na kumpa sifa kwa ajili ya utukufu wake mtakatifu, walipokuwa wakienda wakilitangulia jeshi, na kusema, “Mshukuruni Yahwe, kwa maana uaminifu wa aganao lake unadumu milele.”
22 Og den Tid de begyndte med Frydeskrig og Lovsang, lod Herren et Baghold komme over Ammons Børn, Moab og dem fra Sejrs Bjerg, som vare komne imod Juda, og de kæmpede med hinanden.
Walipoanza kuimba na kusifu, Yahwe akapanga wanaume katika mavamizi juu ya watu wa Amoni, Moabu, na wa Mlima Seiri, ambao walikuwa wanakauja dhidi ya Yuda. Walishindwa.
23 Thi Ammons Børn og Moab stode imod Indbyggerne af Sejrs Bjerg for at bandlyse og ødelægge dem; og der de havde gjort Ende paa Indbyggerne af Sejr, hjalp de den ene den anden med at ødelægge hinanden.
Kwa maana watu wa Aamoni na Moabu walisimama kupigana na wakaaji wa Mlima Seiri, ili kuwaua kabisa na kuwangamiza. Waliapokuwa wamemaliza kuwaangamiza wakaaji wa Mlima Seiri, wote wakasaidiana kuangamizana kila mmoja.
24 Der Juda var kommen til Bjerghøjden ved Ørken, da vendte de deres Ansigter over imod Hoben, og se, der laa de døde Kroppe, som vare faldne til Jorden, og der var ingen undkommen.
Yuda walipokuwa katika sehemu hiyo wakiangalia jangwani, waliangalia nje juu ya jeshi. Tazama, walikuwa wamekufa, wameanguka chini; hakuna aliyekuwa amepona.
25 Og Josafat og hans Folk kom for at røve deres Bytte, og de fandt hos dem i Mangfoldighed baade Gods hos de døde Kroppe og kosteligt Tøj, og de toge for sig, saa de ikke kunde bære det; og de røvede Bytte i tre Dage, thi der var meget.
Yehoshafati na watu wake walipokuja kuchukua nyara kutoka kwa hao watu, walikuta miongoni mwao bidhaa nyingi, nguo, na johari za thamani, ambazo walizichukua kwa ajili yao wenyewe, nyingi kuliko uwezo wao wa kubeba. Iliwachukua siku tatu kusomba nyara hizo, zilikuwa nyingi sana. (Badala ya “miongoni mwao”, baadhi ya maandishi ya zamani na ya kisasa yanasema, “ng'ombe.” badala ya “nguo” baadhi ya maandiko ya kale na ya kisasa yanasema, “miili iliyokufa”).
26 Og paa den fjerde Dag forsamledes de i Lovsangsdalen, thi der lovede de Herren; derfor kaldte de samme Steds Navn Lovsangsdal indtil denne Dag.
Katika siku ya nne wakakusanyika katika bonde la Baraka, Huko wakamsifu Yaahwe, kwa hiyo jina la sehemu hiyo hata leo ni “Bonde la Baraka”.
27 Siden vendte hver Mand af Juda og Jerusalem om, og Josafat fremmerst for dem, for at drage tilbage til Jerusalem med Glæde; thi Herren havde givet dem Glæde over deres Fjender.
Kisha, wakarudi, kila mtu wa Yuda na Yerusalemu, na Yehoshafati katika uongozi wao, kwenda tena Yerusalemu kwa furaha, kwa maana Yahwe alikuwa amewafanya wafurahie juu ya adui zao.
28 Og de kom til Jerusalem med Psaltre og med Harper og med Basuner op til Herrens Hus.
Wakaja Yerusalemu na kwenye nyumba ya Yahwe kwa vinanda, vinubi na matarumbeta.
29 Og Frygt for Gud kom over alle Landenes Riger, der de hørte, at Herren havde stridt imod Israels Fjender.
Hofu ya Yahwe ikawa juu ya falme zote za mataifa waliposikia kwamba Yahwe amepigana dhidi ya adui wa Israeli.
30 Saa fik Josafats Rige Hvile, og hans Gud skaffede ham Rolighed trindt omkring.
Kwa hiyo ufaleme wa Yehoshafati ulikuwa mtivu, kwa maana Mungu wake alimpa amani kuzungunga pande zake zote.
31 Og Josafat regerede over Juda; han var fem og tredive Aar gammel, der han blev Konge, og regerede fem og tyve Aar i Jerusalem, og hans Moders Navn var Asuba, Silhis Datter.
Yehoshafati akatawala juu ya Yuda: Alikuwa na umri wa miaka thelathini na mitano alipoanza kutawala. Jina la mama yke aliitwa Azubahi, binti wa Shilhi.
32 Og han vandrede i Asas, sin Faders, Vej og veg ikke fra den, idet han gjorde det, som var ret for Herrens Øjne.
Akatembea katika njia za Asa, baba yake; hakugeka popote kuziacha; akafanya yaliyo mema katika macaho ya Yahwe.
33 Dog bleve Højene ikke borttagne; thi Folket havde endnu ikke rettelig beredet deres Hjerte for deres Fædres Gud.
Vile vile, sehemu za juu hazikuwa zimeondoshwa mbali. Watu walikuwa bado hawajaelekeza mioyo yao kwa Mungu wa babu zao.
34 Men det øvrige af Josafats Handeler, de første og de sidste, se, de Ting ere skrevne i Jehu, Hananis Søns, Krønike, som er indrykket i Israels Kongers Bog.
Kwa mambo mengine kuhusu Yehoshafati, mwanzo na mwisho, tazama, yameandikwa katika historia ya kitabu cha wafalme wa Israeli.
35 Men derefter forbandt Josafat, Judas Konge, sig med Ahasia, Israels Konge; denne var ugudelig i sine Gerninger.
Baada ya hayo, Yehoshafati, mfalme wa Yuda, akapatana na Ahazia, mfalme wa Israeli, ambaye alitenda uovu mwingi.
36 Og han forbandt sig med ham om at udruste Skibe, som skulde fare til Tharsis, og de udrustede Skibe i Ezion-Geber.
Akapatana naye kujenga meli za kwenda Tarshishi; Wakazijenga meli hizo huko Esion-geberi.
37 Men Elieser, Dodavas Søn, fra Maresa, spaaede imod Josafat og sagde: Fordi du forbandt dig med Ahasia, har Herren sønderrevet, hvad du har for; da bleve Skibene sønderslagne, og de formaaede ikke at fare til Tharsis.
Kisha Eliezeli, mwana wa Dadavahu wa Maresha, akatoa unabii juu ya Yehoshafati; akasema, “kwa sababu umepatana na Ahazia, Yahwe ameiharibu miradi yako.” Meli zilivunjika ili kwamba zisiweze kusafiri.

< Anden Krønikebog 20 >