< Første Kongebog 5 >
1 Og Hiram, Kongen af Tyrus, sendte sine Tjenere til Salomo, da han havde hørt, at de havde salvet ham til Konge i hans Faders Sted; thi Hiram havde elsket David alle Dage.
Hiramu mfalme wa Tiro aliposikia kuwa Solomoni ametiwa mafuta awe mfalme mahali pa Daudi baba yake, akatuma wajumbe kwa Solomoni, kwa sababu Hiramu siku zote alikuwa na uhusiano mzuri wa kirafiki na Daudi.
2 Derfor sendte Salomo til Hiram og lod sige:
Solomoni akapeleka ujumbe huu kwa Hiramu:
3 Du ved, at min Fader David ikke kunde bygge Herrens, sin Guds, Navn et Hus for Krigens Skyld, med hvilken de havde omspændt ham, indtil Herren gav dem under hans Fødders Saaler.
“Unajua kwamba kwa sababu ya vita vilivyopiganwa dhidi ya baba yangu Daudi kutoka pande zote, hakuweza kujenga Hekalu kwa ajili ya Jina la Bwana Mungu wake, hadi Bwana alipowaweka adui zake chini ya miguu yake.
4 Men nu har Herren min Gud skaffet mig Rolighed trindt omkring, her er ingen Modstander og intet ondt hændet.
Lakini sasa Bwana Mungu wangu amenipa utulivu kila upande hakuna adui wala maafa.
5 Og se, jeg tænker at bygge Herrens, min Guds, Navn et Hus, som Herren talede til min Fader David og sagde: Din Søn, som jeg skal sætte i dit Sted paa din Trone, han skal bygge mit Navn Huset.
Kwa hiyo, ninakusudia kujenga Hekalu kwa ajili ya Jina la Bwana, Mungu wangu, kama Bwana alivyomwambia baba yangu Daudi, wakati aliposema, ‘Mwanao nitakayemweka kwenye kiti cha ufalme mahali pako, ndiye atajenga Hekalu kwa ajili ya Jina langu.’
6 Saa befal nu, at man hugger mig Cedertræ fra Libanon, og mine Tjenere skulle være med dine Tjenere, og jeg vil give dig Løn til dine Tjenere efter alt det, som du siger; thi du ved, at her er ingen hos os, som forstaar at hugge Træer, som Zidonierne.
“Hivyo toa amri ili mierezi ya Lebanoni ikatwe kwa ajili yangu. Watu wangu watafanya kazi na watu wako, nami nitawalipa watu wako kwa ujira wowote utakaoupanga. Unajua kwamba hatuna mtu yeyote mwenye ustadi katika kukata miti kama Wasidoni.”
7 Og det skete, der Hiram hørte Salomos Ord, da blev han saare glad, og han sagde: Lovet være Herren i Dag, som har givet David en viis Søn over dette talrige Folk!
Hiramu aliposikia ujumbe wa Solomoni, akafurahishwa sana akasema, “Ahimidiwe Bwana leo, kwa kuwa amempa Daudi mwana mwenye hekima kutawala juu ya taifa hili kubwa.”
8 Og Hiram sendte hen til Salomo og lod sige: Jeg har hørt det, som du sendte til mig om; jeg vil gøre al din Villie med Cedertræer og med Fyrretræer.
Hiramu akatuma neno kwa Solomoni: “Nimepokea ujumbe ulionipelekea na nitafanya yote unayohitaji katika kukupatia magogo ya mierezi na misunobari.
9 Mine Tjenere skulle føre dem ned fra Libanon til Havet, og jeg vil lade dem lægge i Flaader paa Havet og bringe dem til det Sted, som du sender mig Bud om, og jeg vil lade dem skille ad der, og du skal lade dem hente; men du skal gøre min Villie, at give mit Hus Kost.
Watu wangu watayakokota kutoka Lebanoni hadi kwenye bahari, nami nitayafunga mafungu mafungu yaelee juu ya maji hadi utakapoelekeza. Huko nitayatenganisha, nawe utaweza kuyachukua. Wewe utakidhi haja yangu kwa kunipatia chakula kwa ajili ya watu wa nyumbani mwangu.”
10 Saa gav Hiram Salomo Cedertræer og Fyrretræer, alt efter hans Villie.
Kwa njia hii Hiramu akampa Solomoni miti yote ya mierezi na magogo ya misunobari kama alivyohitaji,
11 Og Salomo gav Hiram tyve Tusinde Kor Hvede til Spise for hans Hus og tyve Kor stødt Olivenolie; saa gav Salomo Hiram fra Aar til Aar.
naye Solomoni akampa Hiramu kori 20,000 za ngano kama chakula kwa ajili ya watu wa nyumbani mwake, pamoja na mafuta safi ya zeituni yaliyokamuliwa bathi 20,000. Solomoni aliendelea kumfanyia Hiramu hivyo mwaka baada ya mwaka.
12 Og Herren gav Salomo Visdom, som han havde tilsagt ham; og der var Fred imellem Hiram og imellem Salomo, og de gjorde begge en Pagt.
Bwana akampa Solomoni hekima, kama alivyomwahidi. Palikuwepo na uhusiano wa amani kati ya Hiramu na Solomoni, na wote wawili wakafanya mkataba.
13 Og Kong Salomo udtog Pligtarbejdere af hele Israel, og Pligtarbejderne vare tredive Tusinde Mænd.
Mfalme Solomoni akakusanya wafanyakazi 30,000 kutoka Israeli yote.
14 Og han sendte dem til Libanon, ti Tusinde hver Maaned, saa de skiftede; en Maaned vare de paa Libanon, og to Maaneder var hver i sit Hus, og Adoniram var over Pligtarbejderne.
Akawapeleka Lebanoni kwa zamu za watu 10,000 kwa mwezi, hivyo walikaa Lebanoni kwa mwezi mmoja na miezi miwili nyumbani. Adoniramu ndiye alikuwa kiongozi wa shokoa.
15 Og Salomo havde halvfjerdsindstyve Tusinde Lastdragere og firsindstyve Tusinde Tømrere paa Bjerget,
Solomoni alikuwa na wachukuzi wa mizigo 70,000 na wachonga mawe 80,000 huko vilimani,
16 foruden Salomos øverste Befalingsmænd, som vare over Arbejdet, nemlig tre Tusinde og tre Hundrede, som regerede over Folket, som gjorde Arbejdet.
pamoja na wasimamizi 3,300 ambao walisimamia kazi hiyo na kuwaongoza wafanyakazi.
17 Og Kongen bød det, og de bragte store Stene, kostbare Stene, hugne Stene til at lægge Grundvolden til Huset.
Kwa amri ya mfalme walitoa kwenye machimbo ya mawe, mawe makubwa, yaliyo bora kwa kujengea msingi wa nyumba yaliyochongwa kwa ajili ya Hekalu.
18 Og Salomos Bygningsmænd og Hirams Bygningsmænd og Gibliterne tilhuggede og beredte Træerne og Stenene til at bygge Huset.
Mafundi wa Solomoni, wa Hiramu na watu wa Gebali walikata na kuandaa mbao na mawe kwa ajili ya ujenzi wa Hekalu.