< Første Krønikebog 13 >

1 Og David holdt et Raad med Høvedsmændene over tusinde og over hundrede og med alle Fyrsterne.
Daudi alishauriana na kila afisa wake, majemadari wa maelfu na majemadari wa mamia.
2 Og David sagde til hele Israels Forsamling: Dersom det synes godt for eder, og det er fra Herren, vor Gud, saa lader os hastelig sende Bud til dem af vore Brødre, som ere blevne tilbage i alle Israels Lande, og ligervis til Præsterne og Leviterne i Stæderne paa deres Marker, at de kunne forsamle sig med os.
Ndipo Daudi akaliambia kusanyiko lote la Israeli, “Kama mkiona ni vyema, na kama ni mapenzi ya Bwana Mungu wetu, tupeleke ujumbe kwa ndugu zetu wengine walio mbali na walio karibu katika nchi yote ya Israeli, pia kwa makuhani na Walawi walio pamoja nao katika miji yao na katika sehemu zao za malisho yao, waje waungane na sisi.
3 Og lader os flytte vor Guds Ark over til os; thi vi søgte den ikke i Sauls Dage.
Sisi na tulirudishe Sanduku la Mungu wetu kwetu kwa maana hatukujali wakati wa utawala wa Sauli.”
4 Da sagde den hele Forsamling, at man skulde gøre saa; thi den Ting syntes at være ret for hele Folkets Øjne.
Kusanyiko lote likakubaliana kufanya hivyo, kwa sababu ilionekana vyema kwa watu wote.
5 Saa samlede David hele Israel fra Ægyptens Sihor og til Hamath for at føre Guds Ark fra Kirjath-Jearim.
Basi Daudi akawakusanya Waisraeli wote, kuanzia Mto Shihori ulioko Misri hadi Lebo-Hamathi, ili kulileta Sanduku la Mungu kutoka Kiriath-Yearimu.
6 Og David og hele Israel drog op til Baalath, til Kirjath-Jearim, som hører til Juda, for at hente Gud Herrens Ark op derfra, hans, som sidder paa Keruber, og hvis Navn paakaldes.
Daudi akiwa pamoja na Waisraeli wote wakaenda Baala ya Yuda (yaani Kiriath-Yearimu) kulipandisha Sanduku la Mungu Bwana, yeye anayeketi katika kiti cha enzi kati ya makerubi: Sanduku linaloitwa kwa Jina lake, kutoka huko.
7 Og de førte Guds Ark paa en ny Vogn fra Abinadabs Hus, og Ussa og Ahio førte Vognen.
Wakalisafirisha Sanduku la Mungu kwa gari jipya la kukokotwa na maksai kutoka nyumba ya Abinadabu, Uza na Ahio wakiliongoza gari hilo.
8 Og David og hele Israel legede for Guds Ansigt af al Magt baade med Sange og med Harper og med Psaltre og med Trommer og med Cymbler og med Basuner.
Daudi pamoja na Waisraeli wote walikuwa wanasifu kwa nguvu zao zote mbele za Mungu, kwa nyimbo na kwa vinubi, zeze, matari, matoazi na tarumbeta.
9 Og der de kom til Kidons Lade, da udrakte Ussa sin Haand for at gribe fat paa Arken, thi Øksnene vege ud af Sporet.
Walipofika kwenye uwanja wa kupuria nafaka wa Kidoni, Uza akaunyoosha mkono wake ili kulizuia Sanduku, kwa sababu maksai walijikwaa.
10 Da optændtes Herrens Vrede imod Ussa, og han slog ham, fordi han udrakte sin Haand til Arken, og han døde der for Guds Ansigt.
Hasira ya Bwana ikawaka dhidi ya Uza, akampiga kwa sababu aliuweka mkono wake kwenye Sanduku. Kwa hiyo akafa pale mbele za Mungu.
11 Da blev David ilde tilfreds, fordi Herren havde gjort et Skaar paa Ussa, og han kaldte det samme Sted Perez-Ussa indtil denne Dag.
Ndipo Daudi akakasirika kwa sababu ghadhabu ya Bwana ilifurika dhidi ya Uza, mahali pale pakaitwa Peres-Uza hadi leo.
12 Og David frygtede for Gud paa den samme Dag og sagde: Hvorledes skal jeg lade Guds Ark komme til mig?
Siku ile Daudi akamwogopa Mungu naye akauliza. “Nitawezaje kulichukua Sanduku la Mungu kwangu?”
13 Og David vilde ikke føre Arken til sig i Davids Stad; men han lod den føre hen til Githiten Obed-Edoms Hus.
Hakulichukua hilo Sanduku akae nalo katika Mji wa Daudi. Badala yake, akalipeleka nyumbani kwa Obed-Edomu, Mgiti.
14 Og Guds Ark blev ved Obed-Edoms Hus, i hans Hus, i tre Maaneder, og Herren velsignede Obed-Edoms Hus og alt det, han havde.
Sanduku la Mungu likabaki pamoja na jamaa ya Obed-Edomu, nyumbani kwake kwa miezi mitatu, naye Bwana akaibariki nyumba yake pamoja na kila kitu alichokuwa nacho.

< Første Krønikebog 13 >