< Jan 17 >

1 Když Ježíš domluvil, pohlédl vzhůru k nebi a řekl: „Otče, přichází můj čas. Přiznej se ke mně a dovol, abych prokázal tvoji velikost.
Baada ya Yesu kusema haya, alitazama kuelekea mbinguni akawaombea na kusema: “Baba, saa imewadia. Umtukuze Mwanao, ili Mwanao apate kukutukuza wewe.
2 Svěřil jsi mi přece moc nade všemi, abych ty, které mi dáváš, uvedl do věčného života. (aiōnios g166)
Kwa kuwa umempa mamlaka juu ya wote wenye mwili ili awape uzima wa milele wale uliompa. (aiōnios g166)
3 Kdo chce věčně žít, musí poznat tebe jako jediného pravého Boha a mne jako toho, kterého jsi poslal. (aiōnios g166)
Nao uzima wa milele ndio huu, wakujue wewe uliye Mungu wa pekee, wa kweli na Yesu Kristo uliyemtuma. (aiōnios g166)
4 Vykonal jsem vše, co jsi mi uložil, a tím jsem dokázal, v čem je tvoje velikost.
Nimekutukuza wewe duniani kwa kuitimiza ile kazi uliyonipa niifanye.
5 Otče, navrať mi nyní moc a čest, kterou jsem měl u tebe dřív, než byl svět.
Hivyo sasa, Baba, unitukuze mbele zako kwa ule utukufu niliokuwa nao pamoja na wewe kabla ulimwengu haujakuwepo.
6 Lidé tě nechápou, ale těm, které jsi mi dal, jsem objasnil, kdo vlastně jsi. Patří tobě a tys mi je svěřil.
“Nimelidhihirisha jina lako kwa wale ulionipa kutoka ulimwengu. Walikuwa wako, nawe ukanipa mimi, nao wamelitii neno lako.
7 Dali na má slova a poznali, že pocházejí od tebe.
Sasa wamejua ya kuwa vyote ulivyonipa vimetoka kwako,
8 Všechno, cos mi pro ně svěřil, jsem jim předal a oni uvěřili, že jsi mne poslal.
kwa kuwa maneno yale ulionipa nimewapa wao, nao wameyapokea na kujua kwamba kweli nimetoka kwako, nao wameamini kuwa wewe ulinituma.
9 Nemodlím se teď za celý svět, ale za ty, které jsi mi už dal, neboť oni jsou tvoji.
Ninawaombea wao. Mimi siuombei ulimwengu, bali nawaombea wale ulionipa kwa sababu wao ni wako.
10 Vždyť všechno, co patří mně, je tvoje a všechno, co je tvé, je moje. Na nich bude patrná moje sláva.
Wote walio wangu ni wako na walio wako ni wangu, nami nimetukuzwa ndani yao.
11 Já odcházím k tobě, oni zůstávají. Otče svatý, vezmi si je teď na starost a sjednocuj je tak, jak jsme my zajedno.
Mimi sasa simo tena ulimwenguni, lakini wao bado wamo ulimwenguni, nami naja kwako. Baba Mtakatifu, uwalinde kwa uweza wa jina lako ulilonipa, ili wawe na umoja kama sisi tulivyo wamoja.
12 Já jsem o ně pečoval, dokud jsem byl s nimi. Chránil jsem je, takže jsem nikoho neztratil – kromě Jidáše. Ale i jeho zrada musí posloužit tvým plánům.
Nilipokuwa pamoja nao, niliwalinda, wakawa salama kwa lile jina ulilonipa. Hakuna hata mmoja aliyepotea, isipokuwa yule aliyekusudiwa upotevu, ili Maandiko yapate kutimia.
13 Proč o té péči znovu mluvím? Odcházím k tobě, ale chci, aby si oni uchovali plnou radost.
“Lakini sasa naja kwako, nami ninasema mambo haya wakati bado nikiwa ulimwenguni, ili wawe na furaha yangu kamili ndani yao.
14 Svěřil jsem jim tvé slovo a svět se postavil proti nim, protože stejně jako já nesplynuli s proudem.
Nimewapa neno lako, nao ulimwengu umewachukia kwa kuwa wao si wa ulimwengu kama mimi nisivyo wa ulimwengu huu.
15 Neprosím, abys je vzal ze světa, ale abys je chránil od zlého.
Siombi kwamba uwaondoe ulimwenguni, bali uwalinde dhidi ya yule mwovu.
16 Oni nepatří světu, jako ani já mu nepatřím.
Wao si wa ulimwengu huu, kama vile mimi nisivyo wa ulimwengu.
17 Strhni je svým slovem a přiveď je k dokonalosti svou pravdou.
Uwatakase kwa ile kweli, neno lako ndilo kweli.
18 Posílám je do světa právě tak, jako jsi ty poslal mne.
Kama vile ulivyonituma mimi ulimwenguni, nami nawatuma vivyo hivyo.
19 Pokládám za ně svůj život, aby oni své životy zasvětili pravdě.
Kwa ajili yao najiweka wakfu ili wao nao wapate kutakaswa katika ile kweli.
20 Nemodlím se jen za ně, ale také za ty, kteří přijmou jejich poselství a uvěří ve mne.
“Siwaombei hawa peke yao, bali nawaombea na wale wote watakaoniamini kupitia neno lao
21 Dávej jim tutéž jednotu, která spojuje nás, aby z jejich jednomyslného svědectví svět poznal, že jsi ty mne poslal. Jejich jednomyslnost ať je odleskem jednoty mezi mnou a tebou. Já působím v nich, jako ty působíš ve mně. To je sjednocuje a lidé poznají, že jsi mne poslal a že je miluješ tak jako mne.
ili wawe na umoja kama vile wewe Baba ulivyo ndani yangu na mimi nilivyo ndani yako, wao nao wawe ndani yetu, ili ulimwengu upate kuamini ya kuwa wewe ndiye uliyenituma mimi.
Utukufu ule ulionipa nimewapa wao, ili wawe na umoja kama sisi tulivyo wamoja.
Mimi ndani yako na wewe ndani yangu, ili wawe wamekamilika katika umoja na ulimwengu upate kujua ya kuwa umenituma, nami nimewapenda wao kama unavyonipenda mimi.
24 Otče, dal jsi mi je a já chci, aby přišli tam, kam jdu já. Poznali mne v plné slávě, kterou jsi mi dal z lásky, dřív než byl svět.
“Baba, shauku yangu ni kwamba, wale ulionipa wawe pamoja nami pale nilipo, ili waweze kuuona utukufu wangu, yaani, utukufu ule ulionipa kwa kuwa ulinipenda hata kabla ya kuwekwa misingi ya ulimwengu.
25 Otče, vím, že jsi hoden vší důvěry, ale svět si to neuvědomuje. Tito však poznali, že jsi mne poslal.
“Baba Mwenye Haki, ingawa ulimwengu haukujui, mimi ninakujua, nao wanajua ya kuwa umenituma.
26 Objasnil jsem jim a ještě objasním, kdo jsi. Ať milují tak, jako miluješ ty mne. Pak se mezi nimi budou lidé setkávat se mnou.“
Nimefanya jina lako lijulikane kwao nami nitaendelea kufanya lijulikane, ili kwamba upendo ule unaonipenda mimi uwe ndani yao na mimi mwenyewe nipate kuwa ndani yao.”

< Jan 17 >