< Skutky Apoštolů 15 >

1 V Antiochii se objevili někteří křesťané z Judska a přesvědčovali bývalé pohany, že nestačí jen uvěřit v Krista, ale že ke spáse je nutné přijmout židovské tradice, jak je předepisuje Mojžíšův zákon, a to především obřízku.
Baadhi ya watu wakashuka Antiokia kutoka Uyahudi, nao wakawa wanawafundisha wandugu: “Msipotahiriwa kufuatana na desturi aliyofundisha Mose, hamwezi kuokoka.”
2 Pavel a Barnabáš s nimi naprosto nesouhlasili a vznikl z toho vážný spor. Nakonec se rozhodli předložit spornou otázku apoštolům a vedení církve v Jeruzalémě. Vyslali tam skupinu pod vedením Pavla a Barnabáše.
Baada ya Paulo na Barnaba kutokubaliana nao kukawa na mabishano makali, Paulo na Barnaba na baadhi ya wengine miongoni mwao wakachaguliwa kwenda Yerusalemu ili kujadiliana jambo hili na mitume na wazee.
3 Ti, když cestovali Fénicií a Samařskem, vyprávěli křesťanům, jak pohané přijímají víru v Pána Ježíše, a bratři z toho měli všude velkou radost.
Hivyo wakasafirishwa na kanisa, wakiwa njiani wakapitia nchi ya Foinike na Samaria, wakawaeleza jinsi watu wa Mataifa walivyookoka. Habari hizi zikaleta furaha kubwa kwa ndugu wote.
4 V Jeruzalémě je přijali starší sboru a apoštolové. I těm vyprávěli, jak se Bůh přiznává k jejich práci mezi pohany.
Walipofika Yerusalemu, walipokelewa na kanisa na mitume pamoja na wazee, ndipo Paulo na Barnaba wakawaarifu kila kitu Mungu alichokuwa amefanya kupitia kwao.
5 Hned se však ozvali někteří křesťané – příslušníci židovské sekty farizejů: „Pohané, kteří uvěřili v Krista, musejí přijmout obřízku a dodržovat Mojžíšův zákon.“
Ndipo baadhi ya walioamini wa madhehebu ya Mafarisayo wakasimama na kusema, “Hao watu wa Mataifa lazima watahiriwe na waagizwe kutii sheria ya Mose.”
6 Apoštolové a starší svolali poradu o této těžké otázce.
Mitume na wazee wakakutana pamoja ili kufikiri jambo hili.
7 Když po dlouhém rozhovoru stále nemohli dojít k žádnému rozhodnutí, vzal si slovo Petr a řekl: „Bratři, víte, že mne si Bůh vybral, abych jako první zvěstoval evangelium pohanům, a oni uvěřili.
Baada ya majadiliano mengi, Petro akasimama na kusema, “Ndugu zangu, mnajua kwamba siku za kwanza Mungu alinichagua ili kwa midomo yangu watu wa Mataifa wapate kusikia ujumbe wa Injili na kuamini.
8 Bůh, který vidí do srdce člověka, se k nim přiznal a dal jim stejného Ducha jako nám.
Mungu, yeye ajuaye mioyo, alionyesha kwamba anawakubali kwa kuwapa Roho Mtakatifu kama vile alivyotupa sisi.
9 Nedělal v tom žádný rozdíl mezi rozeným židem a pohanem – očistil i jejich srdce vírou.
Mungu hakutofautisha kati yetu na wao, bali alitakasa mioyo yao kwa imani.
10 Proč chcete být moudřejší než sám Bůh a předělávat je na židy? Vždyť je to zbytečné břemeno, které jsme my ani naši předkové nemohli unést.
Sasa basi, mbona mnataka kumjaribu Mungu kwa kuweka kongwa shingoni mwa wanafunzi ambalo baba zetu wala sisi hatukuweza kulibeba?
11 I my jsme uvěřili, že nebudeme zachráněni pro svoje židovství, ale pro lásku Pána Ježíše Krista. A v tom jsou nám plně rovni.“
Lakini sisi tunaamini ya kuwa tunaokolewa kwa neema ya Bwana Yesu Kristo, kama wao wanavyookolewa.”
12 Po tomto projevu celé shromáždění ztichlo a vyslechlo zprávu Barnabáše a Pavla o tom, jaké divy a nadpřirozené věci konal Bůh jejich prostřednictvím mezi pohany.
Kusanyiko lote likakaa kimya, wakawasikiliza Paulo na Barnaba wakieleza jinsi Mungu alivyowatumia kutenda ishara na maajabu kwa watu wa Mataifa.
13 Když skončili, ujal se slova Jakub: „Bratři, chtěl bych něco říci.
Walipomaliza kunena, Yakobo akasema, “Ndugu zangu, nisikilizeni.
14 Slyšeli jsme Šimonovu zkušenost: sám Bůh to byl, kdo poprvé promluvil k pohanům a přijal je mezi svůj lid.
Simoni amekwisha kutueleza jinsi Mungu, kwa mara ya kwanza alivyoonyesha kuhusika kwa kujichagulia watu kutoka watu wa Mataifa kwa ajili ya Jina lake.
15 To plně souhlasí se slovy proroka:
Maneno ya manabii yanakubaliana na jambo hili, kama ilivyoandikwa:
16 ‚Vrátím se a obnovím svůj příbytek, který je v rozvalinách, znovu budu bydlet s vámi.
“‘Baada ya mambo haya nitarudi, nami nitajenga upya nyumba ya Daudi iliyoanguka. Nitajenga tena magofu yake na kuisimamisha,
17 Potom mne naleznou i pohané, kterým budete hlásat moje jméno.‘To říká Bůh,
ili wanadamu wengine wote wapate kumtafuta Bwana, hata wale watu wa Mataifa wote ambao wanaitwa kwa Jina langu, asema Bwana, afanyaye mambo haya’
18 který nyní koná, co slíbil už před věky. (aiōn g165)
ambayo yamejulikana tangu zamani. (aiōn g165)
19 Nenakládejte tedy na pohany, kteří uvěřili v Boha, zbytečná břemena.
“Kwa hivyo uamuzi wangu ni kwamba, tusiwataabishe watu wa Mataifa wanaomgeukia Mungu.
20 Napišme jim, aby zachovávali jen základní pravidla: ať se vyhýbají všemu, co souvisí s modloslužbou, mravní nezřízeností, a ať nejedí maso s krví ani samotnou krev.
Badala yake, tuwaandikie kwamba wajiepushe na vyakula vilivyonajisiwa kwa kutolewa sanamu, wajiepushe na uasherati, au kula mnyama aliyenyongwa, na damu.
21 Vždyť Mojžíšův zákon se už odedávna vyučuje každou sobotu v synagogách a má dost horlivých zastánců.“
Kwa maana katika kila mji kwa vizazi vilivyopita, Mose amekuwa na wale wanaotangaza sheria yake kwa kuwa imekuwa ikisomwa kwa sauti kubwa katika masinagogi kila Sabato.”
22 S tím celé shromáždění souhlasilo. Vybrali z vedoucích bratří dva muže. Ti měli v Antiochii vyřídit vše, na čem se v Jeruzalémě usnesli. Byli to Juda zvaný Barsabáš a Silas.
Mitume na wazee pamoja na kanisa lote, wakaamua kuwachagua baadhi ya watu wao na kuwatuma Antiokia pamoja na Paulo na Barnaba. Wakamchagua Yuda aitwaye Barsaba pamoja na Sila, watu wawili waliokuwa viongozi miongoni mwa ndugu.
23 Po nich poslali tento dopis: „Apoštolové a starší jeruzalémského sboru vzkazují bratrský pozdrav bratřím v Antiochii, Sýrii a Kylikii, bývalým pohanům.
Wakatumwa na barua ifuatayo: Sisi mitume na wazee, ndugu zenu, Kwa ndugu Mataifa mlioamini mlioko Antiokia, Shamu na Kilikia: Salamu.
24 Slyšeli jsme, že k vám přišli od nás lidé, kteří vás znepokojovali a mátli svými názory. My jsme je ničím nepověřili.
Tumesikia kwamba kuna baadhi ya watu waliokuja huko kutoka kwetu bila ruhusa yetu na kuwasumbua, wakiyataabisha mawazo yenu.
25 Teď jsme se jednomyslně rozhodli poslat k vám Judu a Silase společně s Barnabášem a Pavlem, o nichž víme, že ve službě Kristovu evangeliu nasazují život. Ti vám ještě blíže vysvětlí naše písemné usnesení.
Hivyo tumekubaliana wote kuwachagua baadhi ya watu na kuwatuma kwenu pamoja na wapendwa wetu Barnaba na Paulo,
watu ambao wamehatarisha maisha yao kwa ajili ya jina la Bwana wetu Yesu Kristo.
Kwa hiyo tunawatuma Yuda na Sila, kuthibitisha kwa maneno ya mdomo mambo haya tunayowaandikia.
28 Podle rozhodnutí Ducha svatého i podle našeho názoru není nutno vám ukládat jakákoliv břemena kromě těchto nejzákladnějších požadavků:
Kwa maana imempendeza Roho Mtakatifu na sisi tusiwatwike mzigo wowote mkubwa zaidi ya mambo haya yafuatayo ambayo ni ya lazima:
29 Varujte se toho, co bylo obětováno modlám, nejezte krev ani maso s krví a zachovávejte mravní čistotu. Budete jednat správně, když se přidržíte těchto pokynů. Mějte se dobře!“
Kwamba mjiepushe na vyakula vilivyotolewa sadaka kwa sanamu, na damu, au kula nyama ya mnyama aliyenyongwa, na mjiepushe na uasherati. Mkiyaepuka mambo haya, mtakuwa mmefanya vyema. Kwaherini.
30 Pověření bratři se tedy odebrali do Antiochie, odevzdali dopis
Hivyo wakaagwa, wakashuka kwenda Antiokia. Baada ya kulikusanya kanisa pamoja, wakawapa ile barua.
31 a ten byl přečten celému shromáždění. Přinesl všem velikou úlevu a radost.
Nao hao watu wakiisha kuisoma, wakafurahishwa sana kwa ujumbe wake wa kutia moyo.
32 Juda a Silas, kterým Duch svatý ukazoval, co mají mluvit, posilovali a povzbuzovali celý sbor.
Yuda na Sila, ambao wenyewe walikuwa manabii, wakanena maneno mengi ya kuwatia moyo na kuwajenga katika imani wale ndugu walioamini.
33 Po nějaké době se měli zase vrátit do Jeruzaléma, ale Silas raději zůstal v Antiochii. Také Pavel a Barnabáš tam zůstali a spolu s mnoha dalšími vyučovali a hlásali Kristovo učení.
Baada ya kukaa huko Antiokia kwa muda, wakaagwa kwa amani na wale ndugu ili waende kwa wale waliowatuma. [
Lakini Sila bado akaendelea kukaa huko.]
Lakini Paulo na Barnaba walibaki Antiokia ambako wao pamoja na wengine wengi walifundisha na kuhubiri neno la Bwana.
36 Po čase navrhl Pavel Barnabášovi: „Měli bychom se vypravit navštívit sbory a bratry ve všech těch městech, kde jsme kázali o Pánu Ježíši. Rád bych věděl, jak si počínají.“
Baada ya muda, Paulo akamwambia Barnaba, “Turudi tukawatembelee ndugu katika miji yote tuliyohubiri neno la Bwana tuone jinsi wanavyoendelea.”
37 Barnabáš souhlasil a radil, aby s sebou vzali zase Jana Marka.
Barnaba alitaka wamchukue Yohana aitwaye Marko waende naye.
38 To se Pavlovi nezdálo, protože je Marek opustil už v Pamfylii a do hlavní práce s nimi nešel.
Lakini Paulo aliona si vyema kwa sababu aliwahi kuwaacha walipokuwa huko Pamfilia, hakutaka kuendelea kufanya kazi naye.
39 Nemohli se dohodnout, a tak se raději rozdělili. Barnabáš vzal s sebou Marka a vypluli na Kypr.
Pakatokea ubishi mkali kati ya Paulo na Barnaba kuhusu jambo hili, hivyo wakagawanyika. Barnaba akamchukua Yohana Marko wakasafiri baharini kwenda Kipro.
40 Pavel si vybral Silase, vyžádali si požehnání od bratří a vydali se na cestu po pevnině.
Lakini Paulo akamchagua Sila na akaondoka baada ya ndugu kuwatakia neema ya Bwana.
41 Prošli Sýrií a Kilikií a povzbuzovali křesťany v tamních sborech.
Akapitia Shamu na Kilikia, akiimarisha makanisa ya huko.

< Skutky Apoštolů 15 >