< Skutky Apoštolů 12 >

1 Tehdy začal pronásledovat církev také král Herodes.
Karibu wakati huohuo, mfalme Herode alianza kuwatesa baadhi ya Wakristo.
2 Apoštola Jakuba, bratra Janova, dal popravit mečem.
Alimwua kwa upanga Yakobo ndugu yake Yohane.
3 Když viděl, jak se tím zalíbil židovským předákům, dal o Velikonocích zatknout i Petra.
Alipoona kuwa kitendo hiki kiliwapendeza Wayahudi, aliendelea, akamkamata Petro. (Hiyo ilifanyika wakati wa sikukuu ya Mikate Isiyotiwa chachu.)
4 Vsadil ho do žaláře, který hlídalo šestnáct vojáků. Střídali se po čtveřicích; z toho dva strážili přede dveřmi a dva byli stále uvnitř s Petrem, který měl s každým z nich spojenu jednu ruku řetězem.
Baada ya kutiwa nguvuni, Petro alifungwa gerezani, akawekwa chini ya ulinzi wa vikundi vinne vya askari wannewanne. Herode alikusudia kumtoa hadharani baada ya sikukuu ya Pasaka.
5 Tak pečlivě dal král svého vězně hlídat a po Velikonocích ho chtěl okázale soudit. Po celou tu dobu se církev za Petra nepřetržitě modlila.
Basi, Petro alipokuwa gerezani, kanisa lilikuwa linamwombea kwa Mungu kwa moyo.
6 V noci před chystaným procesem, když Petr spal mezi svými strážci, rýpl ho někdo do boku a probudil ho.
Usiku, kabla ya siku ile ambayo Herode angemtoa Petro hadharani, Petro alikuwa amelala kati ya askari wawili. Alikuwa amefungwa minyororo miwili, na walinzi walikuwa wanalinda lango la gereza.
7 Petr vidí, že kobka je plná světla a řetězy z jeho rukou dole. Před ním stojí Boží anděl a říká: „Rychle, vstávej, oblec se a obuj!“Petr poslechne a dostává další příkaz: „Vezmi si plášť a pojď za mnou!“
Ghafla, malaika wa Bwana akasimama karibu naye na mwanga ukaangaza kile chumba cha gereza. Malaika akamgusa akisema, “Amka upesi!” Mara ile minyororo ikaanguka kutoka katika mikono yake.
8
Malaika akamwambia, “Jifunge mshipi wako, vaa viatu vyako.” Akafanya hivyo. Kisha huyo malaika akamwambia, “Vaa koti lako, unifuate.”
9 Anděl jde napřed, Petr ho následuje, ale neví, zda bdí či sní.
Petro akamfuata nje lakini hakujua kama hayo yaliyofanywa na huyo malaika yalikuwa ya kweli; alidhani alikuwa anaota ndoto.
10 Minou bez potíží vnitřní i vnější stráž a už přicházejí k železné hlavní bráně. Ta se před nimi sama otevírá! Vycházejí do ulice, projdou ji a tu se anděl Petrovi ztrácí.
Walipita kituo cha kwanza cha ulinzi na cha pili, halafu wakafika kwenye mlango wa chuma wa kuingilia mjini. Huo mlango ukawafungukia wenyewe, nao wakatoka nje. Wakawa wanatembea katika barabara moja na mara yule malaika akamwacha Petro peke yake.
11 Tehdy jako by se Petr probral ze sna; stál na ulici a teprve si plně uvědomil, že to Pán poslal svého anděla, vytrhl ho z Herodových rukou a tak zmařil plány Židů.
Hapo ndipo Petro alipotambua yaliyotukia, akasema, “Sasa najua kwa hakika kwamba Bwana amemtuma malaika wake akaniokoa kutoka katika mkono wa Herode na kutoka katika mambo yale yote watu wa Israeli waliyotazamia.”
12 Když si to Petr ujasnil, spěchal do domu Marie, matky Jana Marka. Tam se právě sešli křesťané a modlili se.
Alipotambua hivyo alikwenda moja kwa moja mpaka nyumbani kwa Maria mama yake Yohane aitwaye Marko. Humo watu wengi walikuwa wamekusanyika wakisali.
13 Petr zabušil na dveře a služebná jménem Rodé se přišla zeptat, kdo to je.
Petro alibisha mlango wa nje na mtumishi mmoja msichana aitwaye Roda, akaenda mlangoni kuitikia.
14 Když se Petr ohlásil, poznala ho Rodé po hlase, ale samou radostí zapomněla otevřít a běžela zvěstovat dovnitř, kdo to stojí u dveří.
Huyo msichana aliitambua sauti ya Petro akafurahi mno, hata badala ya kuufungua ule mlango, akakimbilia ndani na kuwaambia kwamba Petro alikuwa amesimama nje mlangoni.
15 Nikdo jí nechtěl uvěřit: „To není možné, tys to popletla!“Rodé však trvala na svém: „Poznala jsem přece Petrův hlas!“Usoudili tedy, že apoštol byl zabit a že přišel jeho anděl.
Wakamwambia yule msichana, “Una wazimu!” Lakini yeye akasisitiza kwamba ilikuwa kweli. Nao wakamwambia, “Huyo ni malaika wake.”
16 Vtom však Petr zaklepal znovu. Otevřeli a celí užaslí uvítali Petra živého.
Wakati huo Petro alikuwa anaendelea kupiga hodi. Mwishowe walifungua mlango, wakamwona, wakashangaa.
17 Když je konečně utišil, vypravoval jim, jak ho Pán vyvedl ze žaláře. Ještě je požádal, aby podali zprávu Ježíšovu bratru Jakubovi a ostatním křesťanům; pak odešel, aby se ukryl.
Petro aliwaashiria kwa mkono wakae kimya, akawaeleza jinsi Bwana alivyomtoa gerezani. Kisha akawaambia watoe taarifa ya jambo hilo kwa Yakobo na wale ndugu wengine, halafu akatoka akaenda mahali pengine.
18 Ráno vypukl mezi strážci poplach: Kam se poděl vězeň?
Kulipokucha, ulitokea wasiwasi mkubwa kati ya wale askari kuhusu yaliyokuwa yamempata Petro.
19 Herodes ho dal hledat, ale marně. Vyslýchal vojáky, a když se od nich nic nedozvěděl, dal je popravit.
Herode aliamuru ufanywe msako lakini hawakuweza kumpata. Hivyo aliamuru wale askari wahojiwe, akatoa amri wauawe. Halafu akatoka huko Yudea akaenda Kaisarea ambako alikaa.
20 Záhy nato se Herodes odebral z Judska do Césareje, kde se nějaký čas zdržel. Měl tehdy spory s obyvateli přístavů Týr a Sidón. Ti se nakonec zalekli jeho výhrůžek a chtěli raději uzavřít příměří, protože byli na Herodově území hospodářsky závislí. Poslali společného vyslance a úplatkem získali přízeň předního králova dvořana Blasta.
Herode alikasirishwa sana na watu wa Tiro na Sidoni. Lakini wao walimpelekea wajumbe. Nao wakafaulu kwanza kumpata Blasto awe upande wao. Blasto alikuwa msimamizi mkuu wa ikulu ya mfalme. Kisha, wakamwendea Herode wakamwomba kuwe na amani, kwa maana nchi yao ilitegemea nchi ya mfalme kwa chakula.
21 V den audience usedl Herodes ve slavnostním rouchu na trůn a přednesl řeč.
Siku moja iliyochaguliwa, Herode akiwa amevaa mavazi rasmi na kuketi katika kiti cha kifalme aliwahutubia watu.
22 Lid začal provolávat: „Nemluvil člověk, to promluvil bůh!“
Wale watu walimpigia kelele za shangwe wakisema, “Hii ni sauti ya mungu, si ya mtu.”
23 Herodes tu božskou poctu přijímal jako samozřejmost, ale náhle se zhroutil; Bůh ho ranil pro jeho pýchu. Zemřel pak velice bídně, plný červů.
Papo hapo malaika wa Bwana akamwangusha Herode chini kwa sababu hakumpa Mungu hizo sifa. Akaliwa na wadudu, akafa.
24 Navzdory pronásledování se Boží poselství rozmáhalo a šířilo.
Neno la Mungu likazidi kuenea na kukua.
25 Barnabáš a Saul splnili svoje poslání v Jeruzalémě a vrátili se do Antiochie, kam s sebou vzali Jana Marka.
Baada ya Barnaba na Saulo kutekeleza shughuli zao, walitoka tena Yerusalemu wakamchukua Yohane aitwaye pia Marko.

< Skutky Apoštolů 12 >