< 1 Timoteovi 3 >

1 Ano, je to tak: Být v církvi autoritou, to je velký úkol.
Hili ni neno la kuaminiwa, kwamba mtu akitamani kazi ya uangalizi, atamani kazi nzuri.
2 Takový člověk musí být bezúhonný, věrný své jediné manželce, střídmý, rozvážný, pořádný. Vyžadují se také pohostinnost, pedagogické vlohy, taktnost, smířlivost a nezištnost. Nesmí být pijan ani rváč, rodinu musí mít spořádanou, děti vychované k poslušnosti a poctivosti.
Basi, imempasa mwangalizi awe mtu asiye na lawama, mume wa mke mmoja, mwenye kiasi, anayejitawala, anayeheshimika, mkarimu, ajuaye kufundisha,
3
asiwe mlevi, wala mkali bali awe mpole, asiwe mgomvi wala mpenda fedha.
4
Lazima aweze kuisimamia nyumba yake mwenyewe vizuri na kuhakikisha kwamba watoto wake wanamtii na kuwa na heshima kwa kila njia.
5 Jak by mohl prospět církvi ten, kdo by vlastní rodinu dobře vést nedokázal?
(Kwa maana kama mtu hajui jinsi ya kusimamia nyumba yake mwenyewe, atawezaje kuliangalia kanisa la Mungu?)
6 Ve víře a v církvi nesmí být nováčkem, aby mu pýcha nestoupla do hlavy a nepřivedla ho do pádu.
Asiwe mtu aliyeokoka karibuni asije akajivuna na kuangukia kwenye hukumu ile ile ya ibilisi.
7 I mimo církev musí mít dobrou pověst, aby mu pomluvy nepřekážely v práci.
Inampasa pia awe na sifa njema kwa watu walio nje, ili asije akalaumiwa na kuanguka kwenye mtego wa ibilisi.
8 Také správci společného majetku musí mít stejné morální kvality jako pastýři: nesmějí se přetvařovat, holdovat alkoholu ani mamonu.
Vivyo hivyo, mashemasi nao wawe watu wanaostahili heshima, wasiwe wenye kauli mbili au wenye kujifurahisha kwa mvinyo, wala wanaotamani faida isiyo halali.
9 Bohem svěřenou pravdu ať uchovávají v čistém srdci. Pro tuto službu vybírejte jen muže s bezvadnou pověstí.
Inawapasa kushikamana sana na ile siri ya imani kwa dhamiri safi.
Ni lazima wapimwe kwanza; kisha kama hakuna neno dhidi yao, basi na waruhusiwe kuhudumu kama mashemasi.
11 Také ženy musí být rozvážné, diskrétní, spolehlivé a střídmé. Pro tento úřad je rovněž podmínkou manželská věrnost a spořádané rodinné poměry.
Vivyo hivyo, wake zao wawe wanawake wanaostahili heshima, wasio wasingiziaji, bali wawe na kiasi na waaminifu katika kila jambo.
Shemasi awe mume wa mke mmoja na inampasa aweze kusimamia watoto wake na watu wa nyumbani mwake vyema.
13 Všem, kteří konají dobře svou službu, bude odměnou stále rostoucí úcta ostatních i vlastní jistota ve víře v Ježíše Krista.
Wale ambao wamehudumu vyema katika huduma ya ushemasi hujipatia msimamo bora na ujasiri mkubwa katika imani yao ndani ya Kristo Yesu.
14 I když doufám, že se brzy uvidíme,
Ingawa ninatarajia kuja kwako hivi karibuni, ninakuandikia maagizo haya sasa ili kwamba,
15 pro případ většího zdržení ti všechno píšu, abys věděl, jak vybírat pracovníky v církvi živého Boha, která je sloupem a pevností pravdy.
kama nikikawia, utajua jinsi iwapasavyo watu kuenenda katika nyumba ya Mungu, ambayo ndiyo kanisa la Mungu aliye hai, lililo nguzo na msingi wa kweli.
16 Všichni jsou zajedno v tom, jak jedinečná je pravda, kterou nám Bůh odhalil: Kristus přišel na svět v lidském těle, veden Božím Duchem, zvítězil nad hříchem, jako vítěz představen v nebesích, zvěstován všem národům, vírou uznán ve světě, korunován věčnou slávou.
Bila shaka yoyote, siri ya utauwa ni kubwa: Alidhihirishwa katika mwili wa kibinadamu, akathibitishwa kuwa na haki katika Roho, akaonekana na malaika, akahubiriwa miongoni mwa mataifa, akaaminiwa ulimwenguni, akachukuliwa juu katika utukufu.

< 1 Timoteovi 3 >