< 1 Timoteovi 1 >

1 Můj drahý synu ve víře, milý Timoteji, přeji ti milost, slitování a pokoj od Boha Otce i Ježíše Krista, našeho Pána.
Paulo, Mtume wa Kristo Yesu, kulingana na amri ya Mungu na Mwokozi wetu Yesu Kristo aliye ujasiri wetu,
2
kwa Timotheo mwanangu wa kweli katika imani: Neema, rehema na amani zitokazo kwa Mungu Baba na Kristo Yesu Bwana wetu.
3 Při svém odjezdu do Makedonie jsem tě prosil, abys zůstal v Efezu a stavěl hráze falešným naukám
Kama nilivyokusihi nilipoondoka kwenda Makedonia, ubaki Efeso ili kwamba uweze kuwaamru watu fulani wasifundishe mafundisho tofauti.
4 a nekonečným diskusím o bájích a rodokmenech. Vedou spíš k jalovému mudrování, než aby objasňovaly význam víry v Božích plánech.
Pia wasisikilize hadithi na orodha za nasaba zisizo na mwisho. Haya husababisha mabishano zaidi kuliko kuwasaidia kuendeleza mpango wa Mungu wa imani.
5 Cílem našeho snažení musí být láska, která pramení z čistého srdce, z dobrého svědomí a opravdové víry.
Basi lengo la agizo hili ni upendo utokao katika moyo safi, katika dhamiri nzuri na katika imani ya kweli.
6 Od toho někteří uhnuli a dali se na prázdné řečnění.
Baadhi ya watu wamelikosa lengo wakayaacha mafundisho haya na kugeukia mazungumzo ya kipumbavu.
7 Chtějí se proslavit jako učitelé Mojžíšova zákona a přitom nemají ponětí, co je jeho pravým smyslem.
Wanataka kuwa waalimu wa sheria, lakini hawafahamu wanachosema au wanachosisitiza.
8 Zákon je jistě užitečný, je-li užíván tak, jak Bůh zamýšlel.
lakini tunajua kwamba sheria ni njema kama mtu ataitumia kwa usahihi.
9 Ale nesmíme zapomenout, že Bůh svými zákony nemíří proti nám, kteří jsme jeho, nýbrž proti zlým a vzpurným, kteří Boha neuznávají, trápí své rodiče, lžou, křivě přísahají, libují si v oplzlostech, proti homosexuálům a zvrhlíkům, smilníkům, únoscům a vrahům i všem ostatním, jejichž jednání se příčí Božím řádům, určeným k našemu blahu.
Tunajua kuwa, sheria haikutungwa kwa ajili ya mtu mwenye haki, bali kwa ajili ya wavunja sheria na waasi, watu wasio wataua na wenye dhambi, na ambao hawana Mungu na waovu. Imetungwa kwa ajili ya wauao baba na mama zao, kwa ajili ya wauaji,
kwa ajili ya waasherati, kwa ajili ya watu wazinzi, kwa ajili ya wale wanaoteka watu na kuwafanya watumwa, kwa ajili ya waongo, kwa ajili ya mashahidi wa uongo, na yeyote aliye kinyume na maelekezo ya uaminifu.
Malekezo haya yanatokana na injili yenye utukufu ya Mungu mwenye kubarakiwa ambayo kwayo nimeaminiwa.
12 Jak jsem Ježíši Kristu vděčný, že si mne vybral za svého spolupracovníka.
Ninamshukuru Yesu Kristo Bwana wetu. Alinitia nguvu, kwa kuwa alinihesabu mimi kuwa mwaminifu, na akaniweka katika huduma.
13 Dříve jsem se jeho jménu vysmíval a jeho vyznavače hubil, ale Bůh se nade mnou smiloval, protože jsem to dělal z nevědomosti, když jsem ještě Krista neznal. Ve své dobrotě mne dovedl k tomu, abych uvěřil, a naplnil mne celého svou láskou.
Nilikuwa mtu wa kukufuru, mtesaji na mtu wa vurugu. Lakini nilipata rehema kwa sababu nilitenda kwa ujinga kwa kutoamini.
Lakini neema ya Mungu wetu imejaa imani na upendo ulio katika Kristo Yesu.
15 Jak je to pravdivé a jak rád bych to každému rozhlásil: Ježíš přišel na svět zachránit nás, od Boha odloučené a smrti propadlé. A jestli byl někdo od Boha daleko, byl jsem to já.
Ujumbe huu ni wa kuaminika na unastahili kupokelewa na wote, ya kuwa Kristo Yesu alikuja duniani kuokoa wenye dhambi. Mimi ni mbaya zaidi ya wote.
16 Ale Bůh se nade mnou smiloval a Ježíš Kristus na mém příkladu ukázal, jakou trpělivost má i s tím nejbídnějším hříšníkem, aby si každý uvědomil, že věčný život je tu i pro něho. (aiōnios g166)
Lakini kwa sababu hii mimi nilipewa rehema ili kwamba ndani yangu mimi, awali ya yote, Kristo Yesu adhihirishe uvumilivu wote. Alifanya hivyo kama kielelezo kwa wote watakaomtumaini Yeye kwa ajili ya uzima wa milele. (aiōnios g166)
17 Sláva a čest Bohu za to na věky! On je věčný král, neviditelný, nesmrtelný, jediný a slavný Bůh! (aiōn g165)
Na sasa kwa Mfalme asiye na ukomo, asiyekufa, asiyeonekana, Mungu pekee, iwe heshima na utukufu milele na milele. Amina. (aiōn g165)
18 To ti tedy, milý synu, kladu na srdce: bojuj dobře v Božím boji, jak to o tobě i Bůh v prorocké řeči pověděl.
Ninaliweka agizo hili mbele yako Timotheo, mtoto wangu. Nafanya hivi kulingana na unabii uliotolewa hapo kwanza kukuhusu wewe, ili kwamba uhusike katika vita njema.
19 Drž se pevně své víry v Krista a udržuj si stále čisté svědomí. Někteří své svědomí zničili tím, že jednali svévolně proti němu. Není divu, že pak ztratili i víru v Krista, jako například
Fanya hivyo ili kwamba uwe na imani na dhamiri njema. Baadhi ya watu wameyakataa haya wakaangamiza imani.
20 Alexandr a Hymeneus. Musel jsem ty dva vyloučit z církve, aby nedělali hanbu Kristovu jménu.
Kama vile Himeneyo na Alekizanda ambao nimempa shetani ili wafundishwe wasikufuru.

< 1 Timoteovi 1 >