< Žalmy 26 >

1 Žalm Davidův. Suď mne, Hospodine, nebo já v upřímnosti své chodím, a v tě Hospodina doufám, nepohnuť se.
Zaburi ya Daudi. Ee Bwana, nithibitishe katika haki, maana nimeishi maisha yasiyo na lawama; nimemtumainia Bwana bila kusitasita.
2 Zprubujž mne, Hospodine, a zkus mne, přepal ledví má i srdce mé.
Ee Bwana, unijaribu, unipime, uuchunguze moyo wangu na mawazo yangu;
3 Milosrdenství tvé zajisté před očima mýma jest, a chodím stále v pravdě tvé.
kwa maana upendo wako uko mbele yangu daima, nami natembea siku zote katika kweli yako.
4 S lidmi marnými nesedám, a s pokrytci v spolek nevcházím.
Siketi pamoja na watu wadanganyifu, wala siandamani na wanafiki,
5 V nenávisti mám shromáždění zlostníků, a s bezbožnými se neusazuji.
ninachukia kusanyiko la watenda mabaya na ninakataa kuketi pamoja na waovu.
6 Umývám v nevinnosti ruce své, postavuji se při oltáři tvém, Hospodine,
Ninanawa mikono yangu kwa kuwa sina hatia, naikaribia madhabahu yako, Ee Bwana,
7 Abych tě hlasitě chválil, a vypravoval všecky divné skutky tvé.
nikitangaza sifa yako kwa sauti kubwa, huku nikisimulia matendo yako ya ajabu.
8 Hospodine, jáť miluji obydlí domu tvého, a místo příbytku slávy tvé.
Ee Bwana, naipenda nyumba yako mahali unakoishi, mahali ambapo utukufu wako hukaa.
9 Nezahrnujž s hříšnými duše mé, a s lidmi vražedlnými života mého,
Usiiondoe nafsi yangu pamoja na watenda dhambi, wala uhai wangu pamoja na wamwagao damu,
10 V jejichž rukou jest nešlechetnost, a pravice jejich vzátků plná.
ambao mikononi mwao kuna mipango miovu, ambao mikono yao ya kuume imejaa rushwa.
11 Já pak v upřímnosti své chodím, vykupiž mne, a smiluj se nade mnou.
Bali mimi ninaishi maisha yasiyo na lawama; nikomboe na unihurumie.
12 Noha má stojí na rovině, v shromážděních svatých dobrořečiti budu Hospodinu.
Miguu yangu imesimama katika uwanja tambarare; katika kusanyiko kuu nitamsifu Bwana.

< Žalmy 26 >