< Žalmy 2 >
1 Proč se bouří národové, a lidé daremné věci přemyšlují?
Kwa nini mataifa wanashauriana kufanya mabaya, na kabila za watu kula njama bure?
2 Sstupují se králové zemští, a knížata se spolu radí proti Hospodinu, a proti pomazanému jeho,
Wafalme wa dunia wanajipanga na watawala wanajikusanya pamoja dhidi ya Bwana na dhidi ya Mpakwa Mafuta wake.
3 Říkajíce: Roztrhejme svazky jejich, a zavrzme od sebe provazy jejich.
Wanasema, “Tuvunje minyororo yao na kuvitupilia mbali vifungo vyao.”
4 Ale ten, jenž přebývá v nebesích, směje se, Pán posmívá se jim.
Yeye atawalaye mbinguni hucheka, Bwana huwadharau.
5 Tehdáž mluviti bude k nim v hněvě svém, a v prchlivosti své předěsí je, řka:
Kisha huwakemea katika hasira yake na kuwaogopesha katika ghadhabu yake, akisema,
6 Jáť jsem ustanovil krále svého nad Sionem, horou svatou mou.
“Nimemtawaza Mfalme wangu juu ya Sayuni, mlima wangu mtakatifu.”
7 Vypravovati budu úsudek. Hospodin řekl ke mně: Syn můj ty jsi, já dnes zplodil jsem tě.
Nitatangaza amri ya Bwana: Yeye aliniambia, “Wewe ni Mwanangu, leo mimi nimekuzaa.
8 Požádej mne, a dámť národy, dědictví tvé, a končiny země, vládařství tvé.
Niombe, nami nitayafanya mataifa kuwa urithi wako, miisho ya dunia kuwa milki yako.
9 Roztlučeš je prutem železným, a jako nádobu hrnčířskou roztříštíš je.
Utawatawala kwa fimbo ya chuma na kuwavunjavunja kama chombo cha mfinyanzi.”
10 A protož, králové, nyní srozumějte, vyučujte se, soudcové zemští.
Kwa hiyo, ninyi wafalme, kuweni na hekima; mwonyeke, enyi watawala wa dunia.
11 Služte Hospodinu v bázni, a veselte se s třesením.
Mtumikieni Bwana kwa hofu na mshangilie kwa kutetemeka.
12 Líbejte syna, aby se nerozhněval, a zhynuli byste na cestě, jakž by se jen málo zapálil hněv jeho. Blahoslavení jsou všickni, kteříž doufají v něho.
Mbusu Mwana, asije akakasirika nawe ukaangamizwa katika njia yako, kwa maana hasira yake inaweza kuwaka ghafula. Heri wote wanaomkimbilia.