< Žalmy 108 >

1 Píseň a žalm Davidův. Hotovo jest srdce mé, Bože, zpívati a oslavovati tě budu, také i sláva má.
Ee Mungu, moyo wangu u thabiti; nitaimba, naam, nitaimba sifa pia kwa moyo mkuu.
2 Probuď se loutno a harfo, když v svitání povstávám.
Amka, kinanda na kinubi; nitaamka alfajiri.
3 Slaviti tě budu mezi lidmi, Hospodine, a tobě žalmy prozpěvovati mezi národy.
Nitakushukuru wewe, Yahwe, kati ya watu; nitakuimbia sifa kati ya mataifa.
4 Nebo nad nebesa větší jest milosrdenství tvé, a až k nejvyšším oblakům pravda tvá.
Kwa maana uaminifu wa agano lako ni mkuu juu ya mbingu; na uaminifu wako wafika mawinguni.
5 Vyvyšiž se nad nebesa, ó Bože, a nade všecku zemi sláva tvá.
Ee Mungu, uinuliwe, juu ya mbingu, na utukufu wako utukuke juu ya nchi.
6 Ať jsou vysvobozeni milí tvoji, zachovávejž je pravicí svou, a vyslyš mne.
Ili kwamba wale uwapendao waokolewe, utuokoe sisi kwa mkono wako wa kuume na unijibu.
7 Bůh mluvil skrze svatost svou; veseliti se budu, že budu děliti Sichem, a údolí Sochot že rozměřím.
Mungu ameongea katika utakatifu wake; “Nitashangilia; nitaigawanya Shekemu na nitalipima bonde la Sukothi.
8 Můjť jest Galád, můj i Manasses, a Efraim síla hlavy mé, Juda učitel můj.
Gileadi ni yangu, na manase ni yangu; Ephraimu ni nguvu ya kichwa changu; Yuda ni fimbo yangu ya kifalme.
9 Moáb medenice k umývání mému, na Edoma uvrhu obuv svou, proti Palestině troubiti budu.
Moabu ni bakuli langu la kunawia; nitatupa kiatu changu juu ya Edomu; nitapaza sauti katika ushindi kwa ajili ya Filisti.
10 Kdo mne uvede do města hrazeného? Kdo mne zprovodí až do Idumejské země?
Ni nani atakaye nipeleka kwenye mji imara? Ni nani atakayeniongoza mpaka Edomu?”
11 Zdali ne ty, ó Bože, kterýž jsi nás byl zavrhl, a nevycházels, ó Bože, s vojsky našimi?
Ee Mungu, sio wewe uliyetukataa? Hauendi vitani na jeshi letu.
12 Uděliž nám pomoci proti nepříteli, nebo marná jest pomoc lidská.
Utupe msaada dhidi ya adui yetu, maana msaada wa wanadamu ni bure.
13 V Bohu udatně sobě počínati budeme, a on pošlapá nepřátely naše.
Tutashinda kwa msaada wa Mungu; atawakanyaga kwa adui zetu.

< Žalmy 108 >