< Žalmy 101 >
1 Žalm Davidův. O milosrdenství a soudu zpívati budu, tobě, ó Hospodine, žalmy budu zpívati.
Zaburi ya Daudi. Nitaimba juu ya upendo wako na haki yako; kwako wewe, Ee Bwana, nitaimba sifa.
2 Opatrně se míti budu na cestě přímé, až přijdeš ke mně; choditi budu ustavičně v upřímnosti srdce svého i v domě svém.
Nitazingatia kuishi maisha yasiyo na lawama: utakuja kwangu lini? Nitatembea nyumbani mwangu kwa moyo usio na lawama.
3 Nepředstavímť sobě před oči věci nešlechetné; skutek uchylujících se v nenávisti mám, nepřichytíť se mne.
Sitaweka mbele ya macho yangu kitu kiovu. Ninayachukia matendo ya watu wasio na imani; hawatashikamana nami.
4 Srdce převrácené odstoupí ode mne, zlého nebudu oblibovati.
Moyo wa ukaidi utakuwa mbali nami; nitajitenga na kila ubaya.
5 Škodícího jazykem bližnímu svému tajně, tohoť vytnu; očí vysokých a mysli naduté nikoli nebudu moci trpěti.
Kila amsingiziaye jirani yake kwa siri, huyo nitamnyamazisha; mwenye macho ya dharau na moyo wa kiburi huyo sitamvumilia.
6 Oči mé na pravdomluvné v zemi, aby sedali se mnou; kdož chodí po cestě upřímé, tenť mi sloužiti bude.
Macho yangu yatawaelekea waaminifu katika nchi, ili waweze kuishi pamoja nami; yeye ambaye moyo wake hauna lawama atanitumikia.
7 Nebude bydliti v domě mém činící lest, a mluvící lež nebude míti místa u mne.
Mdanganyifu hatakaa nyumbani mwangu, yeye asemaye kwa uongo hatasimama mbele yangu.
8 Každého jitra pléniti budu všecky nešlechetné z země, abych tak vyplénil z města Hospodinova všecky, kdož páší nepravost.
Kila asubuhi nitawanyamazisha waovu wote katika nchi; nitamkatilia mbali kila mtenda mabaya kutoka mji wa Bwana.