< Príslovia 23 >

1 Když sedneš k jídlu se pánem, pilně šetř, co jest před tebou.
Unapoketi kula pamoja na mtawala, angalia kwa uangalifu kilichopo mbele yako,
2 Jinak vrazil bys nůž do hrdla svého, byl-li bys lakotný.
na kama ni mtu unayependa kula chakula sana weka kisu kooni.
3 Nežádej lahůdek jeho, nebo jsou pokrm oklamavatelný.
Usitamani vinono vyake maana ni chakula cha uongo.
4 Neusiluj, abys zbohatl; od opatrnosti své přestaň.
Usifanye kazi sana ili kupata mali; uwe na busara ya kutosha ili ujue wakati wa kuacha.
5 K bohatství-liž bys obrátil oči své? Poněvadž v náhle mizí; nebo sobě zdělalo křídla podobná orličím, a zaletuje k nebi.
Je utaruhusu macho yako yaangaze juu yake? Itaondoka, maana itawaa mabawa kama tai na kuruka angani.
6 Nejez chleba člověka závistivého, a nežádej lahůdek jeho.
Usile chakula cha yule mwenye jicho baya- na usiwe na shauku ya vinono vyake,
7 Nebo jak on sobě tebe váží v mysli své, tak ty pokrmu toho. Díť: Jez a pí, ale srdce jeho není s tebou.
maana ni mtu mwenye kuhesabu gharama ya chakula. “Kula na kunywa!” anakuambia, lakini moyo wake haupo pamoja nawe.
8 Skyvu svou, kterouž jsi snědl, vyvrátíš, a zmaříš slova svá utěšená.
Utatapika kiasi kidogo ulichokula na utakuwa umepoteza sifa zako njema.
9 Před bláznem nemluv, nebo pohrdne opatrností řečí tvých.
Usiongee katika usikivu wa mpumbavu, maana atadharau hekima ya maneno yako.
10 Nepřenášej mezníku starodávního, a na pole sirotků nevcházej.
Usihamishe jiwe la mpaka wa kale au kunyang'anya mashamba ya yatima,
11 Silnýť jest zajisté ochránce jejich; onť povede při jejich proti tobě.
maana Mkombozi wao ni imara na atatetea kesi yao dhidi yako.
12 Zaveď k učení mysl svou, a uši své k řečem umění.
Elekeza moyo wako katika mafundisho na masikio yako kwenye maneno ya maarifa.
13 Neodjímej od mladého kázně; nebo umrskáš-li jej metlou, neumřeť.
Usizuie kuadilisha mtoto, maana ukimchapa kwa fimbo, hatakufa.
14 Ty metlou jej mrskávej, a tak duši jeho z pekla vytrhneš. (Sheol h7585)
Ni wewe unayepaswa kumchapa kwa fimbo na kuikoa nafsi yake kuzimu. (Sheol h7585)
15 Synu můj, bude-li moudré srdce tvé, veseliti se bude srdce mé všelijak ve mně;
Mwanangu, kama moyo wako una busara, basi moyo wangu utafurahi pia;
16 A plésati budou ledví má, když mluviti budou rtové tvoji pravé věci.
sehemu zangu ndani kabisa zitafurahi sana midomo yako inaponena haki.
17 Nechť nezávidí srdce tvé hříšníku, ale raději choď v bázni Hospodinově celý den.
Usiruhusu moyo wako kuwahusudu wenye dhambi, lakini endelea kumcha Yehova siku zote.
18 Nebo poněvadž jest odplata, naděje tvá nebude podťata.
Hakika tumaini lako halitaondolewa na siku zako za hapo baadaye.
19 Slyš ty, synu můj, a buď moudrý, a naprav na cestu srdce své.
Sikia- wewe! - mwanangu, na uwe mwenye busara na uelekeze moyo wako katika njia.
20 Nebývej mezi pijány vína, ani mezi žráči masa.
Usishirikiane pamoja na walevi, au pamoja na walaji wa nyama walafi,
21 Nebo opilec a žráč zchudne, a ospánlivost v hadry obláčí.
maana mlevi na mlafi wanakuwa masikini na usingizi utawavika kwa matambara.
22 Poslouchej otce svého, kterýž tě zplodil, aniž pohrdej matkou svou, když se zstará.
Msikilize baba yako ambaye alikuzaa na usimdharau mama yako wakati akiwa mzee.
23 Pravdy nabuď, a neprodávej jí, též moudrosti, umění a rozumnosti.
Inunue kweli, lakini usiiuze; nunua hekima, nidhamu, na ufahamu.
24 Náramně bývá potěšen otec spravedlivého, a ten, kdož zplodil moudrého, veselí se z něho.
Baba yake mwenye haki atafurahia sana, na yule amzaaye mtoto mwenye busara atamfurahia.
25 Nechať se tedy veselí otec tvůj a matka tvá, a ať pléše rodička tvá.
Mfurahishe baba yako na mama yako na yule aliyekuzaa afurahie.
26 Dej mi, synu můj, srdce své, a oči tvé cest mých ať ostříhají.
Mwanangu, nipe moyo wako na macho yako yachunguze njia zangu.
27 Nebo nevěstka jest jáma hluboká, a studnice těsná žena cizí.
Maana malaya ni shimo refu, na mke wa mume mwingine ni kisima chembamba.
28 Onať také jako loupežník úklady činí, a zoufalce na světě rozmnožuje.
Anavizia kama mnyang'anyi na huongeza idadi ya wadanganyifu miongoni mwa wanadamu.
29 Komu běda? komu ouvech? komu svady? komu křik? komu rány darmo? komu červenost očí?
Nani mwenye taabu? Nani mwenye huzuni? Nani mwenye mapigano? Nani mwenye malalamiko? Nani mwenye majeraha bila sababu? Nani mwenye macho mekundu?
30 Těm, kteříž se zdržují na víně; těm, kteříž chodí, aby vyhledali strojené víno.
Ni wale ambao huzengea kwenye mvinyo, wale wanaojaribu kuchanganya mvinyo.
31 Nehleď na víno rdící se, že vydává v koflíku záři svou, a přímo vyskakuje.
Usiutazame mvinyo ukiwa mwekundu, wakati unametameta kwenye kikombe na kutelemka kwa uraini.
32 Naposledy jako had uštípne, a jako štír ušťkne.
Mwisho wake unauma kama nyoka na sumu yake kama kifutu.
33 Oči tvé hleděti budou na cizí, a srdce tvé mluviti bude převrácené věci,
Macho yako yataona vitu vigeni na moyo wako utatamka vitu vya ukaidi.
34 A budeš jako ten, kterýž spí u prostřed moře, a jako ten, kterýž spí na vrchu sloupu bárky.
Utakuwa kama anayelala kwenye bahari au anayelala juu ya mlingoti. “
35 Díš: Zbili mne, a nestonal jsem, tloukli mne, a nečil jsem; když procítím, dám se zase v to.
Wamenipiga,” utasema, “lakini sikuumia. Wamenichapa, lakini sikuwa na hisia. Nitaamka lini? Nitatafuta kinywaji kingine.”

< Príslovia 23 >