< Príslovia 19 >
1 Lepší jest chudý, jenž chodí v upřímnosti své, nežli převrácený ve rtech svých, kterýž jest blázen.
Bora mtu masikini ambaye huenenda katika uadilifu wake kuliko mwenye ukaidi katika maneno yake na ni mpumbavu.
2 Jistě že bez umění duši není dobře, a kdož jest kvapných noh, hřeší.
Tena, si vizuri kuwa na hamu bila maarifa na mwenye kukimbia haraka sana hukosea njia.
3 Bláznovství člověka převrací cestu jeho, ačkoli proti Hospodinu zpouzí se srdce jeho.
Upuuzi wa mtu unaharibu maisha yake na moyo wake hughadhabika dhidi ya Yehova.
4 Statek přidává přátel množství, ale chudý od přítele svého odloučen bývá.
Utajiri huongeza marafiki wengi, bali mtu masikini hutengwa na rafiki zake.
5 Svědek falešný nebude bez pomsty, a kdož mluví lež, neuteče.
Shahidi wa uongo hatakosa adhabu na mwenye kupumua uongo hataokoka.
6 Mnozí pokoří se před knížetem, a každý jest přítel muži štědrému.
Wengi wataomba fadhila kutoka kwa mtu mkarimu na kila mtu ni rafiki wa yule anayetoa zawadi.
7 Všickni bratří chudého v nenávisti jej mají; čím více přátelé jeho vzdalují se od něho! Když volá za nimi, není jich.
Mtu masikini huchukiwa na ndugu zake wote; je marafiki wengi kiasi gani hujitenga kutoka kwake! Anawaita, lakini wameondoka.
8 Ten, kdož miluje duši svou, nabývá moudrosti, a ostříhá opatrnosti, aby nalezl dobré.
Anayepata hekima huyapenda maisha yake mwenyewe; yeye atunzaye ufahamu atapata kilicho chema.
9 Svědek falešný nebude bez pomsty, a kdož mluví lež, zahyne.
Shahidi wa uongo hatakosa kuadhibiwa, bali mwenye kupumua uongo ataangamia.
10 Nesluší na blázna rozkoš, a ovšem, aby služebník nad knížaty panoval.
Haifai kwa mpumbavu kuishi kwa anasa- wala kwa mtumwa kutawala juu ya wafalme.
11 Rozum člověka zdržuje hněv jeho, a čest jeho jest prominouti provinění.
Busara humfanya mtu achelewe kukasirika na utukufu wake ni kusamehe kosa.
12 Prchlivost královská jako řvání mladého lva jest, a ochotnost jeho jako rosa na bylinu.
Ghadhabu ya mfalme ni kama muungurumo wa simba kijana, bali fadhila yake ni kama umande kwenye majani.
13 Trápení otci svému jest syn bláznivý, a ustavičné kapání žena svárlivá.
Mwana mpumbavu ni uharibifu kwa baba yake na mke mgomvi ni maji yanayochuruzika daima.
14 Dům a statek jest po rodičích, ale od Hospodina manželka rozumná.
Nyumba na utajiri ni urithi kutoka kwa wazazi, bali mke mwenye busara hutoka kwa Yehova.
15 Lenost přivodí tvrdý sen, a duše váhavá lačněti bude.
Uvivu unamtupa mtu kwenye usingizi mzito, bali asiyetamani kufanya kazi atakwenda njaa.
16 Ten, kdož ostříhá přikázaní, ostříhá duše své; ale kdož pohrdá cestami svými, zahyne.
Yeye anayetii amri huyaongoza maisha yake, bali mtu asiyefikiri juu ya njia zake atakufa.
17 Kdo uděluje chudému, půjčuje Hospodinu, a onť za dobrodiní jeho odplatí jemu.
Mwenye ukarimu kwa masikini humkopesha Yehova na atalipwa kwa kile alichofanya.
18 Tresci syna svého, dokudž jest o něm naděje, a k zahynutí jeho neodpouštěj jemu duše tvá.
Mrudi mwanao wakati kuna matumaini na usiwe na shauku ya kumweka katika mauti.
19 Veliký hněv ukazuj, odpouštěje trestání, proto že poněvadž odpouštíš, potom více trestati budeš.
Mtu mwenye hasira kali lazima alipe adhabu; kama ukimwokoa, utafanya hivyo mara mbili.
20 Poslouchej rady, a přijímej kázeň, abys vždy někdy moudrý byl.
Sikiliza ushauri na ukubali maelekezo, ili uweze kuwa na hekima mwishoni mwa maisha yako.
21 Mnozí úmyslové jsou v srdci člověka, ale uložení Hospodinovo toť ostojí.
Moyoni mwa mtu kuna mipango mingi, bali kusudi la Yehova ndilo litakalo simama.
22 Žádaná věc člověku jest dobře činiti jiným, ale počestnější jest chudý než muž lživý.
Shauku ya mtu ni uaminifu na mtu masikini ni bora kuliko muongo.
23 Bázeň Hospodinova k životu. Takový jsa nasycen, bydlí, aniž neštěstím navštíven bývá.
Kumheshimu Yehova huwaelekeza watu kwenye uzima; mwenye nayo atashibishwa na hatadhurika kwa madhara.
24 Lenivý schovává ruku svou za ňadra, ani k ústům svým jí nevztáhne.
Mtu goigoi huuzika mkono wake ndani ya dishi; hataurudisha juu ya kinywa chake.
25 Ubí posměvače, ať se hlupec dovtípí; a potresci rozumného, ať porozumí umění.
Kama utampiga mwenye mzaha, wajinga watakuwa na hekima; mwelekeze mwenye ufahamu, naye atapata maarifa.
26 Syn, kterýž hanbu a lehkost činí, hubí otce, a zahání matku.
Anayempora baba yake na kumfukuza mama yake ni mwana anayeleta aibu na shutuma.
27 Přestaň, synu můj, poslouchati učení, kteréž od řečí rozumných odvozuje.
Mwanangu, kama utaacha kusikiliza maelekezo, utapotea kutoka kwenye maneno ya maarifa.
28 Svědek nešlechetný posmívá se soudu, a ústa bezbožných přikrývají nepravost.
Shahidi mpotofu huidhihaki haki na kinywa cha waovu humeza uovu.
29 Nebo na posměvače hotoví jsou nálezové, a rány na hřbet bláznů.
Hukumu ipo tayari kwa wenye dhihaka na mjeledi kwa migongo ya wapumbavu.