< 4 Mojžišova 18 >

1 A protož řekl Hospodin Aronovi: Ty a synové tvoji i dům otce tvého s tebou ponesete nepravost svatyně; ty také i synové tvoji s tebou ponesete nepravost kněžství svého.
BWANA akamwambia Haruni, “Wewe, wana wako, na uzao wa baba yako watawajibika kwa dhambi zote zilizotendwa mahali patakatifu. Lakini wewe na wana wako pekee mtawajibika kwa uovu uliofanywa na yeyote mahali patakatifu.
2 Bratří také své, pokolení Léví, čeled otce svého připoj k sobě, ať jsou při tobě a posluhují tobě; ty pak a synové tvoji s tebou před stánkem svědectví sloužiti budete.
Na ndugu zako nao wa kabila ya Lawi, kabila la ukoo wako, utawaleta pamoja na wewe ili kwamba waweze kuungana na wewe ili wakusaidie wakati wewe na wanao mnapokuwa mnatumikia mbele ya hema ya amri ya agano.
3 A pilně ostříhati budou rozkázaní tvého, bedlivi jsouce při všem stánku; a však ať k nádobám svatyně a k oltáři nepřistupují, aby nezemřeli i oni i vy.
Watakutumikia wewe na hema yote. Hata hivyo, wasisogee karibu na chochote ndani ya mahali patakatifu au kitu chochote kilichounganishwa na madhabahu, vinginevyo wewe na wao mtakufa.
4 A přídržeti se budou tebe, pilně ostříhajíce stánku úmluvy při všech službách jeho; a cizí žádný nepřistupuj k vám.
Wataungana na wewe na kuitunza hema ya kukutania, kwa kazi zote zinazohusiana na hema. Mtu mgeni asikusogelee.
5 Protož pilně ostříhejte svatyně i služby oltáře, ať nepřichází více zůřivá prchlivost na syny Izraelské,
Wewe utaajibika kwa ajili ya mahali patakatifu na kwa ajili ya madhabahu ili kwamba hasira yangu isiwajilie watu wa Israeli tena.
6 Poněvadž jsem já vybral bratří vaše Levíty z synů Izraelských vám, za dar dané Hospodinu, aby konali službu při stánku úmluvy.
Tazama, Mmi mwenyewe nimewachagua ndugu zako wa kabila ya Walawi kutoka mioingoni mwa uzao wa Israeli. Wao ni zawadi kwako. walitolewa kwangu ili waifanye kazi inayohusiana na hema ya kukutania.
7 Ty pak a synové tvoji s tebou ostříhati budete kněžství svého při všech věcech přináležejících k oltáři, a kteréž jsou za oponou, a sloužiti budete. Úřad kněžství vašeho darem jsem vám dal, protož, přistoupil-li by kdo cizí, umře.
Lakini ni wewe pekee yako na wanao ndio mnaoruhusiwa kufanya kazi ya ukuhani kuhusiana na kila kitu kilichounganishwa na madhabahu na kitu chochote ndani ya lile pazia. Wewe mwenyewe lazima ukamilishe majukumu hayo. Mimi ninakupa ukuhani kama zawadi. Mgeni yeyote anayekaribia atauawa.”
8 Mluvil také Hospodin k Aronovi: Aj, já dal jsem tobě k ostříhání oběti své, kteréž se vzhůru pozdvihují; všecko také, což se posvěcuje od synů Izraelských, tobě jsem dal pro pomazání i synům tvým ustanovením věčným.
Kisha BWANA akamwambia Haruni, “Tazama, Nimekupa majukumu ya kusimamia sadaka za kuinuliwa kwangu, na sadaka zengine takatifu ambazo wana wa Israeli wanatoa kwangu. Nimekupa sadaka hizi wewe na wana wako kuwa haki yako milele.
9 Toto bude tvé z věcí posvěcených, kteréž nepřicházejí na oheň: Všeliká obět jejich, buď suchá obět jejich, neb obět za hřích jejich, aneb obět za provinění jejich, kteréž mi dávati budou, svatosvaté tobě bude to i synům tvým.
Hivi ni vitu vitakatifu sana, amabavyo visiteketezwe kwa moto: kutoka kwenye sadaka zao-kila sadaka ya unga, kila sadaka ya dhambi, na kila sadaka ya hatia- ni vitu vitakatifu sana kwa ajili yako na wana wako.
10 V svatyni budeš je jísti, každý pohlaví mužského bude je jísti; svaté bude tobě.
Sadaka hizi ni takatifu sana; kila mume lazima aile, kwa kuwa ni vitakatifu kwako.
11 Tvá tedy bude obět darů jejich, kteráž vzhůru pozdvižena bývá; každou také obět synů Izraelských, kteráž sem i tam obracína bývá, tobě jsem dal a synům tvým, i dcerám tvým s tebou ustanovením věčným. Každý, kdož jest čistý v domě tvém, bude je jísti.
Hizi ni sadaka ambazo zitakuwa zako: Sadaka zao, sadaka zote za kuinuliwa za wana wa Israeli. Nimekupa wewe, wana wako na binti zako kuwa gawio lako la milele. Kila mmoja ambaye ni msafi katika familia yako anaweza kula sadaka zozote katika hizi.
12 Všecko, což předního jest z oleje, a což nejlepšího jest vína a obilé, prvotiny těch věcí, kteréž dají Hospodinu, dal jsem tobě.
Mafuta yote mazuri, ile divai nzuri yote mpya na unga, malimbuko ambyo watu hutoa kwangu- vitu hivi vyote nimekupa wewe.
13 Prvotiny všech věcí, kteréž rostly v zemi jejich, ty přinesou Hospodinu, a tvé budou. Každý, kdož jest čistý v domě tvém, jísti je bude.
Mavuno ya kwanza yaliyoiva yaliyo katika ardhi yao ambayo wanaleta kwangu, yatakuwa yako. Kila mtu aliye msafi kwenye famila yako anaweza kula vitu hivi.
14 Všecko oddané Bohu v Izraeli tvé bude.
Kila kitu kilichotolewa wakfu katika Israeli kitakuwa chako.
15 Cožkoli otvírá život všelikého těla, kteréž obětováno bývá Hospodinu, tak z lidí jako z hovad, tvé bude; prvorozené však z lidí, vyplaceno bude, prvorozené také z nečistých hovad vyplatiti kážeš.
Kila kitu kinachofungua tumbo, kila limbuko ambalo watu hutoa kwa BWANA, vyote vya watu na wanyama, vitakuwa vyako. Hata hivyo, watu lazima wawakomboe wazaliwa wa kwanza wa kiume, na watawakomboa wazaliwa wa kwanza wa wanyama wasio safi.
16 Výplata pak jeho, když mu již jeden měsíc bude, vedlé ceny tvé bude pěti loty stříbra podlé lotu svatyně; dvadceti peněz váží lot.
Wale ambao wanahitaji kukombolewa na watu watakombolewa wakiwa na umri wa mwezi mmoja. Ndipo watu watawakomboa kwa bei ya shekeli tano, kwa kiwango cha shekeli za mahali patakatifu, ambacho ni sawa na gera ishirini.
17 Ale prvorozeného z volů, neb z ovcí, neb z koz, nedáš vyplatiti; nebo posvěceny jsou. Krev jejich vykropíš na oltář, a tuk jejich zapálíš, aby byl obětí ohnivou vůně spokojující Hospodina.
Lakini mzaliwa wa kwanza wa ng'ombe, au mzaliwa wa kwana wa kondoo, au mzaliwa wa kwanza wa mbuzi-msiwakomboe hawa wanyama, wametengwa kwa ajili yangu. Utanyunyizia damu yake madhabahuni na kuteketeza mafuta yao kama sadaka ya moto, ambayo ni harufu nzuri ya kumpendeza BWANA.
18 Maso pak jejich tvé bude; jako hrudí z oběti sem i tam obracení, a jako plece pravé tvé bude.
Nyama yao itakuwa yako. Kama kidali cha kuinuliwa na paja la kulia, nyama yao itakuwa yako.
19 Každou obět vzhůru pozdvižení z věcí posvěcených, kteréž přinášejí synové Izraelští Hospodinu, dal jsem tobě, a synům tvým, i dcerám tvým s tebou ustanovením věčným, smlouvou trvánlivou a věčnou před Hospodinem, tobě i semeni tvému s tebou.
Sadaka yote takatifu ambayo watu wa Israeli wanaitoa kwa BWANA, nimekupa wewe, na wana wako na binti zako walio pamoja nawe. Kama gawio la kudumu. Hili ni agano la milele la chumvi, agano linalofunga milele, mbele za BWANA kwako wewe na uzao wako walio pamoja na wewe.”
20 Mluvil také Hospodin k Aronovi: V zemi jejich, dědictví ani dílu svého mezi nimi nebudeš míti; já jsem díl tvůj, a dědictví tvé u prostřed synů Izraelských.
BWANA akasema na Haruni. “hautakuwa na urithi katika ardhi ya watu, wala hautakuwa na gawio miongoni mwa watu. Mimi ndimi gawiio lenu na urithi wenu miongoni mwa watu wa Israeli.
21 Synům pak Léví, aj, dal jsem všecky desátky v Izraeli za dědictví, za službu jejich, kterouž vykonávají, sloužíce při stánku úmluvy.
Tazama, Nimewapatia uzao wa Lawi, zaka zote za Israeli kuwa urithi wao kwa sababu ya huduma wanayotoa katika hema ya kukutania.
22 A synové Izraelští nechať nepřistupují k stánku úmluvy, aby nenesli hříchu a nezemřeli.
Kuanzi a sasa, watu wa Israeli wasisogee karibu na hema ya kukutania, vinginevyo wataajibika kwa dhambi hii na kufa.
23 Ale sami Levítové konati budou službu při stánku úmluvy, a sami ponesou nepravost svou. Ustanovení věčné v pronárodech vašich to bude, aby dědictví nemívali mezi syny Izraelskými.
Walawi wafanya kazi inayohusiana na hema ya kukutania. Wataajibika kwa dhambi inyohusiana na hema. Hii itakuwa sheri ya kudumu kwa watu wote wa uzao wako. Na miongoni mwa watu wa Israeli hawa hawatakuwa na urithi.
24 Nebo desátky synů Izraelských, kteréž přinášeti budou Hospodinu v obět vzhůru pozdvižení, dal jsem Levítům za dědictví; protož jsem o nich řekl: U prostřed synů Izraelských nebudou míti dědictví.
Kwa kuwa zaka za wana wa Israeli, wanazotoa kama mchango kwangu -ndivyo hivyo ambavyo nimewapa Walawi kuwa urithi wao. Hiyo ndiyo sababu ya kuwaambia, Kuwa hawatakuwa na urithi kati ya watu wa Israeli.
25 I mluvil Hospodin k Mojžíšovi, řka:
BWANA akanena na Musa, akamwambia,
26 Mluv k Levítům a rci jim: Když vezmete desátky od synů Izraelských, kteréž jsem vám dal od nich za dědictví vaše, tedy přinesete z nich obět vzhůru pozdvižení Hospodinu, desátky z desátků.
“Inakupasa ukaseme na Walawi uwaambie, 'Mnapopokea zaka toka kwa watu ambayo BWANA amewapa kutoka kwao kuwa urithi, ndipo na nyie mtakapotoa sehemu ya kumi ya zaka hizo.
27 A počtena vám bude ta obět vaše jako obilí z humna, a jako víno od presu.
Zaka yenu itahesabika kama moja ya mapato ya sakafu ya kupuria nafaka ya mazao yenu au mazao ya vinu vya kukamulia zabibu.
28 Tak vy také přinesete obět vzhůru pozdvižení Hospodinu ze všech desátků svých, kteréž vezmete od synů Izraelských, a dáte z nich obět Hospodinovu Aronovi knězi.
Kwa hiyo na ninyi lazima mtoe mchango wenu kwa BWANA kutokana na zaka mnazopata kutoka kwa watu wa Israeli. Kutokana na hizo mtatoa matoleo yenu kwa Haruni yule kuhani.
29 Ze všech darů svých přinesete každou obět vzhůru pozdvižení Hospodinu, díl posvěcený všeho, což nejlepšího jest.
Kwa kila sadaka mnayopata, mtatoa matoleo yenu kwa BWANA. Mtafanya hivi kutokana na vitu vizuri na vitakatifu sana ambavyo mmepewa.
30 Díš jim také: Když obětovati budete z toho, což nejlepšího jest, počteno bude Levítům jako úrody z humna, a jako úrody od presu.
Kwa hiyo utawaambia, 'Mnapotoa hayo matoleo mazuri, ndipo itahesabika kwa Walawi kuwa ni mazao yao kutoka kwenye sakafu za kupuria na vinu vyao vya kukamulia.
31 Jísti pak budete ty desátky na všelikém místě vy i čeled vaše; nebo mzda vaše jest za službu vaši při stánku úmluvy.
Ndipo matakapokula nafaka zote zinazobaki mahali popote, ninyi na famailia zenu kwa sababu ndiyo malipo yenu ya kazi y a kwenye hema ya kukutania.
32 A neponesete pro to hříchu, když obětovati budete to, což nejlepšího jest; a tak nepoškvrníte věcí posvěcených od synů Izraelských, a nezemřete.
Hamtakuwa na hatia yeyote kwa kuvila na kuvinywa, kama mtatoa kwa BWANA matoleo yenu mazuri mliyopokea. Lakini msizinajisi sadaka takatifu za wana wa Israeli, vinginevyo mtakufa.,”

< 4 Mojžišova 18 >