< Józua 12 >

1 Tito pak jsou králové té země, kteréž pobili synové Izraelští, a opanovali zemi jejich, za Jordánem k východu slunce, od potoku Arnon až k hoře Hermon i všecky roviny k východu:
Hawa ndio wafalme wa nchi ambao Waisraeli waliwashinda na kuitwaa nchi yao upande wa mashariki mwa Yordani, kuanzia Bonde la Arnoni mpaka Mlima Hermoni, pamoja na eneo lote la upande wa mashariki ya Araba:
2 Seon, král Amorejský, kterýž bydlil v Ezebon, a panoval od Aroer, kteréž leží při břehu potoka Arnon, a u prostřed potoka toho, a polovici Galád, až do potoka Jabok, kterýž jest na pomezí synů Ammon,
Sihoni mfalme wa Waamori, ambaye alitawala huko Heshboni. Alitawala kuanzia Aroeri kwenye ukingo wa Bonde la Arnoni, kuanzia katikati ya bonde, hadi kwenye Mto Yaboki, ambao ni mpaka wa Waamoni. Hii ilijumlisha nusu ya Gileadi.
3 A od rovin až k moři Ceneret k východu, a až k moři pouště, jenž jest moře slané k východu, kudyž se jde k Betsimot, a od polední strany ležící pod horou Fazga.
Pia alitawala Araba ya mashariki kuanzia Bahari ya Kinerethi hadi Bahari ya Araba (yaani Bahari ya Chumvi), hadi Beth-Yeshimothi, kisha kuelekea kusini chini ya materemko ya Pisga.
4 Pomezí také Oga, krále Bázan, z ostatků Refaimských, kterýž bydlil v Astarot a v Edrei,
Nayo nchi ya Ogu mfalme wa Bashani, aliyekuwa mmoja wa mabaki ya Warefai, aliyetawala Ashtarothi na Edrei.
5 A kterýž panoval na hoře Hermon a v Sálecha, i ve vší krajině Bázan až ku pomezí Gessuri a Machati, a nad polovicí Galád, ku pomezí Seona, krále Ezebon.
Naye alitawala katika Mlima Hermoni, Saleka, Bashani yote hadi mpaka wa watu wa Geshuri, na watu wa Maaka na nusu ya Gileadi, hadi kwenye mpaka wa Sihoni mfalme wa Heshboni.
6 Mojžíš, služebník Hospodinův, a synové Izraelští pobili je; a dal ji Mojžíš služebník Hospodinův k vládařství pokolení Rubenovu, Gádovu a polovici pokolení Manassesova.
Mose, mtumishi wa Bwana, na Waisraeli wakawashinda. Naye Mose mtumishi wa Bwana akawapa Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase nchi ya hao wafalme ili iwe milki yao.
7 Tito pak jsou králové země té, kteréž pobil Jozue a synové Izraelští za Jordánem k západu, od Balgad, kteréž jest na poli Libánském, až k hoře lysé, kteráž se táhne až do Seir, a dal ji Jozue pokolením Izraelským k vládařství po dílích jejich,
Hawa ndio wafalme wa nchi ambao Yoshua na Waisraeli waliwashinda upande wa magharibi mwa Yordani, kuanzia Baal-Gadi katika Bonde la Lebanoni hadi kufikia Mlima Halaki, unaoinuka ukielekea Seiri. (Yoshua alitoa nchi zao kwa makabila ya Israeli iwe urithi wao sawasawa na mgawanyiko wa makabila yao:
8 Na horách i na rovinách, i po polích, i v údolích, i na poušti a na poledne, zemi Hetejského, Amorejského, Kananejského, Ferezejského, Hevejského a Jebuzejského:
nchi ya vilima, shefela, upande wa magharibi, Araba, materemko ya milima, jangwa, na Negebu; nchi za Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi na Wayebusi):
9 Král Jericha jeden, král Hai, kteréž bylo na straně Bethel, jeden;
mfalme wa Yeriko mmoja mfalme wa Ai (karibu na Betheli) mmoja
10 Král Jeruzalémský jeden, král Hebron jeden;
mfalme wa Yerusalemu mmoja mfalme wa Hebroni mmoja
11 Král Jarmut jeden, král Lachis jeden;
mfalme wa Yarmuthi mmoja mfalme wa Lakishi mmoja
12 Král Eglon jeden, král Gázer jeden;
mfalme wa Egloni mmoja mfalme wa Gezeri mmoja
13 Král Dabir jeden, král Gader jeden;
mfalme wa Debiri mmoja mfalme wa Gederi mmoja
14 Král Horma jeden, král Arad jeden;
mfalme wa Horma mmoja mfalme wa Aradi mmoja
15 Král Lebna jeden, král Adulam jeden;
mfalme wa Libna mmoja mfalme wa Adulamu mmoja
16 Král Maceda jeden, král Bethel jeden;
mfalme wa Makeda mmoja mfalme wa Betheli mmoja
17 Král Tafua jeden, král Chefer jeden;
mfalme wa Tapua mmoja mfalme wa Heferi mmoja
18 Král Afek jeden, král Sáron jeden;
mfalme wa Afeki mmoja mfalme wa Lasharoni mmoja
19 Král Mádon jeden, král Azor jeden;
mfalme wa Madoni mmoja mfalme wa Hazori mmoja
20 Král Simron Meron jeden, král Achzaf jeden;
mfalme wa Shimron-Meroni mmoja mfalme wa Akishafu mmoja
21 Král Tanach jeden, král Mageddo jeden;
mfalme wa Taanaki mmoja mfalme wa Megido mmoja
22 Král Kedes jeden, král Jekonam z Karmelu jeden;
mfalme wa Kedeshi mmoja mfalme wa Yokneamu katika Karmeli mmoja
23 Král Dor z krajiny Dor jeden, král z Goim v Galgal jeden;
mfalme wa Dori (katika Nafoth-Dori) mmoja mfalme wa Goimu katika Gilgali mmoja
24 Král Tersa jeden. Všech králů třidceti a jeden.
mfalme wa Tirsa mmoja wafalme jumla yao ilikuwa thelathini na mmoja.

< Józua 12 >