< Jób 21 >
1 A odpovídaje Job, řekl:
Kisha Ayubu akajibu na kusema,
2 Poslouchejte pilně řeči mé, a bude mi to za potěšení od vás.
“Sikilizeni hotuba yangu kwa makini, hii na iwe faraja yenu.
3 Postrpte mne, abych i já mluvil, a když odmluvím, posmívejž se.
Nimeteswa, lakini pia nitasema; nikisha kusema, endeleeni kudhihaki.
4 Zdaliž já před člověkem naříkám? A poněvadž jest proč, jakž nemá býti ssoužen duch můj?
Lakini kwangu mimi, malalamikio yangu ni kwa mtu? Kwa nini nisiwe mwenye subira?
5 Pohleďte na mne, a užasněte se, a položte prst na ústa.
Nitazameni na mshangae, nanyi wekeni mkono wenu midomoni mwenu.
6 Ano já sám, když rozvažuji své bídy, tedy se děsím, a spopadá tělo mé hrůza.
Ninapoyafikiria mateso yangu, ninaumizwa, mwili wangu unaogopa.
7 Proč bezbožní živi jsou, k věku starému přicházejí, též i bohatnou?
Kwa nini waovu wanaendelea kuishi, wanazeeka, na kuwa na uwezo katika madaraka?
8 Símě jejich stálé jest před oblíčejem jejich s nimi, a rodina jejich před očima jejich.
Wazao wao wanathibitishwa mbele zao, na uzao wao unaimarika machoni pao.
9 Domové jejich bezpečni jsou před strachem, aniž metla Boží na nich.
Nyumba zao ziko salama mbali na hofu; wala fimbo ya Mungu haiko juu yao.
10 Býk jejich připouštín bývá, ale ne na prázdno; kráva jejich rodí, a nepotracuje plodu.
Dume lao la ng'ombe linazalisha; halishindwi kufanya hivyo; ng'ombe wao anazaa na hafishi ndama wake akiwa mchanga.
11 Vypouštějí jako stádo maličké své, a synové jejich poskakují.
Wanawapeleka wadogo wao kama kundi la kondoo, na watoto wao hucheza.
12 Povyšují hlasu při bubnu a harfě, a veselí se k zvuku muziky.
Wanaimba kwa tari na vinubi na hufurahi kwa muziki na zomari.
13 Tráví v štěstí dny své, a v okamžení do hrobu sstupují. (Sheol )
Wanatumia siku zao katika mafanikio, na wanashuka kuzimu kwa utulivu. (Sheol )
14 Kteříž říkají Bohu silnému: Odejdi od nás, nebo známosti cest tvých neoblibujeme.
Wanamwambia Mungu, 'Ondoka kwetu kwani hatutaki ufahamu wowote juu ya njia zako.
15 Kdo jest Všemohoucí, abychom sloužili jemu? A jaký toho zisk, že bychom se modlili jemu?
Mwenye enzi ni nani, hata tumwabudu? Tutafaidika na nini tukimwabudu? Tutapata faida gani ikiwa tutamwomba?
16 Ale pohleď, že není v moci jejich štěstí jejich, pročež rada bezbožných vzdálena jest ode mne.
Tazama, je mafanikio yao hayamo katika mikono yao wenyewe? Sina cha kufanya na ushauri wa waovu.
17 Èasto-liž svíce bezbožných hasne? Přichází-liž na ně bída jejich? Poděluje-liž je bolestmi Bůh v hněvě svém?
Mara ngapi taa za waovu huzimwa, au kwamba majanga huja juu yao? Mara ngapi inatokea kwamba Mungu husambaza huzuni kwao kwa hasira?
18 Bývají-liž jako plevy před větrem, a jako drtiny, kteréž zachvacuje vicher?
Ni mara ngapi inatokea kwamba wanakuwa kama mabua mbele ya upepo au kama makapi yanayopeperushwa na dhoruba?
19 Odkládá-liž Bůh synům bezbožníka nepravost jeho? Odplacuje-liž jemu tak, aby to znáti mohl,
Mnasema, 'Mungu huweka hatia ya mtu kwa watoto wake kuilipa.' Na alipe yeye mwenyewe, ili kwamba aweze kujua hatia yake mwenyewe.
20 A aby viděly oči jeho neštěstí jeho, a prchlivost Všemohoucího že by pil?
Acha macho yake yaone uangamivu wake mwenyewe, na acha anywe gadhabu ya Mwenyezi.
21 O dům pak jeho po něm jaká jest péče jeho, když počet měsíců jeho bude umenšen?
Kwani anaangaliaje familia yake mbele yake idadi ya miezi yake inapokwisha.
22 Zdali Boha silného kdo učiti bude umění, kterýž sám vysokosti soudí?
Je kuna mtu anaweza kumfundisha Mungu maarifa kwa kuwa yeye huwaukumu hata walio juu?
23 Tento umírá v síle dokonalosti své, všelijak bezpečný a pokojný.
Mtu mmoja ufa katika nguvu zake kamili, akiwa na utulivu kabisa na kwa amani.
24 Prsy jeho plné jsou mléka, a mozk kostí jeho svlažován bývá.
Mwili wake hauna uhitaji, na kiini cha mifupa yake ina unyevu na afya njema.
25 Jiný pak umírá v hořkosti ducha, kterýž nikdy nejídal s potěšením.
Mtu mwingine ufa kwa uchungu wa nafsi, bila kujifurahisha kwa jambo lolote jema.
26 Jednostejně v prachu lehnou, a červy se rozlezou.
Wanazikwa kaburini wote kwa pamoja, funza wanawafunika wote.
27 Aj, známť myšlení vaše, a chytrosti, kteréž proti mně neprávě vymýšlíte.
Tazama, nayajua mawazo yenu, na jinsi mnavyotaka kunikosesha.
28 Nebo pravíte: Kde jest dům urozeného? A kde stánek příbytků bezbožných?
Kwa kuwa mwasema, 'Iko wapi sasa nyumba ya mwana wa mfalme? Liko wapi kao alipokaa mwovu?'
29 Což jste se netázali jdoucích cestou? Zkušení-liž aspoň jejich nepovolíte,
Je hamjawauliza wasafiri? Hamfahamu wanavyoweza kusema,
30 Že v den neštěstí ochranu mívá bezbožný, v den, pravím, rozhněvání přistřín bývá?
kwamba mwovu anaepushwa na siku ya shida, na kwamba anawekwa mbali na siku ya gadhabu?
31 Kdo jemu oznámí zjevně cestu jeho? Aneb za to, co činil, kdo jemu odplatí?
Ni nani atakaye ituhumu siku ya mwovu mbele yake? Ni nani atakayemwadhibu kwa alichokifanya?
32 A však i on k hrobu vyprovozen bude, a tam zůstane.
Hata hivyo atapelekwa kaburini; watu wataliona kaburi lake.
33 Sladnou jemu hrudy údolí, nadto za sebou všecky lidi táhne, těch pak, kteříž ho předešli, není počtu.
Udongo wa bondeni utakuwa mtamu kwake; watu wote watamfuata, hata kuwe na watu wengi mbele yake.
34 Hle, jak vy mne marně troštujete, nebo v odpovědech vašich nezůstává než faleš.
Ni jinsi gani basi mtanifariji bila kufikiri, kwa kuwa majibu yenu hayana lolote ila uongo?”