< Izaiáš 52 >
1 Probuď se, probuď se, oblec se v sílu svou, Sione, oblec se v roucho okrasy své, ó Jeruzaléme, město svaté; neboť nebude již více na tě dotírati neobřezaný a nečistý.
Amka, amka, vaa nguvu zako, Sayuni; vaa vazi lako zuri, mji mtakatifu; maana hakuna tena kutotahiriwa wala wasio safi kuingia kwako.
2 Otřes se z prachu, povstaň, posaď se, Jeruzaléme; dobuď se z okovů hrdla svého, ó jatá dcerko Sionská.
Jikung'ute mwenyewe kutoka mavumbini; nyanyuka na ukae, ewe Yerusalemu; ondoa shanga katika shingo yako, wafungwa, binti ya Sayuni.
3 Takto zajisté dí Hospodin: Darmo jste sebe prodali, protož bez peněz budete vykoupeni.
Maana Yahwe asema hivi, umeuzwa bure, na utakombolewa pasipo pesa.''
4 Nebo takto praví Panovník Hospodin: Do Egypta sstoupil lid můj předešle, aby tam byl pohostinu, ale Assur bez příčiny jej ssužuje.
Maana Bwana Yahwe asema hivi, ''Hapo mwanzo watu wangu walishuka chini Misri kuishi kwa muda mfupi; Waasiria waliwanyanyasa wao hivi karibuni.
5 Nyní tedy což mám činiti? praví Hospodin. Poněvadž jest lid můj zajat darmo, a panovníci jeho k úpění jej přivodí, praví Hospodin. Nad to ustavičně každého dne jménu mému útržka se činí.
Sasa ni kitu gani nilicho nacho hapa- Hili ni tamko Yahwe- aonae kwamba watu wake wanachukuliwa bure tu? Wale wanowaongoza wao wanafanya mzaha-Hili ni tamko la Yahwe- jina langu linakashifiwa mchan kutwa.
6 Protož poznáť lid můj jméno mé, protož poznáť, pravím, v ten den, že já tentýž, kterýž mluvím, aj, přítomen budu.
Hivyo basi watu wangu watalijua jina langu; watajua kwamba siku hiyo kwamba mimi ndiye ninayesema ''Ndiyo, Ni Mimi!''
7 Ó jak krásné na horách nohy toho, ješto potěšené věci zvěstuje, a ohlašuje pokoj, toho, ješto zvěstuje dobré, ješto káže spasení, a mluví k Sionu: Kralujeť Bůh tvůj.
Ni kwa uzuri gani juu miliima ni miguu ya mjumbe aliyeleta habari njema, atangazae amani, aliyebeba uzuri wa ukuu, aliyetangaza wokovu, anayesema kwa Sayuni, ''Mungu wako anatawala!''
8 Strážní tvoji hlasu, hlasu pozdvihnou, a spolu prokřikovati budou; neboť okem v oko uzří, že Hospodin zase přivede Sion.
Sikiliza enyi walinzi nyanyueni sauti zenu, kwa pamoja pigeni kelele kwa furaha, maana mtamuona, kwa kila jicho lenu, kurejea kwa Yahwe Sayuni.
9 Zvučte, prozpěvujte spolu pustiny Jeruzalémské; neboť jest potěšil Hospodin lidu svého, vykoupil Jeruzalém.
Pazeni sauti kwa kuimba kwa furaha, enyi mateka wa Yerusalemu; maana Yahwe amefariji watu wake; ameikomboa Yerusalemu.
10 Ohrnul Hospodin rámě svatosti své před očima všech národů, aby viděly všecky končiny země spasení Boha našeho.
Yahwe amewaonyesha kwamba mkono wake mtakatifu katika macho ya mataifa yote; nchi yote itauona wokovu wa Mungu wetu.
11 Odejděte, odejděte, vyjděte z Babylona, nečistého se nedotýkejte; vyjděte z prostředku jeho, očisťte se vy, kteříž nosíte nádobí Hospodinovo.
Ondokeni, ondokeni, enendeni mbali na hapa; msiguse kitu chochote ambacho ni najisi; au kuishi katikati yake; jitakase mwenyewe, enyi mliobeba vyombo vya Yahwe.
12 Nebo ne s chvátáním vyjdete, aniž s utíkáním půjdete; předcházeti zajisté bude vás Hospodin, a zbéře vás Bůh Izraelský.
Maana hautakwenda nje kwa kukimbia, wala hautaondoka kwa hofu; Maana Yahwe atakuwa mbele yako; na Mungu wa Israeli atakuwa mlinzi wako nyuma.
13 Aj, služebníku mému šťastně se povede, vyvýšen, vznešen a zveleben bude velmi.
Tazameni, mtumishi wangu atafanya hekima; atakuwa juu na atanyanyuliwa juu, na atapandishwa juu.
14 A jakož mnozí se nad ním užasnou, že tak zohavena jest nad jiné lidi osoba jeho, způsob jeho nad syny lidské:
Na wengi watamstajabia yeye- muonekano wake umekunjamana nje ya muonekano wa mwanadamu, hivyo basi upande wake ulikuwa mbali na kitu chochote ambacho ni binadamu-
15 Tak zase skropí národy mnohé, i králové před ním zacpají ústa svá, proto že což jim nebylo vypravováno, to uzří, a tomu, o čemž neslýchali, porozumějí.
Na hivyo, mtumishi wangu atanyunyizia mataifa mengi na wafme watafunga midomo yao kwa sababu yake. Kana kwamba hawajawahi kuambiwa, wataona, kana kwamba hawakusikia, wataelewa.