< Ezechiel 38 >
1 Opět stalo se slovo Hospodinovo ke mně, řkoucí:
Neno la Yahwe likanijia, likisema,
2 Synu člověčí, obrať tvář svou proti Gogovi, země Magog, knížeti a hlavě v Mešech a Tubal, a prorokuj proti němu,
“Mwanadamu, weka uso wako kumwelekea Gogu, nchi ya Magogu, kiongozi mkuu wa Mesheki na Tubali; na kutabiri dhidi yake.
3 A rci: Takto praví Panovník Hospodin: Aj, já budu proti tobě, Gogu, kníže a hlavo v Mešech a Tubal.
Sema, 'Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! Ni juu yako, Gogu, kiongozi mkuu wa Mesheki na Tubali.
4 A odvedu tě zpět, dada udice do čelistí tvých, když tě vyvedu i všecko vojsko tvé, koně i jezdce, všecky oblečené v celou zbroj, zástup veliký s pavézami a štíty, všecky ty, kteříž užívají meče:
Hivyo nitakugeuza na kuweka kulabu kwenye taya yako; nitakupeleka nje pamoja na jeshi lako lote, farasi, na waendesha farasi, wote wakiwa wamevaa silaha, kusanyiko kubwa pamoja na ngao ndogo na ngao kubwa, wote wakishikilia panga!
5 Perské, Mouřeníny i Putské s nimi, všecky ty s štíty a lebkami,
Persia, Kushi, Uajemi wapo pamoja nao, wote pamoja na ngao na chapeo!
6 Gomera i všecky houfy jeho, dům Togarmy od stran půlnočních, i všecky houfy jeho, národy mnohé s tebou.
Gomeri na jeshi lake lote, na Beth-Togarma, kutoka sehemu za mbali ya kaskazini, na jeshi lake lote! Watu wengi wako pamoja nawe!
7 Budiž hotov, a připrav se, ty i všecko shromáždění tvé, těch, kteříž se k tobě sebrali, a buď strážcím jejich.
Kuwa tayari! Ndio, jiandae na jeshi lako waliokusanyika pamoja na wewe, na amiri wao mkuu.
8 Po mnohých dnech navštíven budeš, v potomních letech přitáhneš na lid vysvobozený od meče, a shromážděný z národů mnohých na hory Izraelské, kteréž byly pustinou ustavičně, když oni z národů jsouce vyvedeni, budou bydliti bezpečně všickni.
Utaitwa baada ya siku nyingi, na baada ya miaka michache utaenda kwenye nchi iliyofunikwa kutoka upanga na ambayo iliyokusanywa kutoka watu wengi, iliyowkusanya kuwarudisha milima ya Israeli ambayo imeendelea kuangamizwa. Lakini watu wa nchi watatolewa na kabila za watu, na wataishi salama, wote!
9 V tom přitáhneš a přijdeš jako bouře, budeš jako oblak přikrývající zemi, ty i všickni houfové tvoji, i národové mnozí s tebou.
Hivyo utapanda juu kama tufani iendavyo; utakuwa kama wingu lililofunika nchi, wewe na jeshi lako lote, maaskari wako wote pamoja na wewe.
10 Takto praví Panovník Hospodin: I stane se v ten den, že vstoupí mnohé věci na srdce tvé, a budeš mysliti myšlení zlé.
Bwana Yahwe asema hivi: Itakuwa siku hiyo hayo mawazo yataingia moyoni mwako, na utatunga njama mbaya.'
11 A díš: Potáhnu na zemi, v níž jsou vsi, přitáhnu na ty, jenž pokoje užívají, bydlíce bezpečně, na všecky, kteříž bydlejí beze všech zdí, a nemají žádné závory ani bran,
Kisha utasema, 'nitapanda hata nchi iliyowazi; nitaenda hata kwa watu wapole waishio salama, wote wakiishi mahali ambapo hakuna kuta wala makomeo, na mahali ambapo hakuna malango ya mji.
12 Abych vzebral kořisti, a rozchvátal loupeže, obraceje ruku svou proti pouštěm již osazeným, a proti lidu zase shromážděnému z národů, zacházejícímu s dobytkem a jměním, bydlejícím u prostřed země.
Nitanyakua mateka na kuiba mateka, ili nilete mkono wangu juu kuwaangamiza wale wakazi wapya, na juu ya watu waliokusanyika kutoka mataifa, watu wale waongezao wanyama na mali, na wale waishio katikatika ya dunia.'
13 Sába a Dedan, a kupci mořští, i všecka lvíčata jeho řeknou tobě: K rozebrání-liž kořistí ty se béřeš? K rozchvátání-li loupeže shromáždil jsi množství své, abys bral stříbro a zlato, abys nabral dobytka i zboží, a nashromáždil loupeže veliké?
Sheba na Denani, na wafanya biashara wa Tarshishi pamoja na mahodari wake wote watakwambia, 'Je, umekuja kuteka nyara? Je, umewakusanya majeshi yako kuchukua mateka, kuchukua fedha na dhahabu, kuchukua mifugo yao na mali na kuwakokota mateka wengi sana?'
14 Protož synu člověčí, prorokuj a rci Gogovi: Takto praví Panovník Hospodin: Zdaliž toho dne, když bude lid můj Izraelský bydliti bezpečně, nezvíš,
Kwa hiyo tabiri, mwanadamu, na mwambie Gogu, 'Bwana Yahwe asema hivi: Katika siku hiyo, wakati watu wangu Israeli watakapoishi salama, je, hutajifunza kuhusu wao?
15 Kdyžto přitáhnouce z místa svého od stran půlnočních, ty i národové mnozí s tebou, sedíce na koních všickni, shromáždění veliké a vojsko znamenité,
Utakuja kutoka mahali pangu mbali katika kaskazini pamoja na jeshi kubwa, wote wakiendesha farasi, kusanyiko kubwa, jeshi kubwa.
16 Potáhneš na lid můj Izraelský jako oblak, abys přikryl tu zemi? V potomních dnech stane se, že tě přivedu na zemi svou, aby mne poznali národové, když posvěcen budu v tobě před očima jejich, ó Gogu.
Utawashambulia watu wangu Israeli kama wingu lifunikavyo nchi. Katika siku za baadaye nitakuleta juu ya nchi yangu, ili mataifa wanijue nitakapojifunua mwenyewe kupitia wewe, Gogu, kuwa mtakatifu mbele ya macho yao.
17 Takto praví Panovník Hospodin: Zdaliž ty nejsi ten, o kterémž jsem mluvil za dnů starodávních skrze služebníky své, proroky Izraelské, kteříž prorokovali za těch dnů a let, že tě přivedu na ně?
Bwana Yahwe asema hivi: Je, wewe siye yule ambaye niliyeongea naye katika siku za zamani kwa mkono wa watumishi wangu, manabii wa Israeli, waliotabiri katika mda wao wenyewe kwa miaka niliyowaleta juu yao?
18 A však stane se v ten den, v den, v kterýž přitáhne Gog na zemi Izraelskou, praví Panovník Hospodin, že povstane prchlivost má s hněvem mým,
Basi itakuwa katika siku hiyo wakati Gogu atakapo ishambulia nchi ya Israeli-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-ghadhabu yangu itapanda katika hasira yangu.
19 A v rozhorlení svém, v ohni prchlivosti své mluviti budu. Jistě že v ten den bude pohnutí veliké v zemi Izraelské,
Katika wivu wangu katika hasira ya moto wangu, ninasema kwamba katika siku hiyo kutakuwa na tetemeko kubwa la nchi katika nchi ya Israeli.
20 Tak že se pohnou před tváří mou ryby mořské i ptactvo nebeské, a zvěř polní i všeliký zeměplaz plazící se po zemi, i všickni lidé, kteříž jsou na svrchku země. I rozválejí se hory, a padnou výsosti, i každá zed na zem upadne.
Watatetemeka mbele yangu-samaki wa baharini na ndege wa angani, wanyama wa mashambani, na viumbe watambaao juu ya nchi, na kila mtu aliyeko juu ya uso wa nchi. Milima itaangushwa chini majabali yataanguka, hadi kila ukuta utaanguka kwenye nchi.
21 Nebo zavolám proti němu po všech horách mých meče, praví Panovník Hospodin; meč každého proti bratru jeho bude.
Nitaita upanga dhidi yake juu ya milima yangu yote-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-upanga wa kila mtu utakuwa kinyume na ndugu yake.
22 A vykonám při něm soud morem a krve prolitím a přívalem rozvodnilým, a kamením krupobití velikého, ohněm a sirou dštíti budu na něj i na houfy jeho, a na národy mnohé, kteříž jsou s ním.
Kisha nitamuhukumu kwa tauni na damu; nakufurika mvua na mvua ya mawe na kuchoma asidi nitainyeshea chini juu yake na jeshi lake na mataifa mengi yaliyo pamoja naye.
23 A tak zveleben, a posvěcen, a v známost uveden budu před očima národů mnohých, a zvědí, že já jsem Hospodin.
Kwa kuwa nitaonyesha ukuu wangu na utakatifu wangu na nitafanya kujulikana mimi mwenyewe katiaka macho ya mataifa mengi, na watajua kwamba mimi ni Yahwe.”