< Ester 3 >

1 Po těch věcech zvelebil král Asverus Amana syna Hammedatova Agagského, a vyvýšil ho, tak že vyzdvihl stolici jeho nade všecka jiná knížata, kteříž byli při něm.
Baada ya matukio haya, Mfalme Ahasuero alimheshimu Hamani mwana wa Hamedatha, Mwagagi, akampandisha na kumpa kiti chake cha heshima cha juu sana kuliko wakuu wengine wote.
2 A všickni služebníci královští, kteříž vcházeli do brány královské, klaněli se a padali před Amanem; nebo tak přikázal o něm král. Ale Mardocheus se neklaněl, ani padal.
Maafisa wote wa mfalme waliokaa langoni mwa mfalme walipiga magoti na kumpa Hamani heshima, kwa kuwa mfalme alikuwa ameamuru hili kuhusu Hamani. Lakini Mordekai hakumpigia magoti wala kumheshimu.
3 Protož řekli služebníci královští, kteříž byli v bráně královské, Mardocheovi: Proč přestupuješ přikázaní královské?
Kisha maafisa wa mfalme waliokuwa langoni mwa mfalme walimuuliza Mordekai, “Kwa nini hutii agizo la mfalme?”
4 I stalo se, když o to s ním mluvívali každého dne, a neposlechl jich, že to oznámili Amanovi, aby viděli, bude-li stálý v svých slovích Mardocheus; nebo oznámil jim, že jest Žid.
Siku baada ya siku walizungumza naye lakini hakukubali. Kwa hiyo walimweleza Hamani kuona kama tabia ya Mordekai itaweza kuvumiliwa, kwa maana alikuwa amewaambia kuwa yeye ni Myahudi.
5 Vida pak Aman, že se Mardocheus neklaní, ani padá před ním, naplněn jest Aman prchlivostí.
Wakati Hamani alipoona kuwa Mordekai hampigii magoti wala kumpa heshima alighadhibika.
6 Ale za malou věc sobě položil, vztáhnouti ruku na Mardochea samého, (nebo byli oznámili jemu, z kterého by lidu byl Mardocheus). Protož smýšlel Aman, aby zahubil národ Mardocheův, totiž všecky Židy, kteříž byli ve všem království Asverovu.
Hata hivyo baada ya kujulishwa watu wa Mordekai ni akina nani, alibadili wazo la kumuua Mordekai peke yake. Badala yake Hamani alitafuta njia ya kuwaangamiza watu wote wa Mordekai, yaani, Wayahudi, walio katika ufalme wote wa Ahasuero.
7 Takž měsíce prvního, totiž měsíce Nísan, léta dvanáctého kralování Asverova, rozkázal uvrci pur, totiž los, před sebou ode dne ke dni, a od měsíce až do měsíce dvanáctého, jenž jest měsíc Adar.
Katika mwaka wa kumi na mbili wa utawala wa Mfalme Ahasuero, katika mwezi wa kwanza uitwao Nisani, walipiga puri (yaani kura) mbele ya Hamani ili kuchagua siku na mwezi. Kura ikaangukia kwenye mwezi wa kumi na mbili, yaani Adari.
8 Nebo byl řekl Aman králi Asverovi: Jest lid jakýsi rozptýlený a roztroušený mezi lidem ve všech krajinách království tvého, jejichž práva rozdílná jsou ode všech národů, práv pak královských neostříhají. Protož králi není užitečné, nechati jich.
Kisha Hamani akamwambia Mfalme Ahasuero, “Wako watu fulani wameenea na kutawanyika miongoni mwa watu katika majimbo yote ya ufalme wako, ambao desturi zao ni tofauti na zile za watu wengine wote, nao hawatii sheria za mfalme. Haifai mfalme kuwavumilia watu hawa.
9 Jestliže se králi za dobré vidí, nechť se napíše, aby je zahladili, a já deset tisíc centnéřů stříbra odvážím do rukou představeným té práci, aby je vnesli do komory královské.
Kama inampendeza mfalme, itolewe amri kuwaangamiza, nami nitaweka talanta 10,000 za fedha katika hazina ya mfalme kwa ajili ya watu watakaoshughulikia jambo hili.”
10 Tedy král sňav prsten svůj s ruky své, dal jej Amanovi synu Hammedatovu Agagskému, nepříteli Židovskému.
Basi mfalme alichukua pete yake ya muhuri kutoka kwenye kidole chake na kumpa Hamani mwana wa Hamedatha, Mwagagi, adui wa Wayahudi.
11 A řekl král Amanovi: Stříbro to daruji tobě i lid ten, abys naložil s ním, jakť se koli líbí.
Mfalme akamwambia Hamani, “Baki na fedha yako na uwatendee hao watu utakavyo.”
12 Protož povoláni jsou písaři královští téhož měsíce prvního třináctého dne, a psáno jest všecko tak, jakž přikázal Aman, k knížatům královským i vývodám, kteříž byli v jedné každé krajině, i hejtmanům jednoho každého národu, každé krajině vedlé písma jejího, a každému národu vedlé jazyku jeho; jménem krále Asvera psáno, a zapečetěno prstenem královským.
Kisha siku ya kumi na tatu ya mwezi wa kwanza waandishi wa mfalme waliitwa. Wakaandika barua kwa kila jimbo na katika kila lugha ya watu kama agizo la Hamani lilivyotoka kwa mfalme, kwa watawala wa majimbo mbalimbali, na wakuu wa watu mbalimbali. Hizi ziliandikwa kwa jina la Mfalme Ahasuero mwenyewe na kutiwa muhuri wa pete yake mwenyewe.
13 I jsou posláni listové po poslích do všech krajin královských, aby hubili, mordovali a vyhladili všecky Židy, od mladého až do starce, děti i ženy, jednoho dne, totiž třináctého, měsíce dvanáctého, (jenž jest měsíc Adar), a loupeže jejich aby rozbitovali.
Barua zilipelekwa na tarishi katika majimbo yote ya mfalme zikiwa na amri ya kuharibu, kuua na kuangamiza Wayahudi wote, wadogo kwa wakubwa, wanawake na watoto wadogo, siku moja, yaani siku ya kumi na tatu ya mwezi wa kumi na mbili, ndio mwezi wa Adari, na pia kuteka nyara vitu vyao.
14 Summa toho psání byla: Aby vyhlášeno bylo v jedné každé krajině a oznámeno všechněm národům, aby hotovi byli ke dni tomu.
Nakala ya andiko la amri ilipaswa kutolewa kama sheria katika kila jimbo, na kufahamishwa kwa watu wa kila taifa ili waweze kuwa tayari kwa siku ile.
15 Tedy vyjeli poslové stěží s poručením královským, a vyhlášeno jest to v Susan, městě královském. Král pak a Aman seděli, kvasíce, ale měšťané Susan zkormouceni byli.
Kwa kuharakishwa na amri ya mfalme, matarishi walikwenda na andiko lilitolewa katika mji wa ngome ya Shushani. Mfalme na Hamani waliketi na kunywa, lakini mji wa Shushani ulifadhaika.

< Ester 3 >