< Kazatel 7 >

1 Lepší jest jméno dobré nežli mast výborná, a den smrti než den narození člověka.
Jina zuri ni bora kuliko manukato ya gharama, na siku ya kufa ni bora kuliko siku ya kuzaliwa.
2 Lépe jest jíti do domu zámutku, nežli jíti do domu hodování, pro dokonání každého člověka, a kdož jest živ, složí to v srdci svém.
Ni bora kwenda kwenye nyumba ya maombolezo kuliko nyumba ya karamu, kwa kuwa maombolezo huja kwa watu wote wakati wa mwisho wa uhai, kwa hiyo watu wanaoishi ni lazima waweke hili moyoni.
3 Lepší jest horlení nežli smích; nebo zůřivá tvář polepšuje srdce.
Huzuni ni bora kuliko kicheko, kwa kuwa baada ya uso wa huzuni huja furaha ya moyo.
4 Srdce moudrých v domě zámutku, ale srdce bláznů v domě veselí.
Moyo wa mwenye hekima uko katika nyumba ya maombolezo, lakini moyo wa wapumbavu uko katika nyumba ya karamu.
5 Lépe jest slyšeti žehrání moudrého, nežli aby někdo poslouchal písně bláznů.
Ni bora kusikiliza maonyo ya mtu mwenye hekima kuliko kusikiliza wimbo wa wapumbavu.
6 Nebo jako praštění trní pod hrncem, tak smích blázna. A i to jest marnost.
Kwa kuwa kama mlio wa miiba chini ya chungu, ndivyo kilivyo kicheko cha wapumbavu. Huu pia ni mvuke.
7 Ssužování zajisté k bláznovství přivodí moudrého, a dar oslepuje srdce.
kweli jeuri humfanya mtu mwenye hekima kuwa mpumbavu, na rusha huharibu moyo.
8 Lepší jest skončení věci nežli počátek její; lepší jest dlouho čekající nežli vysokomyslný.
Ni heri mwisho wa jambo kuliko mwanzo; na watu wenye uvumilivu ni bora kuliko wenye majivuno rohoni.
9 Nebuď kvapný v duchu svém k hněvu; nebo hněv v lůnu bláznů odpočívá.
Usikasirike haraka rohoni mwako, kwa sababu hasira hukaa katika mioyo ya wapumbavu.
10 Neříkej: Èím jest to, že dnové první lepší byli nežli tito? Nebo bys se nemoudře na to vytazoval.
Usiseme, “Kwa nini siku za zamani zilikuwa bora kuliko siku hizi?” Kwa kuwa sio kwa sababu ya hekima kwamba unauliza swali hili.
11 Dobrá jest moudrost s statkem, a velmi užitečná těm, kteříž vidí slunce;
Hekima ni njema kama vitu vya thamani tunavyorithi kutoka kwa wazazi wetu. Inatoa faida kwa wale wanaoliona jua.
12 Nebo v stínu moudrosti a v stínu stříbra odpočívají. A však přednější jest umění moudrosti, přináší život těm, kdož ji mají.
Kwa kuwa hekima hutoa ulinzi kama vile fedha inavyoweza kutoa ulinzi, lakini faida ya maarifa ni kwamba hekima humpa uhai kwa yeyote aliye nayo.
13 Hleď na skutky Boží. Nebo kdo může zpřímiti to, což on zkřivil?
Tafakaria matendo ya Mungu: Ni nani awezaye kuimarisha chochote alichokipindisha?
14 V den dobrý užívej dobrých věcí, a v den zlý buď bedliv; nebo i to naproti onomu učinil Bůh z té příčiny, aby nenalezl člověk po něm ničeho.
Wakati nyakati vinakuwa njema, ishi kwa furaha katika hali hiyo, lakini wakati unapokuwa mbaya, tafakari hili: Mungu ameruhusu hali zote ziwepo, Kwa sababu hii, hakuna mwanadamu yeyote atakaye fahamu chochote kinacho kuja baada yake.
15 Všecko to viděl jsem za dnů marnosti své: Bývá spravedlivý, kterýž hyne s spravedlností svou; tolikéž bývá bezbožný, kterýž dlouho živ jest v zlosti své.
Nimeona mambo mengi katika siku zangu za ubatili. Kuna watu wenye haki ambao wanaangamia licha ya kwamba wana haki, na kuna watu waovu wanaoishi maisha marefu licha ya kwamba ni waovu.
16 Nebývej příliš spravedlivý, aniž buď příliš moudrý. Proč máš na zkázu přicházeti?
Usiwe mwenye haki katika macho yako mwenyewe. Kwa nini kujiharibu mwenyewe?
17 Nebuď příliš starostlivý, aniž bývej bláznem. Proč máš umírati dříve času svého?
Usiwe mwovu sana au mpumbavu. Kwa nini ufe kabla ya wakati wako?
18 Dobréť jest, abys se onoho přídržel, a tohoto se nespouštěl; nebo kdo se bojí Boha, ujde všeho toho.
Ni vyema kwamba ushike hekima hii, na kwamba usiache haki iende zake. Kwa kuwa mtu amchae Mungu atatimiza ahadi zake zote.
19 Moudrost posiluje moudrého nad desatero knížat, kteříž jsou v městě.
Hekima ina nguvu ndani ya mwenye hekima, zaidi ya watawala kumi katika mji.
20 Není zajisté člověka spravedlivého na zemi, kterýž by činil dobře a nehřešil.
Hakuna mtu mwenye haki juu ya nchi anayefanya mema na hatendi dhambi.
21 Také ne ke všechněm slovům, kteráž mluví lidé, přikládej mysli své, poněvadž nemáš dbáti, by i služebník tvůj zlořečil tobě.
Usisikilize kila neno linaongelewa, kwa sababu unaweza kusikia mtumishi wako anakulaani.
22 Neboť ví srdce tvé, že jsi i ty častokrát zlořečil jiným.
Vivyo hivyo unafahamu mwenyewe ndani ya moyo wako umewalaani wengine mara kadhaa.
23 Všeho toho zkusil jsem moudrostí, a řekl jsem: Budu moudrým, ale moudrost vzdálila se ode mne.
Haya yote nimeyathibitisha kwa hekima. Nikasema, “nitakuwa mwenye hekima,” lakini zaidi ambavyo ningekuwa.
24 Což pak vzdálené a velmi hluboké jest, kdož to najíti může?
Hekima i mbali na kina sana. Ni nani awezaye kuipata?
25 Všecko jsem přeběhl myslí svou, abych poznal a vyhledal, i vynalezl moudrost a rozumnost, a abych poznal bezbožnost, bláznovství a nemoudrost i nesmyslnost.
Nikageuza moyo wangu kujifunza kuchunguza na kutafuta hekima na ufafanuzi wa ukweli, na kufahamu kwamba ubaya ni ujinga na kwamba upumbavu ni wazimu.
26 I našel jsem věc hořčejší nad smrt, ženu, jejíž srdce tenata, a ruce její okovy. Kdož se líbí Bohu, zachován bývá od ní, ale hříšník bývá od ní jat.
Nikapata kufahamu kwamba uchungu kuliko kifo, ndivo alivyo mwanamke yeyote ambaye moyo wake umejaa mitego, na nyavu, na ambaye mikono yake ni minyororo. Yeyote ampendezaye Mungu ataponyoka kutoka kwake, lakini mwenye dhambi atachukuliwa naye.
27 Pohleď, to jsem shledal, (praví kazatel), jedno proti druhému stavěje, abych nalezl umění,
“Tafakari kile nilichovumbua,” asema Mwalimu. “Nimekuwa nikiongeza uvumbuzi mmoja hadi mwingine ili kwamba nipate ufafanuzi wa ukweli.
28 Èeho pak přesto hledala duše má, však jsem nenalezl: Muže jednoho z tisíce našel jsem, ale ženy mezi tolika jsem nenalezl.
Hii ndiyo bado natafuta, lakini bado sijapata. Sikupata mwanamme mmoja mwenye haki miongoni mwa elfu, lakini sikupata mwanamke miongoni mwa wale wote.
29 Obzvláštně pohleď i na to, což jsem nalezl: Že učinil Bůh člověka dobrého, ale oni následovali smyšlínek rozličných.
Nimegundua hili: kwamba Mungu alimuumba binadamu akiwa mnyoofu, lakini wametoka katika hali ya unyofu wakitafuta magumu mengi.

< Kazatel 7 >