< 2 Timoteovi 3 >
1 Toto pak věz, že v posledních dnech nastanou časové nebezpeční.
Lakini fahamu hili: katika siku za mwisho kutakuwa na nyakati ngumu.
2 Nebo nastanou lidé sami sebe milující, peníze milující, chlubní, pyšní, zlolejci, rodičů neposlušní, nevděční, bezbožní,
kwa sababu watu watakuwa wenye kujipenda wenyewe, wenye kupenda fedha, wenye kujisifu, wenye majivuno, wenye dhihaka, wasiotii wazazi wao, wasiokuwa na shukurani na waovu.
3 Nelítostiví, smluv nezdrželiví, utrhači, nestředmí, plaší, kterýmž nic dobrého milo není,
Wasio na upendo wa asili, wasiotaka kuishi kwa amani na yeyote, wachonganishi, wasingiziaji, wasioweza kujizuia, wenye vurugu, wasiopenda mema.
4 Zrádci, přívažčiví, nadutí, rozkoší milovníci více nežli Boha,
Watakuwa wasaliti, wakaidi, wenye kujipenda wenyewe na wapenda anasa kuliko kumpenda Mungu.
5 Mající způsob pobožnosti, ale moci její zapírajíce, a od takových se odvracuj.
Kwa nje watakuwa na sura ya ucha Mungu, lakini wataikana nguvu yake. Jiepushe na watu hao.
6 Nebo z těch jsou i ti, kteříž nacházejí do domů, a jímajíce, vodí ženky obtížené hříchy, jenž vedeny bývají rozličnými žádostmi,
Kwa kuwa baadhi yao ni wanaume wanaoingia kwenye familia za watu na kushawishi wanawake wajinga. Hawa ni wanawake waliojawa dhambi na wenye kuongozwa na tamaa za kila aina.
7 Kteréž vždycky se učí, ale nikdy ku poznání pravdy přijíti nemohou.
Wanawake hawa hujifunza siku zote, lakini kamwe hawawezi kuufikia ufahamu wa ile kweli.
8 Jakož zajisté Jannes a Jambres zprotivili se Mojžíšovi, tak i tito protiví se pravdě, lidé na mysli porušení a při víře spletení.
Kama vile ambavyo Yane na Yambre walisimama kinyume na Musa. Kwa njia hii walimu hawa wa uongo husimama kinyume na kweli. Ni watu walioharibiwa katika fikira zao, wasiokubalika kuhusiana na imani.
9 Ale nebudouť více prospívati. Nebo nemoudrost jejich zjevná bude všechněm, jako i oněchno byla.
Lakini hawataendelea mbali. Kwa kuwa upumbavu wao utawekwa wazi kwa watu wote, kama ulivyokuwa wa wale watu.
10 Ale ty jsi došel mého učení, způsobu života mého, úmyslu, víry, snášelivosti, lásky, trpělivosti,
Lakini wewe umeyafuata mafundisho yangu, mwenendo wangu, makusudi yangu, imani yangu, uvumilivu wangu, upendo wangu na ustahimilivu wangu,
11 Protivenství, utrpení, kteráž na mne přišla v Antiochii, v Ikonii, a v Lystře; kterážto protivenství snášel jsem, ale ze všech vysvobodil mne Pán.
mateso, maumivu na yaliyonipata kule Antiokia, Ikonio na Listra. Niliyavumilia mateso. Bwana aliniokoa katika yote hayo.
12 A takž i všickni, kteříž chtějí zbožně živi býti v Kristu Ježíši, protivenství míti budou.
Wote wanaotaka kuishi katika maisha ya kumcha Mungu katika Kristo Yesu watateswa.
13 Zlí pak lidé a svůdcové prospívati budou ze zlého v horší, i jiné v blud uvodíce, i sami bludem pojati jsouce.
Watu waovu na wadanganyifu watazidi kuwa waovu zaidi. Watawapotosha wengine. Wao wenyewe wamepotoshwa.
14 Ale ty zůstávej v tom, čemužs se naučil a cožť jest svěřeno, věda, od kohos se naučil.
Lakini wewe, dumu katika mambo uliyojifunza na kuyaamini kwa uthabiti. Kwa kuwa unajua umejifunza kwa nani.
15 A že hned od dětinství svatá Písma znáš, kteráž tě mohou moudrého učiniti k spasení skrze víru, kteráž jest v Kristu Ježíši.
Unatambua ya kuwa tangu utotoni mwako uliyajua maandiko matakatifu. Haya yanaweza kukuhekimisha kwa ajili ya wokovu kwa njia ya imani katika kristo Yesu.
16 Všeliké zajisté Písmo od Boha jest vdechnuté, a užitečné k učení, k trestání, k napravování, k správě, kteráž náleží k spravedlnosti,
Kila andiko limetiwa pumzi na Mungu. Linafaa kwa mafundisho yenye faida, kwa kushawishi, kwa kurekebisha makosa, na kwa kufundishia katika haki.
17 Aby byl dokonalý člověk Boží, ke všelikému skutku dobrému hotový.
Hii ni kwamba mtu wa Mungu awe kamili, akiwa amepewa nyenzo zote kwa ajili ya kutenda kila kazi njema.