< 2 Kronická 35 >

1 Slavil také Joziáš v Jeruzalémě velikunoc Hospodinu, a zabili beránka velikonočního čtrnáctého dne měsíce prvního.
Yosia asherehekea Pasaka kwa ajili ya Yahwe katika Yerusalemu, na wakachinja wanakondoo katika siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza.
2 A postaviv kněží v strážech jejich, utvrdil je v přisluhování domu Hospodinova.
Akawaweka makauhuni katika nafasi zao na akawatia moyo katika hudumza za nyumba ya Yahwe.
3 I řekl Levítům, kteříž připravovali za všecken lid Izraelský věci svaté Hospodinu: Vneste truhlu svatosti do domu, kterýž ustavěl Šalomoun syn Davidův, král Izraelský. Nebudeť vám břemenem na ramenou. A tak nyní služte Hospodinu Bohu svému a lidu jeho Izraelskému.
Akasema kwa Walawi waliowafundisha Israeli wote na waliokuwa wamewekwa wakifu kwa Yahwe. “Liwekeni sanduka takatifu katika nyumba ambayo Selemani mwana wa Daudi, mfalme wa Israeli aliijenga. Msilibebe kuzunguka nalo tena mabegani mwenu. Sasa mwabuduni Yahwe Mungu wenu, na watumikieni watu wake Israeli.
4 A připravte se po čeledech otců svých, po třídách svých, tak jakž nařídil David král Izraelský, a podlé nařízení Šalomouna syna jeho.
Jikusanyeni wenyewe kwa majina ya nyumba za babu zenu na zamu zenu, mkifuata maelekezo ya Daudi, mfalme wa Israeli, na yale ya Selemani, mwaye.
5 A stůjte v svatyni podlé rozdílu čeledí otcovských, bratří národu svého, a podlé rozdělení každé čeledi otcovské Levítů.
Simeni katika sehemu takatifu, mkichukua nafasi zenu kwa zamu zenu ndani ya nyumba za mababu wa bdugu zenu, uzao wa watu, na mchukue sehemu zenu kwa zamu zenu ndani ya nyumba za mababu wa Walawi.
6 A tak zabíte beránka, a posvěťte se, a připravte bratřím svým, chovajíce se vedlé slova Hospodinova vydaného skrze Mojžíše.
Chinjeni wanakondoo wa Paska, jitakaseni wenyewe, andaeni wankondoo kwa ajili ya ndugu zenu, kufanya sawa sawa na neno la Yahwe ambalo lilitolewa kwa mkono wa Musa”.
7 Daroval pak Joziáš všemu množství z stáda beránků a kozelců, vše k obětem velikonočním, podlé toho všeho, jakž postačovalo, v počtu třidcet tisíců, a skotů tři tisíce, to vše z statku královského.
Yosia akawapa watu wote wanakondoo elfu thelathini na wanambuzi kutoka katika makundi kwa ajili ya sadaka za Pasaka kwa wote walikuwepo. Pia akatoa ng'ombe dume elfu tatu; hawa walikuwa kutoka katika mali ya mfalame.
8 Knížata jeho také k lidu, kněžím i Levítům štědře se ukázali: Helkiáš, Zachariáš a Jechiel, přední v domě Božím, dali kněžím k obětem velikonočním dva tisíce a šest set bravů a skotů tři sta.
Viongozi wake wakatoa sadaka za hiari kwa watu, makuhani, na Walawi. Hilki, Zekaria, na Yeieli, viongozi wasimamizi wa nyumba ya Mungu, wakawapa makuhani ndama 2, 600 na maksai mia tatu kwa ajili ya matoleo ya Paska.
9 Konaniáš pak s Semaiášem a Natanaelem bratřími svými, též Chasabiáš, Jehiel, Jozabad, přední z Levítů, darovali jiným Levítům k obětem velikonočním pět tisíc bravů a skotů pět set.
Pia Konania, Shemaya na Nethaneli, ndugu zake, na Hashabia, Yeieli, na Yazabadi, mkuu wa Walawi, akawapa Walawi ndama elfu tano kwa ajili ya matoleo ya Pasaka.
10 A když připraveno bylo všecko k službě, stáli kněží na místě svém, a Levítové v třídách svých, podlé rozkazu královského.
Kwa hiyo huduma iliandaliwa, na makuhani wakasimama katika sehemu zao, pamoja na Walawi kwa zamu zao, kwa mjibu wa agizo la mfalme.
11 I zabíjeli beránky velikonoční, kněží pak kropili krví, berouce z rukou jejich, a Levítové vytahovali z koží.
Wakawachinja wanakondoo wa Pasaka, na makuhani wakainyunyiza damu waliyoipokea kutoka kwenye mikono ya Walawi, na Walawi wakawachuna wanakondoo.
12 Tedy oddělili zápal, aby dali lidu podlé rozdělení domů čeledí otcovských, tak aby obětováno bylo Hospodinu, jakž psáno jest v knize Mojžíšově. Tolikéž i s voly učinili.
Wakaziondoa sadaka za kuteketezwa, ili kuzisambaza katika makundi ya nyumba za mababu wa watu, ili wamtolee Yahwe, kama ilivyoandikwa katika Kitabu cha Musa. Wakafanya vile vile kwa wale ng'ombe dume.
13 I pekli beránky velikonoční ohněm podlé obyčeje, ale jiné věci posvěcené vařili v hrncích, v kotlících a v pánvicích, a rozdávali rychle všemu lidu.
Wakawaoka kwa moto wanakondoo wa Pasaka wakifuata maelekezo, kuhusu sadaka takatifu, walizichemsha kwenye vyungu, masufuria na makaangoni, na haraka wayapeleka kwa watu.
14 Potom pak připravili sobě a kněžím. Nebo kněží, synové Aronovi, zápaly a tuky až do noci obětovali, protož Levítové připravili sobě i kněžím, synům Aronovým.
Baadaye waliandaa sadaka kwa ajili yao wenyewe na kwa ajili ya makuhani, kwa sababu makuhani, uzao wa Haruni, walikuwa wametingwa katika kazi ya kutoa sadaka za kuteketezwa na za mafuta hadi usiku ulipoingia, kwa hiyo Walawi wakaandaa sadaka kwa ajili yao wenyewe na kwa ajili ya makuhani, wana wa Haruni.
15 Též i zpěváci, synové Azafovi, stáli na místě svém podlé rozkázaní Davidova Azafovi, Hémanovi i Jedutunovi, proroku královskému, vydaného. Vrátní také při jedné každé bráně neměli odcházeti od své povinnosti, pročež bratří jejich Levítové jiní strojili jim.
Waimbaji, wana wa Asafu, walikuwa katika nafasi zao, kama ilivyoagiwa na Daudi, Asafu, Hemani, na Yeduthuni, mwonaji wa mfalme, na walinzi walikuwa katika kila lango. Hawakutakiwa kuviacha vituo vyao, kwa sababu ndugu zao Walawi walifanya maandalizi kwa ajili yao.
16 A tak nastrojena byla všecka služba Hospodinova v ten den, v slavení hodu beránka a obětování oběti zápalné na oltáři Hospodinovu, podlé rozkázaní krále Joziáše.
Kwa hiyo, wakati huo huduma yote ya Yahwe ilifanyika kwa ajili ya kusherekea Pasaka na kutoa sadaka za kuteketezwa juu ya madhabahu ya Yahwe, Kama alivyoamuru mfalme Yosia.
17 I slavili synové Izraelští, což se jich našlo, hod beránka v ten čas a slavnost přesnic za sedm dní.
Watu wa Israeli ambao walikuwepo wakaishika Sabato wakati huo, na kisha Sikukuu ya Mikate isiyochachwa kwa siku saba.
18 Nebyla pak slavena velikanoc té podobná v Izraeli ode dnů Samuele proroka, aniž který z králů Izraelských slavil hodu beránka podobného tomu, kterýž slavil Joziáš s kněžími a Levíty, i se vším lidem Judským a Izraelským, což se ho našlo, i s obyvateli Jeruzalémskými.
Pasika kama hiyo haijafanyika tena katika Israeli tangu siku za nabii Samweli, wala hakuna mfalme yeyote miongoni mwa wafalme wa Israeli ambaye amewahi kusherekea Pasaka kama Yosia alivyofanya, pamoja na makuhani, Walawi, na watu wote wa Yuda na Israeli waliokuwepo, na wakaaji wote wa Yerusalemu.
19 Osmnáctého léta kralování Joziášova slaven byl ten hod beránka.
Pasaka hii ilitunzwa ndani ya miaka kumi na nane ya utawala wa Yosia.
20 Potom po všem, když již spravil Joziáš dům Boží, přitáhl Nécho král Egyptský, aby bojoval proti Charkemis podlé Eufraten, Joziáš pak vytáhl proti němu.
Baada ya haya yote, baada ya Yosia kuliweka hekalu katika utaratibu, Neko, mfalme wa Misiri, akaenda juu kupigana dhidi ya Karkemist karibu na mto Frati, na Yosia akaenda kupigana juu yake.
21 Kterýž ač poslal k němu posly, řka: Já nic nemám s tebou činiti, králi Judský. Ne proti tobě, slyš ty, dnes táhnu, ale proti domu, kterýž se mnou bojuje, kamž mi rozkázal Bůh, abych pospíšil. Nebojuj s Bohem, kterýž se mnou jest, ať tě neshladí:
Lakini Niko akatuma wajumbe kwake, akisema, “Nikufanye nini, mfalme wa Yuda? Leo siji kinyume nawe, lakini dhidi ya nyumba ambayo nafanya vita nayo. Mungu ameniamuru kuwahi, hivyo acha kumwingilia Mungu, ambaye yuko pamoja nami, la sivyo atakuangamiza.”
22 Joziáš však neodvrátil tváři své od něho, ale aby bojoval s ním, změnil oděv svůj, aniž uposlechl slov Néchových, pošlých z úst Božích. A tak přitáhl, aby se s ním potýkal na poli Mageddo.
Hata hivyo, Yosia alipuuzia kurudi nyuma. Akajibadili ili apigane naye. Hakusikiliza maneno ya Neko ambayo yalikuja kutoka kwenye kinywa cha Mungu; hivyo akaenda kupigana kataika bonde la Megido.
23 I postřelili střelci krále Joziáše. Tedy řekl král služebníkům svým: Odvezte mne, neboť jsem velmi nemocen.
Wapiga upinde wakampiga Mfalme Yosia, na mfalme akawaambia watumishi wake, “Niondoeni hapa, kwa maana nimejeruhiwa vibaya.”
24 Takž přenesli jej služebníci jeho z toho vozu, a vložili ho na druhý vůz, kterýž měl, a dovezli jej do Jeruzaléma. I umřel a pochován jest v hrobích otců svých. I plakal všecken Juda a Jeruzalém nad Joziášem.
Kwa hiyo watumishi wake wakamtoa nje ya gari, na kumuweka katika gari lake la tahadhari. Wakampeleka Yerusalemu, ambako alikufa. Alzikwa katika makaburi ya babu zake. Yuda wote na Yerusalemu wakamwomboleza.
25 Naříkal také i Jeremiáš nad Joziášem, a zpívávali všickni zpěváci a zpěvakyně v naříkáních svých o Joziášovi až do dnešního dne, kteráž uvedli v obyčej Izraeli. A ta jsou zapsána v pláči Jeremiášovu.
Yeremia akamwomboleza Yosia; waimbaji wote wa kiume na wa kike wakaomboleza kuhusu Yosia hata leo. Nyimbo hizi zikawa desturi katika Israeli; tazama, zimeandikwa katika nyimbo za maombolezo.
26 Jiné pak věci Joziášovy, i pobožnost jeho, jakž napsáno jest v zákoně Hospodinově,
Kwa mambao mengine kuhusu Yosia, na matendo yake mema aliyoyafanya katika utii kwa kile kilichoandikwa katika sheria ya Yahwe—
27 I skutkové jeho první i poslední, to vše zapsáno jest v knize o králích Izraelských a Judských.
na matendo yake, kutoka mwanzo hadi mwisho, yameandikwa katika kitabu cha wafalme wa Yuda na Israeli.

< 2 Kronická 35 >