< 2 Kronická 31 >

1 A když se to všecko dokonalo, vyšed všecken lid Izraelský, což ho koli bylo v městech Judských, stroskotali modly a posekali háje, a pobořili výsosti a oltáře po vší zemi Judské a Beniamin, i v Efraim a Manasses, až vše dokonali. Potom navrátili se všickni synové Izraelští, jeden každý k vládařství svému do města svého.
Sasa wakati haya yote yalipokwisha, watu wote wa Israeli waliokuwepo pale wakaenda huko kwenye mji wa Yuda na wakazivunja vipande vipande nguzo za mawe na wakazikata nchi za maashera, na wakazibomoa sehemu za juu na madhabahu katika Yuda yote na Benyamini, na katika Efraimu na Manase, hadi walipoziharibu zote. Kisha watu wote wa Israeli wakarudi, kila mtu kwenye mali zake na kwenye mji wake.
2 Ezechiáš pak zase zřídil třídy kněží a Levítů podlé tříd jejich, jednoho každého podlé povinnosti přisluhování jeho, kněží a Levíty k obětem zápalným a pokojným, aby přisluhovali, a oslavovali i chválili Hospodina v branách vojska jeho.
Hezekia akayapanga makundi ya makuhani na Walawi wakajipanaga kwa makundi yao, kila mtu akapangwa katika kazi yake, wote makuhani na Walawi. Aliwapanga wafanye sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani, kuhudumu, kutoa shukrani, na kusifu katika malango ya hekalu la Yahwe.
3 Též i částka z statku královského dávána k obětování zápalů, k zápalům jitřním i večerním, též k zápalům sobotním, a na novměsíce i na slavnosti výroční, jakož psáno jest v zákoně Hospodinově.
Pia akawapanga katika sehemu ya mfalme kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa kutoka katika mali zake, hiyo ni kwa ajili ya, sadaka za kuteketezwa za asubuhi na jioni, na sadaka za kuteketezwa kwa ajili ya siku za Sabato, mwezi mpya, na sikukuu zisizobadilika, kama ilivyokuwa imeandikwa katika sheria ya Yahwe.
4 Přikázal také lidu přebývajícímu v Jeruzalémě, dávati díl kněžím a Levítům, aby tím ochotnější byli v zákoně Hospodinově.
Vilevile, akawaamuru watu walioishi Yerusalemu kutoa fungu kwa ajili ya makuhani na Walawi, ili kwamba wawe makini katika kuitii sheria ya Yahwe.
5 A jakž vyšel tento rozkaz, snesli synové Izraelští mnoho prvotin obilé, mstu, oleje, ovoce palmového i všech úrod polních, a desátek ze všech věcí hojný přinesli.
Mapema mara baada ya amri kutolewa, watu wa Israeli kwa ukarimu wakatoa malimbuko ya nafaka, divai mpya, mafuta. asali, na kila kitu kutoka kwenye mavuno ya shamba. Wakaleta ndani fungu la kumi la kila kitu; ambavyo vilikuwa kiasi kikubwa sana.
6 Synové také Izraelští a Judští, kteříž bydlili v městech Judských, i oni desátky z skotů a bravů, a desátky svaté, posvěcené Hospodinu Bohu svému, snášeli a skládali po hromadách.
Watu wa Israeli na Yuda ambao waliishi katika mji wa Yuda pia wakaleta zaka za ng'ombe na kondoo, na zaka za vitu vitakatifu amabavyo vilikuwa vimewekwa wakfu kwa Yahwe Mungu wao, na wakavifunga katika marundo.
7 Třetího měsíce počali zakládati těch hromad, a měsíce sedmého dokonali.
Ilikuwa mwezi wa tatu wakati walipoanza kufunga michango yao katika marundo, na wakamaliza mwezi wa saba.
8 Přišed pak Ezechiáš s knížaty, a vidouce hromady ty, dobrořečili Hospodinu a lidu jeho Izraelskému.
Hezekia na viongozi walipokuja na kuyaona marundo, wakambariki Yahwe na watu wake Israeli.
9 I tázal se Ezechiáš kněží a Levítů o těch hromadách.
Kisha Hezekia akawauliza makuhani na Walawi kuhusu marundo.
10 Jemuž odpověděl Azariáš kněz nejvyšší z domu Sádochova, řka: Jakž počali těch obětí přinášeti do domu Hospodinova, jedli jsme a nasyceni jsme, a ještě zůstává hojně; nebo Hospodin požehnal lidu svému, že toho tak mnoho pozůstalo.
Azaria, kuhani mkuu, wa nyumba ya Zadoki, akamjibu na akasema, “Tangu watu walipoanza kuleta matoleo katika nyumba ya Yahwe, tumekula na tulikuwa navyo vya kutosha, tulibakiza vingi, kwa maana Yahwe amewabariki watu wake. kilichokuwa kimebaki ni kiasi kikubwa hiki hapa.”
11 Tedy rozkázal Ezechiáš nadělati špižírní při domu Hospodinovu. I nadělali,
Kisha Hezekia akaagiza vyumba vya kuhifadhia viandaliwe katika nyumba ya Yahwe, na wakaviandaa.
12 A snášeli tam věrně oběti a desátky, i věci posvěcené, a nad tím byl za správce Konaniáš Levíta, a Simei bratr jeho, druhý.
Kisha kwa uaminifu wakayaleta ndani matoleo, zaka, na vitu ambavyo ni vya Yahwe. Konania, Mlawi, alikuwa meneja mkuu wa hivyo vitu, na Shimei, ndu yake, alikuwa wa pili kwake.
13 Jechiel pak a Azaziáš, Nachat a Azael, a Jerimot a Jozabad, Eliel, Izmachiáš, Machat a Benaiáš, přivzati za úředníky od Konaniáše a Simei bratra jeho, podlé poručení Ezechiáše krále, a Azariáše knížete domu Božího.
Yehieli, Azaria, Nahathi, Asaheli, na Yerimothi, Yazabadi, Elieli, Ismakia, Mahathi, na Benania walikuwa wasimamizi chini ya mkono wa Konania na Shimei ndu yake, kwa uteuzi wa Hezekia, mfalme, na Azaria mwanagalizi mkuu wa nyumba ya Mungu.
14 Chóre pak syn Imny, Levíta, vrátný brány východní, byl nad tím, což dobrovolně obětovali Bohu, aby rozděloval oběti Hospodinovy a věci svatosvaté.
Kore mwana wa Imna Mlawi, bawabu katika mlango wa mashariki, alikuwa juu ya sadaka za hiari za Mungu, msimamizi wa kugawa sadaka kwa Yahwe na sadaka takatifu kuliko zote.
15 Jemuž ku pomoci byli Eden, Miniamin, Jesua, Semaiáš, Amariáš a Sechaniáš po městech kněžských, muži hodnověrní, aby rozdělovali bratřím svým díly, jakž velikému, tak malému,
Chini yake walikuwepo Edeni, Miniamini, Yoshua, Shemai, Amaaria, na Shekania, katika miji ya makuhani. Wakazijaza ofisi za uaminifu, ili kutoa sadaka hizi kwa ndugu zao fungu kwa fungu, kwa wote walio muhimu na wasiomuhimu.
16 (Mimo ty, kteříž z pokolení jejich byli pohlaví mužského, od tříletých a výše), každému vcházejícímu do domu Hospodinova ku povinnostem denním, podlé úřadů jejich, a podlé služby jich i podlé třídy jejich,
Pia wakatoa kwa wale wanaume wenye umri wa miaka mitatu na kuendelea, amabao walikuwa wameandikwa kataika kaitatu cha babu zao walioiingia nyumba ya Yahwe, kwa mujibu wa ratiba ya kila siku, kuifanya kazi katika ofisi zao na zamu zao. (Mandishi ya kale yanasema hivi: “badala ya wanaume wa umri wa miaka mitatu na kuendelea”, wanaume wa mika thelathini na kuendelea.”).
17 A těm, kteříž počteni byli v rodině kněžské po čeledech otců jejich, i Levítům, ode dvadcítiletého a výše, podlé služby jich v třídách jejich,
Waliwaganya makuhani kwa mujibu wa kumbu kumbu za babu zao, na hivyo hivyo kwa Walawi wenye umri wa miaka ishirini na zaidi, kwa mujibu wa ofisi zao na zamu zao.
18 Též i rodině jejich, na všecky maličké jich, ženy jejich, syny jejich i dcery jejich, a všemu množství; nebo dověrně posvětili se v svatosti.
Waliwajumuisha watoto wao wadogo wote, wake zao, wana wao, na binti zao, katika jamii yote, kwa maana walikuwa waaminifu katika kujitunza wenye watakatifu.
19 Synům také Aronovým kněžím v předměstích měst jejich po všech městech ti muži, kteříž zejména zaznamenáni jsou, dávali díly každému pohlaví mužského z kněží i každému z rodiny Levítů.
Kwa maana makuhani, uzao wa Haruni, amabao walikuwa katika mashamba ya vijiji wakimilikiwa na miji yao, au katika kila mji, palikuwa na watu walioteuliwa kwa majina kutoa mafungu kwa ajili ya wanaume miongoni mwa makuhani, na kwa wote waliokuwa wameorodheshwa katika kumbukumbu za babu zao kuwa miongoni mwa Walawi.
20 A tak učinil Ezechiáš ve všem Judstvu, a činil, což dobrého, přímého a pravého jest před Hospodinem Bohem svým.
Hezekia alifanya haya katika Yuda yote. Akakamilisha kilichokuwa chema, haki, na uaminifu mbele za Yahwe Mungu wake.
21 A ve všelikém díle, kteréžkoli začal při službě domu Božího, a v zákoně i v přikázaní, hledaje Boha svého, celým srdcem svým to činil, a šťastně se mu vedlo.
Katika kila jambo ambalo alianzisha katika ibada ya nyumba ya Mungu, sheria, na zile amri, kumtafuta Mungu, alikifanya kwa moyo wake wote, na alifanikiwa.

< 2 Kronická 31 >