< 2 Kronická 19 >

1 Když se pak navracoval Jozafat král Judský do domu svého v pokoji do Jeruzaléma,
Yehoshafati mfalme wa Yuda akarudi salama nyumbani kwake Yerusalemu.
2 Vyšel jemu vstříc Jéhu syn Chananův, prorok, a řekl králi Jozafatovi: Zdaliž jsi bezbožnému měl pomáhati, a ty, jenž nenávidí Hospodina, milovati? Z té příčiny proti tobě jest hněv Hospodinův.
Kisha Yehu mwana wa Hanani, mwonaji, akatoka kukutana naye na akasema kwa mfalme Yehoshafati, “Unapaswa kuwa unawasaidia waovu? Unapaswa kuwapenda wanaomchukia Yahwe? Kwa ajili ya tendo hili, ghadhabu toka kwa Yahwe iko juu yako.
3 Ale však nalezly se věci dobré při tobě, že jsi vysekal háje z země, a nastrojil srdce své, abys hledal Boha.
Aidha, kuna baadhi ya mema ya kuonekana ndani yako, kwamba umeziondosha Maashera nje ya nchi, na umeukaza moyo wako kumtafuta Mungu.”
4 I bydlil Jozafat v Jeruzalémě, a zase projel lid od Bersabé až k hoře Efraim, a navrátil je k Hospodinu Bohu otců jejich.
Yehoshafati akaishi katika Yerusalemu; na akaenda nje tena miongoni mwa watu wa Beer- sheba hadi nchi ya kilima ya Efraimu na akawarudisha kwa Yahwe, Mungu wa baba zao.
5 A ustanovil soudce v zemi po všech městech Judských hrazených, v jednom každém městě.
Akaweka waamuzi katika nchi katika miji yote ya Yuda yenye angome, mji kwa mji.
6 Tedy řekl soudcům: Vizte, jak co činíte; nebo nevedete soudu za člověka, ale za Hospodina, kterýž vám přítomen jest při vykonávání soudu.
Akawaambia waamuzi, “Zingatieni mnachopaswa kufanya, kwa sababu hamuamui kwa ajili ya mwanadamu, bali kwa ajili ya Yahwe; yuko pamoja nanyi katika kazi ya kuamua,
7 A protož budiž bázeň Hospodinova při vás. Ostříhejte toho a čiňte tak, neboť není u Hospodina Boha našeho nepravosti, tak aby šetřiti měl osob, aneb přijímati dary.
Basi sas iacheni hofu ya Mungu iwe juu yenu. Iweni waangaliafu mnapoamua, kwa maana hakuna uovu wa Yahwe Mungu wetu, wala hakuna upendeleo wala hongo.”
8 Tak i v Jeruzalémě ustanovil Jozafat některé z Levítů a z kněží, a z knížat otcovských, čeledí Izraelských, k soudu Hospodinovu a k rozepřem těch, kteříž by se obraceli o to do Jeruzaléma.
Vile vile, katika Yerusalemu Yehoshafati akateua baadhi ya Walawi na makuhani, na baahdhi ya viongozi wa nyumba za mababu wa Israeli, kwa ajili ya kufanya hukumu kwa ajili ya Yahwe, na kwa ajili ya migogoro. Wakaishi katika Yerusalemu.
9 A přikázal jim, řka: Takž dělejte v bázni Hospodinově, u víře a v srdci upřímém.
Akawaelekeza, akisema, “Lazima mtumike kwa heshima kwa ajaili ya Yahwe, kwa uaminifu, na na kwa moyo wenu wote.
10 A při všeliké rozepři, kteráž by přišla před vás od bratří vašich, kteříž bydlí v městech svých, buď mezi krví a krví, mezi zákonem a přikázaním, ustanoveními a soudy, napomenete jich, aby nehřešili proti Hospodinu, tak aby nepřišla prchlivost na vás, ani na bratří vaše. Tak čiňte, a neuběhnete v hřích.
Kila mgogoro wowote utakapokuja kwenu kutoka kwa ndugu zenu wanaoishi katika miji yao, iwe inahusu mauji, iwe inhusu torati na amri, lazim muwaonye, ili kwamba wasiwe na hatia mbele za Yahwe, la sivyo ghadhabu itakuja juu yenu na juu ya ndugu zenu. Mnapaswa kufanya hivyo na hamtakuwa na hatia
11 A aj, Amariáš, kněz nejvyšší, mezi vámi bude ve všech věcech Hospodinových, a Zebadiáš syn Izmaelův, vývoda domu Judova, ve všeliké věci královské. Máte také Levíty správce mezi sebou; posilňtež se a zmužile sobě počínejte, a budeť Hospodin s tím, kdož bude dobrý.
Ona, Amaria kuhani mkuu yuko juu yenu katika mambo yote ya Yahwe. Zebadia mwana wa Ishmaeli, kiongozi wa nyumba ya Yuda, ni kiongozi katika yote katika mambo yote ya mfalme. Pia, Walawi watakuwa wasimamizi wakiwatumikia ninyi. Muwe hodari na tiini maelekezo yenu, na Yahwe awe moja nao walio wema.”

< 2 Kronická 19 >