< 2 Kronická 19 >

1 Když se pak navracoval Jozafat král Judský do domu svého v pokoji do Jeruzaléma,
Mfalme Yehoshafati wa Yuda akarudi salama kwenye jumba lake la kifalme huko Yerusalemu.
2 Vyšel jemu vstříc Jéhu syn Chananův, prorok, a řekl králi Jozafatovi: Zdaliž jsi bezbožnému měl pomáhati, a ty, jenž nenávidí Hospodina, milovati? Z té příčiny proti tobě jest hněv Hospodinův.
Yehu mwonaji, mwana wa Hanani, akapanda kwenda kuonana naye akamwambia Mfalme Yehoshafati, “Je, utawasaidia waovu na kuwapenda wale wanaomchukia Bwana? Kwa sababu ya jambo hili, ghadhabu ya Bwana iko juu yako.
3 Ale však nalezly se věci dobré při tobě, že jsi vysekal háje z země, a nastrojil srdce své, abys hledal Boha.
Hata hivyo, kuna mema yaliyoonekana kwako, kwa kuwa umeondoa katika nchi nguzo za Ashera na umeukaza moyo wako katika kumtafuta Mungu.”
4 I bydlil Jozafat v Jeruzalémě, a zase projel lid od Bersabé až k hoře Efraim, a navrátil je k Hospodinu Bohu otců jejich.
Yehoshafati aliishi huko Yerusalemu, naye akatoka akaenda tena miongoni mwa watu, kuanzia Beer-Sheba hadi nchi ya vilima ya Efraimu na kuwageuza wakamrudia Bwana, Mungu wa baba zao.
5 A ustanovil soudce v zemi po všech městech Judských hrazených, v jednom každém městě.
Akawaweka waamuzi katika nchi, kwenye miji yote ya Yuda yenye maboma.
6 Tedy řekl soudcům: Vizte, jak co činíte; nebo nevedete soudu za člověka, ale za Hospodina, kterýž vám přítomen jest při vykonávání soudu.
Akawaambia, “Angalieni kwa makini yale mtendayo, kwa kuwa hamkuhukumu kwa ajili ya mwanadamu bali kwa ajili ya Bwana ambaye yu pamoja nanyi kila mtoapo hukumu.
7 A protož budiž bázeň Hospodinova při vás. Ostříhejte toho a čiňte tak, neboť není u Hospodina Boha našeho nepravosti, tak aby šetřiti měl osob, aneb přijímati dary.
Basi sasa hofu ya Bwana na iwe juu yenu. Hukumuni kwa uangalifu, kwa kuwa kwa Bwana Mungu wetu hakuna jambo lisilo la haki, upendeleo, wala rushwa.”
8 Tak i v Jeruzalémě ustanovil Jozafat některé z Levítů a z kněží, a z knížat otcovských, čeledí Izraelských, k soudu Hospodinovu a k rozepřem těch, kteříž by se obraceli o to do Jeruzaléma.
Pia huko Yerusalemu, Yehoshafati akaweka baadhi ya Walawi, makuhani na viongozi wa jamaa za Waisraeli ili kutoa hukumu kwa ajili ya Bwana na kuamua magomvi. Nao waliishi huko Yerusalemu.
9 A přikázal jim, řka: Takž dělejte v bázni Hospodinově, u víře a v srdci upřímém.
Akawapa maagizo haya: “Ni lazima mtumike kwa uaminifu na kwa moyo wote katika kicho cha Bwana.
10 A při všeliké rozepři, kteráž by přišla před vás od bratří vašich, kteříž bydlí v městech svých, buď mezi krví a krví, mezi zákonem a přikázaním, ustanoveními a soudy, napomenete jich, aby nehřešili proti Hospodinu, tak aby nepřišla prchlivost na vás, ani na bratří vaše. Tak čiňte, a neuběhnete v hřích.
Katika kila shauri lifikalo mbele yenu kutoka kwa ndugu zenu wale waishio katika miji, ikiwa ni la umwagaji wa damu au mambo mengine yahusuyo sheria, amri, hukumu au maagizo, inawapasa ninyi kuwaonya kwamba wasiingie katika hatia dhidi ya Bwana, la sivyo ghadhabu yake itakuja juu yenu na ndugu zenu. Tendeni hivyo, nanyi hamtatenda dhambi.
11 A aj, Amariáš, kněz nejvyšší, mezi vámi bude ve všech věcech Hospodinových, a Zebadiáš syn Izmaelův, vývoda domu Judova, ve všeliké věci královské. Máte také Levíty správce mezi sebou; posilňtež se a zmužile sobě počínejte, a budeť Hospodin s tím, kdož bude dobrý.
“Amaria kuhani mkuu atakuwa juu yenu katika jambo lolote linalomhusu Bwana naye Zebadia mwana wa Ishmaeli, kiongozi wa kabila la Yuda, atakuwa juu yenu kwa jambo lolote linalomhusu mfalme, nao Walawi watatumika kama maafisa mbele yenu. Tendeni kwa ujasiri, naye Bwana atakuwa pamoja na wale watendao vyema.”

< 2 Kronická 19 >