< 1 Samuelova 4 >
1 I stalo se vedlé řeči Samuelovy všemu lidu Izraelskému. Nebo když vytáhl Izrael proti Filistinským k boji, a položili se při Eben-Ezer, Filistinští pak položili se v Afeku;
Neno la Samweli likawafikia Israeli wote. Basi Israeli wakatoka kupigana dhidi ya Wafilisti. Nao wakaweka kambi hapo Ebenezeri, na Wafilisti waliweka kambi yao huko Afeki.
2 A když se sšikovali Filistinští proti Izraelovi, a již se potýkali: poražen jest Izrael od Filistinských, tak že jich zbito v té bitvě na poli takměř čtyři tisíce mužů.
Nao Wafilisti walijipanga kwa ajili ya vita dhidi ya Waisraeli. Vita ilipopamba moto, Israeli ilishindwa na Wafilisti, wakauawa watu wapatao elfu nne kwenye uwanja wa vita.
3 I navrátil se lid do stanů, a řekli starší Izraelští: Proč nás dnes Hospodin porazil před Filistinskými? Vezměme k sobě z Sílo truhlu smlouvy Hospodinovy, ať přijde mezi nás, a vysvobodí nás z rukou nepřátel našich.
Watu walipokuja kambini, wazee wa Israeli walisema, “Kwa nini BWANA ametushinda leo mbele ya Wafilisti? Hebu tulilete hapa sanduku la ushuhuda wa BWANA kutoka Shilo, ili kwamba liwe hapa pamoja nasi, ili litufanye tuwe salama kutokana na nguvu za maadui zetu.”
4 Poslal tedy lid do Sílo, a vzali odtud truhlu smlouvy Hospodina zástupů, sedícího na cherubínech. Byli také tam dva synové Elí s truhlou smlouvy Boží, Ofni a Fínes.
Hivyo waliwatuma watu huko Shilo; kutokea huko walilibeba sanduku la ushuhuda wa BWANA wa majeshi, akaaye juu ya makerubi. Hofni na Finehasi, watoto wawili wa Eli, walikuwapo pamoja na lile sanduku la ushuhuda wa Mungu.
5 Když pak přinesena byla truhla smlouvy Hospodinovy do vojska, zkřikl všecken Izrael s velikým plésáním, až země vzněla.
Sanduku la ushuhuda wa BWANA lilipofika kambini, watu wote wa Israeli walipiga yowe, na nchi ikavuma.
6 Uslyševše pak Filistinští hluk plésání, řekli: Jaký jest to hlas výskání velikého tohoto v vojště Hebrejském? I poznali, že truhla Hospodinova přišla do vojska.
Wafilisti waliposikia kelele za mayowe, wakasema, “sauti hii ya mayowe katika kambi ya Waebrania inamaanisha nini?” Baadaye walitambua kwamba sanduku la BWANA limefika kambini.
7 Protož báli se Filistinští, když praveno bylo: Přišel Bůh do vojska jejich; a řekli: Běda nám, nebo nebylo prvé nic k tomu podobného.
Wafilisti waliogopa sana, “Mungu ameingia kambini.” Wakasema, “Ole wetu! Jambo kama hili halijawahi kutokea huko nyuma!
8 Běda nám! Kdo nás vysvobodí z ruky těch bohů silných? Tiť jsou bohové, kteříž zbili Egypt všelikou ranou i na poušti.
Ole wetu! Ni nani atatulinda dhidi ya nguvu za Mungu mwenye uwezo? Huyu ndiye Mungu aliyewashambulia Wamisri kwa aina tofauti za mapigo mengi jangwani.
9 Posilňte se a buďte muži, ó Filistinští, abyste nesloužili těm Hebrejským, jako oni sloužili vám; buďtež tedy muži a bojujte.
Enyi Wafilisti, iweni hodari, na fanyeni kiume, vinginevyo mtakuwa watumwa wa Waebrabia, kama walivyokuwa watumwa wenu. Fanyeni kiume, na piganeni nao.”
10 Bojovali tedy Filistinští, a poražen jest Izrael, a utíkali jeden každý do stanu svého. I byla ta porážka veliká velmi, nebo padlo z Izraele třidceti tisíc pěších;
Wafilisti walipigana, na Waisraeli wakashindwa. Kila mtu alikimbilia nyumbani kwake, na mauaji yalikuwa makubwa sana; maana askari wa Israeli elfu thelathini waendao kwa miguu vitani, walianguka.
11 Také truhla Boží vzata, a dva synové Elí zabiti, Ofni a Fínes.
Lile sanduku la Mungu lilichukuliwa, na watoto wa Eli, Hofni na Finehasi waliuawa.
12 Běže pak jeden Beniaminský z bitvy, přišel do Sílo téhož dne, maje roucho roztržené a hlavu prstí posypanou.
Mtu mmoja wa Benjamini alikimbia kutoka uwanja wa vita akaja Shilo siku iyo hiyo, aliwasili na mavazi yake yamechanika na matope kichwani pake.
13 Přišel tedy, a aj, Elí seděl na stolici při cestě, hledě, nebo srdce jeho lekalo se za truhlu Boží; a když všel muž ten, a oznámil v městě, kvílilo všecko město.
Alipofika, Eli alikuwa amekaa kitini pake karibu na barabara akitazama kwa sababu moyo wake ulitetemeka kwa ajili ya sanduku la Mungu. Mtu yule alipoingia mjini na kutoa taarifa, mji wote ulilia.
14 A uslyšev Elí hlas křiku toho, řekl: Jaký jest to hlas hřmotu tohoto? Muž pak ten pospíchaje, přiběhl, aby oznámil Elí.
Eli aliposikia kelele ya kilio kile, alisema, “Kilio hicho kina maana gani?” Kwa haraka mtu yule alikuja na kumweleza Eli.
15 (A byl Elí v devadesáti a osmi letech; oči také jeho byly již pošly, a nemohl viděti.)
Basi Eli alikuwa na umri wa miaka tisini na nane; macho yake yamepofuka, na hakuweza kuona.
16 I řekl muž ten k Elí: Já jdu z bitvy, z bitvy zajisté utekl jsem dnes. I dí jemu on: Co se tam stalo, můj synu?
Yule mtu akamwambia Eli, “Mimi ndiye nimechomoka kutoka vitani. Nimetoroka kutoka kwenye mapigano leo.” Eli akasema, “Mambo yalienda namna gani, mwanangu?”
17 Odpověděl ten posel a řekl: Utekl Izrael před Filistinskými, také i porážka veliká stala se v lidu, ano i oba synové tvoji zabiti jsou, Ofni a Fínes, a truhla Boží jest vzata.
Yule mtu aliyeleta hizo habari alijibu na kusema, “Israeli wamewakimbia Wafilisti. Pia watu wengi wameuwawa. Watoto wako, Hofni na Finehasi, wamekufa, na sanduku la Mungu limechukuliwa.”.
18 I stalo se, že jakž jmenoval truhlu Boží, spadl Elí s stolice nazpět při úhlu brány, a tak zlomiv šíji, umřel; nebo byl muž starý a těžký. On soudil Izraele čtyřidceti let.
Alipotamka sanduku la Mungu, Eli alianguka chali kutoka kwenye kiti chake karibu na mlango. akavunjika shingo lake, na kufariki, kwa sababu alikuwa mzee tena mzito. Naye alikuwa mwamuzi wa Israeli kwa miaka arobaini.
19 Nevěsta pak jeho, manželka Fínesova, jsuc těhotná a blízká porodu, uslyševši také tu pověst, že by truhla Boží vzata byla, a že umřel tchán její i muž její, sklonila se a porodila; nebo se obořily na ni úzkosti její.
Basi mkwewe, mke wa Finihasi, alikuwa mjamzito akikaribia kujifungua. aliposikia habari kwamba sanduku la Mungu limetekwa nyara na kwamba baba mkwe na mme wake wamefariki, alichuchumaa chini akajifungua, lakini utungu wake ulimzidi na ulimtaabisha sana.
20 A v ten čas, když ona umírala, řekly, kteréž stály při ní: Neboj se, však jsi porodila syna. Kteráž nic neodpověděla, aniž toho připustila k srdci svému.
Alipokaribia kufariki, wanawake waliokuwa wakimhudumia walisema, “Usiogope, maana umejifungua mtoto wa kiume.” Lakini hakuwajibu lolote au kuzingatia alichoambiwa.
21 I nazvala dítě Ichabod, řkuci: Přestěhovala se sláva z Izraele; proto že vzata byla truhla Boží, a umřel tchán i muž její.
Akamwita mtoto Ikabodi, akisema, “Utukufu umetoweka Israeli!” Kwa sababu sanduku la Mungu limetekwa nyara, na kwa sababu ya kifo cha baba mkwe na mme wake.
22 Protož řekla: Přestěhovala se sláva z Izraele, nebo vzata jest truhla Boží.
Na alisema, “Utukufu umetoweka kutoka Israeli, kwa sababu sanduku la Mungu limetekwa nyala.”