< Žalmy 96 >
1 Zpívejte Hospodinu píseň novou, zpívej Hospodinu všecka země.
Mwimbieni Bwana wimbo mpya; mwimbieni Bwana dunia yote.
2 Zpívejte Hospodinu, dobrořečte jménu jeho, zvěstujte den po dni spasení jeho.
Mwimbieni Bwana, lisifuni jina lake; tangazeni wokovu wake siku baada ya siku.
3 Vypravujte mezi národy slávu jeho, mezi všemi lidmi divy jeho.
Tangazeni utukufu wake katikati ya mataifa, matendo yake ya ajabu miongoni mwa mataifa yote.
4 Nebo veliký Hospodin, a vší chvály hodný, i hrozný jest nade všecky bohy.
Kwa kuwa Bwana ni mkuu mwenye kustahili kusifiwa kuliko wote; yeye ni wa kuogopwa kuliko miungu yote.
5 Všickni zajisté bohové národů jsou modly, ale Hospodin nebesa učinil.
Kwa maana miungu yote ya mataifa ni sanamu, lakini Bwana aliziumba mbingu.
6 Sláva a důstojnost před ním, síla i okrasa v svatyni jeho.
Fahari na enzi viko mbele yake; nguvu na utukufu vimo patakatifu pake.
7 Vzdejte Hospodinu čeledi národů, vzdejte Hospodinu čest i moc.
Mpeni Bwana, enyi jamaa za mataifa, mpeni Bwana utukufu na nguvu.
8 Vzdejte Hospodinu čest jména jeho, přineste dary, a vejděte do síňcí jeho.
Mpeni Bwana utukufu unaostahili jina lake; leteni sadaka na mje katika nyua zake.
9 Sklánějte se Hospodinu v okrase svatosti, boj se oblíčeje jeho všecka země.
Mwabuduni Bwana katika uzuri wa utakatifu wake; dunia yote na itetemeke mbele zake.
10 Rcete mezi pohany: Hospodin kraluje, a že i okršlek zemský upevněn bude, tak aby se nepohnul, a že souditi bude lidi spravedlivě.
Katikati ya mataifa semeni, “Bwana anatawala.” Ulimwengu ameuweka imara, hauwezi kusogezwa; atawahukumu watu kwa uadilifu.
11 Rozveseltež se nebesa, a plésej země, zvuč moře, i což v něm jest.
Mbingu na zishangilie, nchi na ifurahi; bahari na ivume, na vyote vilivyomo ndani yake;
12 Plésej pole a vše, což na něm, tehdáž ať prozpěvuje všecko dříví lesní,
mashamba na yashangilie, pamoja na vyote vilivyomo ndani yake. Kisha miti yote ya msituni itaimba kwa furaha;
13 Před tváří Hospodina; neboť se béře, béře se zajisté, aby soudil zemi. Budeť souditi okršlek světa v spravedlnosti, a národy v pravdě své.
itaimba mbele za Bwana kwa maana anakuja, anakuja kuihukumu dunia. Ataihukumu dunia kwa haki, na mataifa katika kweli yake.