< Príslovia 10 >
1 Syn moudrý obveseluje otce, ale syn bláznivý zámutkem jest matce své.
Mithali za Sulemani. Mwana mwenye hekima humfurahisha baba yake lakini mwana mpumbavu huleta majonzi kwa mama yake.
2 Neprospívají pokladové bezbožně nabytí, ale spravedlnost vytrhuje od smrti.
Hazina zilizolimbikizwa kwa uovu hakosa thamani, bali kwa kutenda haki hujilinda mbali na kifo.
3 Nedopustí lačněti Hospodin duši spravedlivého, statek pak bezbožných rozptýlí.
Yehova hawaachi wale watendao haki wapate njaa, bali hamu ya waovu huizuia.
4 K nouzi přivodí ruka lstivá, ruka pak pracovitých zbohacuje.
Mkono mlegevu humfanya mtu awe masikini, bali mkono wa mtu mwenye bidii hupata utajiri.
5 Kdo shromažďuje v létě, jest syn rozumný; kdož vyspává ve žni, jest syn, kterýž hanbu činí.
Mwana mwenye busara hukusanya mazao wakati wa kiangazi, bali ni aibu kwake alalaye wakati wa mavuno.
6 Požehnání jest nad hlavou spravedlivého, ale ústa bezbožných přikrývají ukrutnost.
Zawadi kutoka kwa Mungu zipo juu ya kichwa cha wale watendao haki; bali kinywa cha uovu hufunikwa kwa jeuri.
7 Památka spravedlivého požehnaná, ale jméno bezbožných smrdí.
Mtu atendaye haki anatufurahisha tunapomkumbuka, bali jina la mwovu litaoza.
8 Moudré srdce přijímá přikázaní, ale blázen od rtů svých padne.
Wale wenye akili hukubali maagiza, bali mpumbavu mwenye maneno mengi ataangamia.
9 Kdo chodí upřímě, chodí doufanlivě; kdož pak převrací cesty své, vyjeven bude.
Yeye anayetembea katika uadilifu hutembea katika usalama, bali yule anayepotosha njia zake, ataonekana.
10 Kdo mhourá okem, uvodí nesnáz; a kdož jest bláznivých rtů, padne.
Yeye ambaye hukonyeza kwa jicho lake huleta majonzi, bali mpumbavu mwenye maneno mengi atatupwa chini.
11 Pramen života jsou ústa spravedlivého, ale ústa bezbožných přikrývají ukrutnost.
Kinywa cha mwenye kutenda haki ni kama chemchemi ya maji ya uzima, bali kinywa cha uovu hufunikwa kwa jeuri.
12 Nenávist vzbuzuje sváry, ale láska přikrývá všecka přestoupení.
Chuki huchochea mafarakano, bali upendo hufunika juu ya makwazo yote.
13 Ve rtech rozumného nalézá se moudrost, ale kyj na hřbetě blázna.
Hekima inapatikana kwenye kinywa cha mtu mwenye ufahamu, bali fimbo ni kwa ajili ya mgongo wa yule asiye na akili.
14 Moudří skrývají umění, úst pak blázna blízké jest setření.
Watu wenye hekima hutunza maarifa, bali kinywa cha mpumbavu huleta uharibifu karibu.
15 Zboží bohatého jest město pevné jeho, ale nouze jest chudých setření.
Mali ya mtu tajiri ni mji wake mwenye ngome; ufukara wa masikini ni uharibifu wao.
16 Práce spravedlivého jest k životu, nábytek pak bezbožných jest k hříchu.
Mshahara wa watenda haki huelekea kwenye uzima; manufaa ya waovu huelekea dhambini.
17 Stezkou života jde, kdož přijímá trestání; ale kdož pohrdá domlouváním, bloudí.
Kuna njia kwenda kwenye uzima kwa yule anayefuata maongozo, bali anayekataa maonyo hupotea.
18 Kdož přikrývá nenávist rty lživými, i kdož uvodí v lehkost, ten blázen jest.
Yeye afichaye chuki anamidomo ya uongo, na yeye anayesambaza kashfa ni mpumbavu.
19 Mnohé mluvení nebývá bez hříchu, kdož pak zdržuje rty své, opatrný jest.
Katika maneno mengi, hapakosi uhalifu, bali aliyemwangalifu katika usemi wake ni mwenye busara.
20 Stříbro výborné jest jazyk spravedlivého, ale srdce bezbožných za nic nestojí.
Ulimi wa yule atendaye haki ni fedha safi; kuna thamani ndogo katika moyo wa mbaya.
21 Rtové spravedlivého pasou mnohé, blázni pak pro bláznovství umírají.
Midomo ya yule atendaye haki huwastawisha wengi, bali wapumbavu hufa kwa sababu ya kukosa akili.
22 Požehnání Hospodinovo zbohacuje, a to beze všeho trápení.
Zawadi njema za Yehova huleta utajiri na haweki maumivu ndani yake.
23 Za žert jest bláznu činiti nešlechetnost, ale muž rozumný moudrosti se drží.
Uovu ni mchezo achezao mpumbavu, bali hekima ni furaha kwa mtu mwenye ufahamu.
24 Čeho se bojí bezbožný, to přichází na něj; ale čehož žádají spravedliví, dává Bůh.
Hofu ya mwenye uovu humkumba ghafla, bali shauku ya mwenye haki itatimizwa.
25 Jakož pomíjí vichřice, tak nestane bezbožníka, spravedlivý pak jest základ stálý.
Waovu ni kama dhoruba inayopita, na hawapo tena, bali mwenye haki ni msingi unaodumu milele.
26 Jako ocet zubům, a jako dým očima, tak jest lenivý těm, kteříž jej posílají.
Kama siki kwenye meno na moshi kwenye macho, ndivyo alivyo mvivu kwa wale waliomtuma.
27 Bázeň Hospodinova přidává dnů, léta pak bezbožných ukrácena bývají.
Hofu ya Yehova huongeza maisha, bali miaka ya waovu itakuwa mifupi.
28 Očekávání spravedlivých jest potěšení, naděje pak bezbožných zahyne.
Matumaini ya wale watendao haki ndiyo furaha yao, bali miaka ya waovu itakuwa mifupi.
29 Silou jest upřímému cesta Hospodinova, a strachem těm, kteříž činí nepravost.
Njia ya Yehova huwalinda wale wenye uadilifu, bali kwa waovu ni uhalibifu.
30 Spravedlivý na věky se nepohne, bezbožní pak nebudou bydliti v zemi.
Wale watendao haki hawataondolewa, bali waovu hawatabaki katika nchi.
31 Ústa spravedlivého vynášejí moudrost, ale jazyk převrácený vyťat bude.
Katika kinywa cha wale watendao haki hutoka tunda la hekima, bali ulimi wa kupotosha utakatwa.
32 Rtové spravedlivého znají, což jest Bohu libého, ústa pak bezbožných převrácené věci.
Midomo ya wale watendao mema huyajua yanayokubalika, bali kinywa cha waovu, huyajua yanayopotosha.